Moment kama hii JK angepiga ni upepo tu yatapita! Kiongozi bora JK

Moment kama hii JK angepiga ni upepo tu yatapita! Kiongozi bora JK

KIKWETE AKIRUHUSU KUKOSOLEWA NDIO MAANA UKONA HIVYO. WE UNADHANI MAGUFULI ANGERUHUSU PANGEKALIKA HAPA??
Nilijua tu utaangukia kwenye huu mtego,wapi imeandikwa kwamba Magufuli ni benchmark ya kiongozi bora
 
Mzee wa Msoga ndiye chanzo cha matatizo sugu kwenye hii nchi.

Imagine alimpendekeza Bwana Chato kuwa Rais kisha pia akampendekeza hawara wake kuwa makamu wa Rais wa Bwana Chato.Kwa hiyo tukapigwa mara mbili.That guy is a cursed fool!
View attachment 2069778
Comment isiyo na chembe ya heshima. Siyo sahihi na siyo Uhuru wa maoni huu.
 
Comment isiyo na chembe ya heshima. Siyo sahihi na siyo Uhuru wa maoni huu.
Unaponikemea uliwahi kukemea huu ulaghai wanaofanyiwa Watanzania?

Wakati wa kampeni👇😁😁😁
Baada ya kuingia Ikulu👇🐒🐒🐒
 
Back
Top Bottom