Monalisa ni mfano wa mzazi mbaya

Monalisa ni mfano wa mzazi mbaya

Wabongo tunaongoza kuwapangia watu maisha wakati yetu yametushinda.
Hakuomba mchanga wa ada, kampeleka kwa pesa yake, na mtoto alifaulu vizuri sasa shida iko wapi. Mbona kuna watu wanakimbia Tanzania wanaenda tafta maisha nchi maskini zaidi ya Tanzania hapa Afrika,
Mbona kuna wazungu uwa wanakuja kusoma hapa tena vyuoni?
Hao wazungu wamekuja huku kwa kuponda kwao hakufai?
 
Monalisa mwenyewe kaishia la saba anajua wapi mambo ya elimu
 
Sometimes kutokuwa na uelewa wazazi kunawaharibia watoto.

Na wazazi wanawake hasa ambao huwa wanaharibu sana watoto hasa wakiwa na vihela.

Single mother wengi wenye hela huwa wana ujinga mwingi sana.


Huyo binti kapata div 1 . 5 ya ECA.

Binti kama huyo hutumii nguvu. Maana kila chuo Tanzania anapata admission.

Huna haja ya kupoteza hela za vyuo vya nje wala nini.

Unamuweka BAF mzumbe ama B com accounts udsm. Anamaliza zake na gpa above 4.0 then Big 4 auditing firms zinamchukua after graduation. ( huwa hazimkatai mtu mwenye point 5 ya ECA na kiingereza cha kuombea maji anakijua jua )

Ni ngumu sana mtu aliepata div 1.5 ya ECA kushindwa kufikisha gpa kubwa udsm ama mzumbe.

Na kampuni kubwa za auditing big 4 zinawapenda kweli hao wadada. Maana accounts wanaijua na gpa wanakuwa nazo . So huwa wanawaajiri kila mwaka hasa wa udsm ama mzumbe .
Kheeeeh kumbe n div 1 ya 5, mbna walikua wanasema div 1 ya 3 woiiiiih, hongera zake.
 
Halafu huko Ukraine alikuwa anasoma lugha kwanza. What a waste! Degree bado hajaanza rasmi. Anasoma Lugha kwanza. Kiukrain kina faida gani sasa ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
 
Hizo A zake zakukariri itakuwa

Mtu mwenye A isiyo yakukariri lazima azifahamu nchi nzuri zenye vyuo vizuri

Anaacha kwenda USA, Canada, Scandnavia, UK
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vyuo vya Bongo alisema havijui kwan. Ila anasikia kuna UDSM na IFM. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwani hata wakisoma kazi zenyewe zipo au ndio mwisho wanauza vitenge na juice ya miwa hko Instagram kama yule mtoto wa gadner alikuwa anaringa ila wahuni wamemuwahi sisi yetu macho tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa hiyo course ya Accounting aliyompeleka huyu binti huko angeweza kuipata hapa hapa bongo bila ya huyo mama kuwa na stress za mtoto kuwa mbali na kutojua anaishi vipi!! Hawa watoto wakiwa huko nje unaweza kudhani wanasoma kumbe wamewekwa kinyumba !! Ukweli ndio huo ingawa ngumu kumeza kwa wale wasiokuwa na mazoea ya watoto wakisoma huko nchi za nje.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna hata hapa kwetu wanafunzi wa chuo wanawekana kinyumba lol
 
Acha apate adabu , alitaka kumuoutclass , janja janja la mjini Paula , ona sasa litoto lake linazurura vitani na division one yake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unamtetea shem wako?
 
Div 1.5 ya Eca sio mchezo. Hawa wakija udsm kule udbs huwa wanafaulu kweli kweli.

Maana accounts ya chuo ni ile ile ya advance
Ooooh hapo sawa, huko nje kafuata exposure na connection. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sometimes kutokuwa na uelewa wazazi kunawaharibia watoto.

Na wazazi wanawake hasa ambao huwa wanaharibu sana watoto hasa wakiwa na vihela.

Single mother wengi wenye hela huwa wana ujinga mwingi sana.


Huyo binti kapata div 1 . 5 ya ECA.

Binti kama huyo hutumii nguvu. Maana kila chuo Tanzania anapata admission.

Huna haja ya kupoteza hela za vyuo vya nje wala nini.

Unamuweka BAF mzumbe ama B com accounts udsm. Anamaliza zake na gpa above 4.0 then Big 4 auditing firms zinamchukua after graduation. ( huwa hazimkatai mtu mwenye point 5 ya ECA na kiingereza cha kuombea maji anakijua jua )

Ni ngumu sana mtu aliepata div 1.5 ya ECA kushindwa kufikisha gpa kubwa udsm ama mzumbe.

Na kampuni kubwa za auditing big 4 zinawapenda kweli hao wadada. Maana accounts wanaijua na gpa wanakuwa nazo . So huwa wanawaajiri kila mwaka hasa wa udsm ama mzumbe .
Sema mkuu msuli wa chuo tofauti kidogo na advance. Huwezi amini mtu anaweza akatoka na single digit advance halafu chuo akatoka na Ka pass Tu.
 
Ooooh hapo sawa, huko nje kafuata exposure na connection. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Exposure inatafutwa German, Spain, Norway, Belgium, ulaya magharibi lakini ulaya mashariki huko ukrain afadhali angeenda hata songea st joseph au hata morogoro angerudi anajua hata kupika wali kuliko huko
 
Vyuo vya china kuna option ya kufundishwa kwa kiingereza, ukrain binti anagonga mwaka akijifunza lugha kwanza wenzake waliobaki Bongo watagraduate yeye akiwa mwaka wa pili
 
Back
Top Bottom