Anakwambia alikuwa mtoto
Nasikia mama ubaya alikuwa anamtesa ndomo, kuna siku aliitwa dodoma na mheshimiwa kupigwa ududu, ndomo akawa anampigia simu mama ubaya hapokei, nasikia ndomo hapumui wala hanyi kwa mama ubaya, hili li ndomo limezidi uzezeta na utahira, hata kama unatafuta kick si kihivyo cc: Mrembo by Nature, Dinazarde
Nasikia mama ubaya alikuwa anamtesa ndomo, kuna siku aliitwa dodoma na mheshimiwa kupigwa ududu, ndomo akawa anampigia simu mama ubaya hapokei, nasikia ndomo hapumui wala hanyi kwa mama ubaya, hili li ndomo limezidi uzezeta na utahira, hata kama unatafuta kick si kihivyo cc: Mrembo by Nature, Dinazarde
Wanaume wawili wamemshinda, namuonaga coco beach kwenye karaoke sijui kila jumatano, siku izi kawa MC sijui ndo kufulia, ptuu
Mmmhhhhhh si kweliii
Nasikia mama ubaya alikuwa anamtesa ndomo, kuna siku aliitwa dodoma na mheshimiwa kupigwa ududu, ndomo akawa anampigia simu mama ubaya hapokei, nasikia ndomo hapumui wala hanyi kwa mama ubaya, hili li ndomo limezidi uzezeta na utahira, hata kama unatafuta kick si kihivyo cc: Mrembo by Nature, Dinazarde
Binamu wala usimfananishe zari na wema, wema hampatu yule demu kwa lolote, zari hategemei wanaume kama shoga yako, anajielewa na pia ni kisu, zari ana guu la bia halafu mkalu, mama ubaya mpaka akafanyiwe operation , ngozi imekuwa kama nguruwe
Shoga leo unampinga bina wako? Hahahahaha soooon tutalambishwa ndimu hawa watu wameamua kutuchezea akili kama watoto vile..."eti hatujui walikotoka tutajuaje wanakokwenda?" Ndo post za leo hukooooo warumi mimi mpambe nuksi wa wema wewe, Dinazarde mpambe nuksi wa domo na zari ze komwe lady mama ya drama tuandae ndimu tu muda si mrefu yatatushuka tiiiiii
Hhhhhhhaaaaa jamani hata wema ana bonge la komwe hegeeeeeeee
Kuna wimbo mmoja wa dini wanaimbaga ivi " huyo ni chaguo lako, hata kama ni kiwete au kiziwa, ata kama msukuma mkokoteni, ulimpenda mwenyewe na kukubali kuolewa nae" yani unanifuraishaga sana , sasa kama sio chaguo lake kwa nn aliolewa nao na kuzaa watoto kama sio umalaya? Wanaume wawil?
Hahahaaaa hapo katamani...vipi akiolewa ndio itakua kosa la jinai?
Its not a crime either!
Ni moja kati ya nyakati ambazo Mungu amezibariki pia.
Honey Faith popote ulipo puliz nitafute maana kuna sehemu naona umenitag kuna ubuyu wa haja sema uzi sijui umefutwa