Monalisa ni mfano wa mzazi mbaya

Monalisa ni mfano wa mzazi mbaya

Baba yake yupo wapi amsaidie mwanaye, haya ndio Matatizo ya Fatherlessness, hawa Bongo movie wanajikutaga Fatherhood is toxic until war starts in Ukraine.
 
Mtoto wa Monalisa aliwahi kuhojiwa mwaka jana alipomaliza form 6 na akasema chuo hawezi kusoma bongo na hakuna chuo cha hadhi yake na hata havijui vyuo vya bongo Ila anasikiasikia tu sijui Kuna UD, IFM na sijui nini.

Naweza kusema ni akili za kitoto hivyo hapaswi kuchukuliwa sana serious, japo kwa mwanafunzi aliyemaliza form 6 kibongobongo huyo ni mtu mzima maana wanakua over 18. Lakini sio issue sana bado hajakua vizuri.

Tatizo lipo kwa mama mzazi ambae ni monalisa, yeye alikuja na kusema haoni kosa na akamtetea. Ni kosa hilo, alipaswa kumsahihisha mtoto kwa Yale aliyozungumza.

Sasa baada ya muda monalisa akarudi tena public akimsindikiza mtoto airport ili aende chuo ulaya, hivyo ametimiza shauku ya mtoto wake. Bila yeye mama kujua kuwa elimu ya Ulaya mashariki haina thamani kivile. Na hata ada yao ni ndogo sana haina tofauti sana na vyuo vya hapa. Hadi hapa alipaswa kuona kitu.

Ulaya mashariki nchi za Ukraine, Bulgaria, Romanja, Czech, Poland, Slovakia, Belarus n.k ni nchi maskini na hata wananchi wa hizo nchi huzamia nao nchi za ulaya magharibi.

Unataka mtoto asome ulaya? Mpeleke nchi za ulaya magharibi Kama UK, Germany, France, Iraland, Norway, Sweden, Belgium, Spain n.k

Hivyo ni Kama alitaka kuonyesha ana huo uwezo kwa watu wa mitandaoni(wengi nao hawaelewi kitu) ndio maana alifanya yote haya in public ili watu waone.

Na bahati mbaya pia aliingia contract kwa kulipa kwa installment via Glo.......e....lin...(wale madalali wa kupeleka watoto vyuo vya India na huko ulaya mashariki) nimeficha Hilo jina la hao watu ili kutoharibu biashara yao. Unaenda kuingia mkopo wa kumsomesha mtoto kwenye nchi za ulaya mashariki ili kuonekana unaweza kumsomesha Ulaya?

Ni mfano wa mzazi mbaya, Sasa unasema watu Wana chuki. Ni Nani aliwaambia muende public kwa mambo yenu binafsi? Ulionyesha kujitutumua sana bila kujua mkija kukwama mnakimbilia kuomba watu wawachangie na kutia huruma. Mnapswa kufahamu internet haisahau

Tusikubali kila ambacho watoto wanataka alafu tunawatimizia huku tukibaki na maumivu makubwa. Mtoto anapaswa kupewa kile ambacho una uwezo nacho tu.
Afadhali hujataja Russia
na China umezingatia hadhi ya Moscow university
 
Huyo binti kapata div 1 . 5 ya ECA.

Binti kama huyo hutumii nguvu. Maana kila chuo Tanzania anapata admission.

Huna haja ya kupoteza hela za vyuo vya nje wala nini.

Unamuweka BAF mzumbe ama B com account udsm. Anamaliza zake na gpa above 4.0 then Big 4 auditing firms zinamchulua after graduation.

Ni ngumu sana mtu aliepata div 1.5 ya ECA kushindwa kufikisha gpa kubwa udsm ama mzumbe.

Na kampuni kubwa za auditing big 4 zinawapenda kweli hao wadada. Maana accounts wanaijua na gpa wanakuwa nazo . So huwa wanawaajiri kila mwaka hasa wa udsm ama mzumbe tu
Mkuu angetoboa kweli? Maana vyuo vya bongo havina marks za attendence 2/10
 
Mkuu angetoboa kweli? Maana vyuo vya bongo havina marks za attendence 2/10

Peleleza kama kuna mtu aliyepata point 5 kushuka chini combinations ya ECA ambaye ana gpa less than 3.8 kwenye degree ya accounts udsm ama mzumbe.

Utapata jibu la hoja yangu. Accounts ya chuo ni ile ile accounts ya A level. Masomo mapya tu ndiyo yatamsumbua kama business law, ama principle of management etc. Ila yapo machache sana. Ndio maana wengi wanafikisha gpa za juu
 
Baba yake yupo wapi amsaidie mwanaye, haya ndio Matatizo ya Fatherlessness, hawa Bongo movie wanajikutaga Fatherhood is toxic until war starts in Ukraine.
We nae unaishi dunia ya wapi wewe mpk usijue kwamba Ng'wizikulu jilala alishafariki? Au ulikuwa kijana mdogo enzi hizo.
 
We nae unaishi dunia ya wapi wewe mpk usijue kwamba Ng'wizikulu jilala alishafariki? Au ulikuwa kijana mdogo enzi hizo.
Ndio maana nikauliza baba yake yupo wapi, BTW mimi na Bongo celebrities wapi na wapi!
 
Baba yake sonia alikua anaitwa Tyson ni mjaluo wa kenya alifariki kwa ajali ya gari sio huyo mganga
We nae unaishi dunia ya wapi wewe mpk usijue kwamba Ng'wizikulu jilala alishafariki? Au ulikuwa kijana mdogo enzi hizo.
 
We nae unaishi dunia ya wapi wewe mpk usijue kwamba Ng'wizikulu jilala alishafariki? Au ulikuwa kijana mdogo enzi hizo.
Ngw'izukulu Jilala amefariki pia alizaa na Nora msanii wa zamani wa bongo movie kaka monalisa alizaa na George Tyson Otieno amefariki

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Wote nyie wapumbavu bongo kuna vyuo au kuna vyoo tu..Monalisa yuko sahihi kumpeleka mwanae Ulaya mashariki unaposema Ulaya mashariki ni masikini sawa lakini si masikini kwa kiwango cha lami kama hapa bongo.Na elimu yao iko juu na ya kiwango cha kimataifa acheni kuwaza kwa kutumia makalio yenu tumieini vichwa na bongo zenu ingieni chimbo mfanye tafiti na kutafuta habari sahihi za ulaya mashariki kwa viwango vyao vya elimu.Ni mjinga peke yake ndio ataona Bongo kuna vyuo Bora kuzini ulaya ya mashariki.Hapa bongo kuna vyoo sio Vyuo.

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Monalisa hatakiwi kutulalamikia wanzengo maana tumempamba mwanae kwa miaka tele tangu mwanae apate A za kutosha O level mpaka A level na kumsakama paula staki shule ila kajala hakuwahi kutusimangia vyuo vyetu
Mkataa kwao!
 
Mtoto wa Monalisa aliwahi kuhojiwa mwaka jana alipomaliza form 6 na akasema chuo hawezi kusoma bongo na hakuna chuo cha hadhi yake na hata havijui vyuo vya bongo Ila anasikiasikia tu sijui Kuna UD, IFM na sijui nini.

Naweza kusema ni akili za kitoto hivyo hapaswi kuchukuliwa sana serious, japo kwa mwanafunzi aliyemaliza form 6 kibongobongo huyo ni mtu mzima maana wanakua over 18. Lakini sio issue sana bado hajakua vizuri.

Tatizo lipo kwa mama mzazi ambae ni monalisa, yeye alikuja na kusema haoni kosa na akamtetea. Ni kosa hilo, alipaswa kumsahihisha mtoto kwa Yale aliyozungumza.

Sasa baada ya muda monalisa akarudi tena public akimsindikiza mtoto airport ili aende chuo ulaya, hivyo ametimiza shauku ya mtoto wake. Bila yeye mama kujua kuwa elimu ya Ulaya mashariki haina thamani kivile. Na hata ada yao ni ndogo sana haina tofauti sana na vyuo vya hapa. Hadi hapa alipaswa kuona kitu.

Ulaya mashariki nchi za Ukraine, Bulgaria, Romanja, Czech, Poland, Slovakia, Belarus n.k ni nchi maskini na hata wananchi wa hizo nchi huzamia nao nchi za ulaya magharibi.

Unataka mtoto asome ulaya? Mpeleke nchi za ulaya magharibi Kama UK, Germany, France, Iraland, Norway, Sweden, Belgium, Spain n.k

Hivyo ni Kama alitaka kuonyesha ana huo uwezo kwa watu wa mitandaoni(wengi nao hawaelewi kitu) ndio maana alifanya yote haya in public ili watu waone.

Na bahati mbaya pia aliingia contract kwa kulipa kwa installment via Glo.......e....lin...(wale madalali wa kupeleka watoto vyuo vya India na huko ulaya mashariki) nimeficha Hilo jina la hao watu ili kutoharibu biashara yao. Unaenda kuingia mkopo wa kumsomesha mtoto kwenye nchi za ulaya mashariki ili kuonekana unaweza kumsomesha Ulaya?

Ni mfano wa mzazi mbaya, Sasa unasema watu Wana chuki. Ni Nani aliwaambia muende public kwa mambo yenu binafsi? Ulionyesha kujitutumua sana bila kujua mkija kukwama mnakimbilia kuomba watu wawachangie na kutia huruma. Mnapswa kufahamu internet haisahau

Tusikubali kila ambacho watoto wanataka alafu tunawatimizia huku tukibaki na maumivu makubwa. Mtoto anapaswa kupewa kile ambacho una uwezo nacho tu.
Kwani huyo monalisa ni nani huko dar?
 
Back
Top Bottom