Monalisa ni mfano wa mzazi mbaya

Monalisa ni mfano wa mzazi mbaya

Huyo binti kapata div 1 . 5 ya ECA.

Binti kama huyo hutumii nguvu. Maana kila chuo Tanzania anapata admission.

Huna haja ya kupoteza hela za vyuo vya nje wala nini.

Unamuweka BAF mzumbe ama B com account udsm. Anamaliza zake na gpa above 4.0 then Big 4 auditing firms zinamchulua after graduation.

Ni ngumu sana mtu aliepata div 1.5 ya ECA kushindwa kufikisha gpa kubwa udsm ama mzumbe.

Na kampuni kubwa za auditing big 4 zinawapenda kweli hao wadada. Maana accounts wanaijua na gpa wanakuwa nazo . So huwa wanawaajiri kila mwaka hasa wa udsm ama mzumbe tu
Unapigia upatu chuo ulichosoma.
Ila mkuu kwenye ishu za accounts uwezo wako pia unamtter sana.

Piga shule pata gpa safi, gonga cpa yako kwa jina la huyo bibie ajira mlangoni kabisa.

Sema huo mstari wako wa mwisho ni tangopori.
 
Unapigia upatu chuo ulichosoma.
Ila mkuu kwenye ishu za accounts uwezo wako pia unamtter sana.

Piga shule pata gpa safi, gonga cpa yako kwa jina la huyo bibie ajira mlangoni kabisa.

Sema huo mstari wako wa mwisho ni tangopori.

Nimetaja vyuo viwili hapo. Sasa upatu chuo changu kivipi?

Mtu apate A ya accounts necta form 6

Huyo huyo pia apate A ya accounts necta form 4.

Useme hana uwezo kweli wa accounts. Kweli.

Binti alikuwa anaongoza tusiime hadi anapata zawadi zile za darasani na necta o level na a level kapiga div 1 za points za juu tupu

Na je big 4 auditing firm huwa haziajiri kila mwaka staff wapya?

Na je wanaajiri watu kwa vigezo gani ?
 
Sometimes kutokuwa na uelewa wazazi kunawaharibia watoto.

Na wazazi wanawake hasa ambao huwa wanaharibu sana watoto hasa wakiwa na vihela.

Single mother wengi wenye hela huwa wana ujinga mwingi sana.


Huyo binti kapata div 1 . 5 ya ECA.

Binti kama huyo hutumii nguvu. Maana kila chuo Tanzania anapata admission.

Huna haja ya kupoteza hela za vyuo vya nje wala nini.

Unamuweka BAF mzumbe ama B com account udsm. Anamaliza zake na gpa above 4.0 then Big 4 auditing firms zinamchulua after graduation.

Ni ngumu sana mtu aliepata div 1.5 ya ECA kushindwa kufikisha gpa kubwa udsm ama mzumbe.

Na kampuni kubwa za auditing big 4 zinawapenda kweli hao wadada. Maana accounts wanaijua na gpa wanakuwa nazo . So huwa wanawaajiri kila mwaka hasa wa udsm ama mzumbe tu
Hizo A zake zakukariri itakuwa

Mtu mwenye A isiyo yakukariri lazima azifahamu nchi nzuri zenye vyuo vizuri

Anaacha kwenda USA, Canada, Scandnavia, UK
 
Hizo A zake zakukariri itakuwa

Mtu mwenye A isiyo yakukariri lazima azifahamu nchi nzuri zenye vyuo vizuri, mfano nchi ya russia iliyopo eastern europe kwa maswal ya siasa vyuo vyao vipo vizuri

Anaacha kwenda USA, Canada, Scandnavia, UK

Vyuo vya usa ama Uk unajua school fees yake ilivyo.

Mama yake kalazimisha akasome ulaya kwenye ada nafuu. Ndio mwisho wake vitani ukraine
 
Kwani hata wakisoma kazi zenyewe zipo au ndio mwisho wanauza vitenge na juice ya miwa hko Instagram kama yule mtoto wa gadner alikuwa anaringa ila wahuni wamemuwahi sisi yetu macho tu.
 
Kwani hata wakisoma kazi zenyewe zipo au ndio mwisho wanauza vitenge na juice ya miwa hko Instagram kama yule mtoto wa gadner alikuwa anaringa ila wahuni wamemuwahi sisi yetu macho tu.

Ukipiga gpa kubwa kazi zipo. Nenda udsm ama mzumbe accounts. Then piga first class uone kama utakosa kazi
 
Mi naona andiko limekaa kiwivu wivu,umasikini wa ulaya mashariki ndii uufananishe na wa afrika mashariki kweli??

Kwa hiyo course ya Accounting aliyompeleka huyu binti huko angeweza kuipata hapa hapa bongo bila ya huyo mama kuwa na stress za mtoto kuwa mbali na kutojua anaishi vipi!! Hawa watoto wakiwa huko nje unaweza kudhani wanasoma kumbe wamewekwa kinyumba !! Ukweli ndio huo ingawa ngumu kumeza kwa wale wasiokuwa na mazoea ya watoto wakisoma huko nchi za nje.
 
Ushauri apambane mwanae arudi bongo amtafutie chuo hapa hapa nyumbani ila angalizo ajipange kisawa sawa mwanae akija kusomea hapa tz maana kampaisha mwenyewe kwenye mitandaao ya kijamii Sasa akija chuo cha tz ajiandae mwanae kukengeuka na umarufu aliompatia
Mwambieni aende Mzumbe wakamyooshe maana hata Mwl Nyerere alishawahi sema elimu ipo Mzumbe tu
 
Back
Top Bottom