Hongera Mkuu,Mombo Seleman aliyekuwa kwenye nafasi ya ubalozi ukanda wa Amerika Kusini wakati wa Nchimbi atachukua nafasi ya Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa aliyepo sasa!
Swali kwanini kwa kipindi hiki wamefukuzwa sana wakurugenzi wa idara hii?
Cc Pascal Mayalla
Britanicca
Pia Soma
- Uteuzi : Abubakar Mombo Ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa,Siwa Amestaafu.
Ni kweli alichosema ni uongo?Duh....!, mbona sasa ndio umemharibia?. Hata kama ilikuwa iwe hivyo kiukweli, sasa umeisha mharibia!, all and all, japo ile ya Katto ni kweli, huu ni uongo na uzushi tuu!
Kwa nini umenitag mimi tuu?!, kama uongo huu ungekuwa kweli, na ingekuwa na mimi ni mtu wa kule, si ungeniponza bure kuonekana kama ni mimi ndie navujisha?!.
P
Ulikuwa ubashiri au .......?Duh....!, mbona sasa ndio umemharibia?. Hata kama ilikuwa iwe hivyo kiukweli, sasa umeisha mharibia!, all and all, japo ile ya Katto ni kweli, huu ni uongo na uzushi tuu!
Kwa nini umenitag mimi tuu?!, kama uongo huu ungekuwa kweli, na ingekuwa na mimi ni mtu wa kule, si ungeniponza bure kuonekana kama ni mimi ndie navujisha?!.
P
Basi nikiwa mkubwa nataka niwe kama wewe!Sina kazi ni jobless Mimi mkurugenzi
Mkuu britanicca , kiukweli, umetisha!, nakuomba samahani kukuita muongo na mzushi!, na badala yake, kuanzia sasa nakupa maua yako.Duh....!, mbona sasa ndio umemharibia?. Hata kama ilikuwa iwe hivyo kiukweli, sasa umeisha mharibia!, all and all, japo ile ya Katto ni kweli, huu ni uongo na uzushi tuu!
Kwa nini umenitag mimi tuu?!, kama uongo huu ungekuwa kweli, na ingekuwa na mimi ni mtu wa kule, si ungeniponza bure kuonekana kama ni mimi ndie navujisha?!.
P
Kuna watu wapo TISS central wanafanya vetting
Mombo Seleman aliyekuwa kwenye nafasi ya ubalozi ukanda wa Amerika Kusini wakati wa Nchimbi atachukua nafasi ya Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa aliyepo sasa!
Swali kwanini kwa kipindi hiki wamefukuzwa sana wakurugenzi wa idara hii?
Cc Pascal Mayalla
Britanicca
Pia Soma
- Uteuzi : Abubakar Mombo Ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa,Siwa Amestaafu.amemestaafu hajafukuzwa. Maisha nikupokezana
Amestaafishwa hajafukuzwa. Kijiti kupokezana
Nashindwa kuelewa hapaUlikuwa ubashiri au .......?
Huu haukuwa ubashiri, hii ni ya moto, ameipakua toka jikoni!.Ulikuwa ubashiri au .......?
Uongo na uzishi tu 😂😂Duh....!, mbona sasa ndio umemharibia?. Hata kama ilikuwa iwe hivyo kiukweli, sasa umeisha mharibia!, all and all, japo ile ya Katto ni kweli, huu ni uongo na uzushi tuu!
Kwa nini umenitag mimi tuu?!, kama uongo huu ungekuwa kweli, na ingekuwa na mimi ni mtu wa kule, si ungeniponza bure kuonekana kama ni mimi ndie navujisha?!.
P
Nakuvulia kofia, nakupa maua yako.Kafukuzwa kisa alikuwa na mpango fulan mbovu yeye na February mauzi dhid ya Taasisi ya Nyumba nyeupe
Tuko pamoja mkuu jumba jeupe mithiri ya MeliNakuvulia kofia, nakupa maua yako.
P
Naomba uwe una ni tag kila andiko lako ukiweka humu.maana mimi napenda kujifunza na kusoma na kuwasoma watu wenye akili na upeo mkubwa aina yakoTuko pamoja mkuu jumba jeupe mithiri ya Meli
ndiyo unamtishia au?Yote mavi ukifika muda next year huyo bibi yenu ataondoka tena kwa lazima aendelee kujiandaa kucheza kiduku tutaonana muda ukifika
Wewe ni Mwamba kwelikweli.unastahili heshima na salute.Sina kazi ni jobless Mimi mkurugenzi