Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila huu sii upepo wa kawaida hiki ni kimbunga Cha kumng'oa Jobo kimbunga.JK kamanda wa siasa na uongozi wa utulivu, mwenye kifua na Moyo was kiume. Ninajifunza kwako.
Ni upepo tu, yatapita
HahaaaaaaJK japo ni Mzee wa fitna ila kwenye kupuuza mambo huwa namsifu.
Huwa hataki mambo magumu yampe shida.
Binafsi Sina deni kwake,mbali na Yale mapungufu ya kibinaadamu .Jk, hajawahi kuwa kiongozi bora zaidi ya kuasisi ufisadi uliovurumikia, wasiojulikana na uchuuzi wa nchi kwa wachina.
Jk, hajawahi kuwa kiongozi bora zaidi ya kuasisi ufisadi uliovurumikia, wasiojulikana na uchuuzi wa nchi kwa wachina.
Binafsi Sina deni kwake,mbali na Yale mapungufu ya kibinaadamu .
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Kiongozi bora ni BABA YAKO basi.Jk, hajawahi kuwa kiongozi bora zaidi ya kuasisi ufisadi uliovurumikia, wasiojulikana na uchuuzi wa nchi kwa wachina.
Hapa ndipo mwisho wa akili za uzao wa mulugo, waziri wa elimu wa jk ambaye yeye mwenyewe alikuwa failure!. Sitegemei lolote zaidi ya hapa kutoka kwako.[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Kiongozi bora ni BABA YAKO basi.
Yes maana kwako wewe hakuna kiongozi bora mzee. Ndio maana nimekuambia kiongozi BORA ni BABA YAKO tu.Hapa ndipo mwisho wa akili za uzao wa mulugo, waziri wa elimu wa jk ambaye yeye mwenyewe alikuwa failure!. Sitegemei lolote zaidi ya hapa kutoka kwako.
Ufisadi ni mapungufu ya kibinadamu,au ulikuwa chekechea kipindi hichoBinafsi Sina deni kwake,mbali na Yale mapungufu ya kibinaadamu .
KIKWETE ALIRUHUSU KUKOSOLEWA NDIO MAANA UKONA HIVYO. WE UNADHANI MAGUFULI ANGERUHUSU PANGEKALIKA HAPA??Ufisadi ni mapungufu ya kibinadamu,au ulikuwa chekechea kipindi hicho
Ana deni kubwaa mno kutupitisha mpaka hapa. Zaidi alituzibia katiba mpya wazi kabisa. Huyu ana deni kubwaa kuliko yoyote. Ile katiba ya Warioba.Binafsi Sina deni kwake,mbali na Yale mapungufu ya kibinaadamu .
Ni upepo tu, yatapita, "la hasha". Mmoja kajirudi na kuomba msamaha, lakini upande wa pili ngoma ndio inogile. Nani ataumia?JK kamanda wa siasa na uongozi wa utulivu, mwenye kifua na Moyo was kiume. Ninajifunza kwako.
Ni upepo tu, yatapita
Mliohadithiwa na kuingia mjini juzi ndiyo maneno yenu haya. JK ana alama nyingi sana nchi hii ila nyie wanya porini hamuwezi kujua. Hizo towers zote unaoziona Dar zimejenga enzi ya JK. Jiwe ndiye Rais pekee ambaye hakuanzisha Chuo Kikuu hata kimoja. Tafuta muda ufike MOI,JKCI, Mloganzila na Benjamin Mkapa Hospital. Au fungua website ya Tanroads uangalie barabara za nchi yako zimejengwa na nani.Usilolijua ni usiku wa giza. Unajua wasiojulikana walipokuwa waking'oa watu meno na kucha bila ganzi? Unajua wizi wa escrow, epa, richmond, na mikataba kibao ya kihuni? Unajua namna raslimali za taifa zilisombwa na kusafirishwa hadi twiga kupandishwa ndege? Unajua chanzo cha kushuka kwa elimu Tanzania? Unajua kasi ya ongezeko la biashra ya madawa ya kulevya Tanzania? Unajua mfumuko wa bei kuwahi kutokea Tz? Unajua matumizi mabaya ya fedha za umma, kutalii taifa hadi taifa kwa ufisadi na misafara ya watu mia wasio na tija? Unajua siku zile mtu akivaa nguo ya kijani anazomewa na hata wengine kumwagiwa michanga mitaani? Unajua raisi gani TZ aliyekuwa na hofu ya kufiwa na chama cha siasa kwa sababu ya kuchukiwa na wananchi kwa ajili yauongozi mbovu? n.k n.k?
Ushasema mzee wa fitna, Ina maana anapuuza hadharani lakini anakufitini.JK japo ni Mzee wa fitna ila kwenye kupuuza mambo huwa namsifu.
Huwa hataki mambo magumu yampe shida.