Monalisa ni mfano wa mzazi mbaya

Monalisa ni mfano wa mzazi mbaya

Sisi team paula tunakommenti wapi vile[emoji1787][emoji1787][emoji1787] maana sisi masikani yetu Dubai tu pa KULA BATA[emoji39][emoji39]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kabisaaa ni kula kuku kwa mrija uwiiiih
 
Monalisa hajakosea. Inawezekana mtoto alipenda kwenda kusoma nje since akiwa o level na mama akamuahidi akifanya vizuri basi angempeleka. Sasa mtoto kama aliahidiwa hivyo lazma alikua anasoma kutimiza ndoto zake na hakuwaza kabisa kuhusu vyuo vya nchini.
Kila mtu huenda ana ndoto hizo, Ila lugha aliyotumia haikua sawa. Kweli unaamini havijui vyuo vya bongo ikiwa kasoma kindergarten hadi form 6 hapa bongo.
Kweli unaamini hakuna chuo Cha hadhi yake bongo?
Mama yake kitendo Cha kumpeleka tu Ukraine kimeonyesha amejikuna ambapo mkono haufiki.
 
[emoji4][emoji4] Toto liliongea kwa dharau Sana et tz hakuna chuo cha hadhi yangu , mama yake alivyo fala akawa anachekelea na kuwaona wenzake hawajui , Mungu amemuonyesha Dunia ikoje na akifanikiwa akachoropoka mitutu akarud huku udahili mpak mwakani , ma-mae...!! Sura yenyewe ngumu kama tako la mwijaku
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee ni chizi kweli khaaah. Eti nn?
 
Kila mtu huenda ana ndoto hizo, Ila lugha aliyotumia haikua sawa. Kweli unaamini havijui vyuo vya bongo ikiwa kasoma kindergarten hadi form 6 hapa bongo.
Kweli unaamini hakuna chuo Cha hadhi yake bongo?
Mama yake kitendo Cha kumpeleka tu Ukraine kimeonyesha amejikuna ambapo mkono haufiki.
Child talk bro atarudi kitaa na atapajua mpaka Njueni Institute
 
Child talk bro atarudi kitaa na atapajua mpaka Njueni Institute
Ni kweli ni utoto ila mama mtu hakupaswa kuunga mkono kauli za mtoto.
Wasanii wenyewe hawa kesho na kesho kutwa wanalia watu wawachangie wanaumwa, alafu Leo anasema mwanae hana hadhi ya kusoma chuo bongo
 
Saa hizi akirudi hadi vyuo vya RAS simba atajua vilipo *****,
 
Watu wasote UDSM , IFM, DIT, SUA , Mzumbe, MUCE , DUCE , RUCU, SAUTI , TEKU, St. JOSEPH, na vyuo vingine bongo leo uhojiwe eti hauvijui hivyo vyuo angejua watu walianza kumchukia pale kujifanya matawi wakati wakawaida tu, ndio maana unaona watu wanamsagia kunguni alidharau taasis za elimu watu walizopitia, mtu alitoka majimaji au tunduru kwenda mwanza SAUTI halafu umsemee chuo chake kwa dharau akipata upenyo anakusagia kunguni tu kama kawaida, maisha ya wasanii wengi Bongo ni maigizo yaani wanaishi kwa shida sana hasa ongeza na nyodo ndio hatuwaelewi kabisa
 
Mtoto wa Monalisa aliwahi kuhojiwa mwaka jana alipomaliza form 6 na akasema chuo hawezi kusoma bongo na hakuna chuo cha hadhi yake na hata havijui vyuo vya bongo Ila anasikiasikia tu sijui Kuna UD, IFM na sijui nini.

Naweza kusema ni akili za kitoto hivyo hapaswi kuchukuliwa sana serious, japo kwa mwanafunzi aliyemaliza form 6 kibongobongo huyo ni mtu mzima maana wanakua over 18. Lakini sio issue sana bado hajakua vizuri.

Tatizo lipo kwa mama mzazi ambae ni monalisa, yeye alikuja na kusema haoni kosa na akamtetea. Ni kosa hilo, alipaswa kumsahihisha mtoto kwa Yale aliyozungumza.

Sasa baada ya muda monalisa akarudi tena public akimsindikiza mtoto airport ili aende chuo ulaya, hivyo ametimiza shauku ya mtoto wake. Bila yeye mama kujua kuwa elimu ya Ulaya mashariki haina thamani kivile. Na hata ada yao ni ndogo sana haina tofauti sana na vyuo vya hapa. Hadi hapa alipaswa kuona kitu.

Ulaya mashariki nchi za Ukraine, Bulgaria, Romanja, Czech, Poland, Slovakia, Belarus n.k ni nchi maskini na hata wananchi wa hizo nchi huzamia nao nchi za ulaya magharibi.

Unataka mtoto asome ulaya? Mpeleke nchi za ulaya magharibi Kama UK, Germany, France, Iraland, Norway, Sweden, Belgium, Spain n.k

Hivyo ni Kama alitaka kuonyesha ana huo uwezo kwa watu wa mitandaoni(wengi nao hawaelewi kitu) ndio maana alifanya yote haya in public ili watu waone. Na bahati mbaya pia aliingia contract kwa kulipa kwa installment via Glo.......e....lin...(wale madalali wa kupeleka watoto vyuo vya India na huko ulaya mashariki) nimeficha Hilo jina la hao watu ili kutoharibu biashara yao. Unaenda kuingia mkopo wa kumsomesha mtoto kwenye nchi za ulaya mashariki ili kuonekana unaweza kumsomesha Ulaya?

Ni mfano wa mzazi mbaya, Sasa unasema watu Wana chuki. Ni Nani aliwaambia muende public kwa mambo yenu binafsi? Ulionyesha kujitutumua sana bila kujua mkija kukwama mnakimbilia kuomba watu wawachangie na kutia huruma. Mnapswa kufahamu internet haisahau

Tusikubali kila ambacho watoto wanataka alafu tunawatimizia huku tukibaki na maumivu makubwa. Mtoto anapaswa kupewa kile ambacho una uwezo nacho tu.
Hivyo ni Kama alitaka kuonyesha ana huo uwezo kwa watu wa mitandaoni(wengi nao hawaelewi kitu)

[emoji23][emoji23][emoji119]
 
Exposure inatafutwa German, Spain, Norway, Belgium, ulaya magharibi lakini ulaya mashariki huko ukrain afadhali angeenda hata songea st joseph au hata morogoro angerudi anajua hata kupika wali kuliko huko
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Halafu huko Ukraine alikuwa anasoma lugha kwanza. What a waste! Degree bado hajaanza rasmi. Anasoma Lugha kwanza. Kiukrain kina faida gani sasa ?
Duh! Kama ni hivyo alifanya wrong choice.
Mimi ni muumini wa kusoma nje, ila, angesoma walau zile nchi ambazo lugha zake zinakupa added value mfano vyuo vinavyotumia Kihispaniola, Kifaransa, Kijerumani, Kireno n.k

Ila niliona ile clip ya mwanae kuzodoa vyuo vyetu, ile ni mbaya. Hakupaswa kuionyesha kwa hadhira. Na mbaya zaidi mama akamtetea mwanae. Pale Mona alizingua sana. Wakati mwingine ni busara kufanya mambo yako kimyakimya.
 
Watu wasote UDSM , IFM, DIT, SUA , Mzumbe, MUCE , DUCE , RUCU, SAUTI , TEKU, St. JOSEPH, na vyuo vingine bongo leo uhojiwe eti hauvijui hivyo vyuo angejua watu walianza kumchukia pale kujifanya matawi wakati wakawaida tu, ndio maana unaona watu wanamsagia kunguni alidharau taasis za elimu watu walizopitia, mtu alitoka majimaji au tunduru kwenda mwanza SAUTI halafu umsemee chuo chake kwa dharau akipata upenyo anakusagia kunguni tu kama kawaida, maisha ya wasanii wengi Bongo ni maigizo yaani wanaishi kwa shida sana hasa ongeza na nyodo ndio hatuwaelewi kabisa
Maraisi wote bongo wamesoma hapa, Tena kipindi Cha ndio kulikua na fursa nyingi na rahisi za kusoma nje
 
Wanaompangia na kumkandia kupeleka mtoto wake nje ni mafiking.
Sie tumkosoe kwa hoja ya mwanae ya kusema vyuo vyetu ni vya kidwanzi. Japo lina ukweli 😬😬😬 ila hakupaswa kuongea vile public yule dogo, na mbaya zaidi mama naye akamtetea mwana. Bora ukasome Ukraine kuliko Bongo (nacheka mwananjilinji anayefananisha elimu ya Ukraine na Tanzania). Elimu yetu ni ya fitna na kukomoana, mabinti wanadhalilishwa na wahadhiri. Bongo vyuo vyetu si rafiki kwa watoto wa kike.
 
Maraisi wote bongo wamesoma hapa, Tena kipindi Cha ndio kulikua na fursa nyingi na rahisi za kusoma nje

Yaani ni utumwa wa baadhi ya watu wanaoamini kwenda nje ya nchi ni kufanikiwa zaidi, wakati hata Bongo watu wanagonga first degree then masters na phd ndio wanatoka kutafuta exposure sasa, binafsi kwanza hata wakienda nje impact yao ni ndogo sana labda kizazi kama cha akina Mo Dewij, Kevin Twissa , Lau Masha hao na wengine wengi waliokanyaga kitabu USA hata ukiongea nao unaona huyu uelewa wake ni mkubwa sana na wakitumia elimu yao kwa huku wanafanya vitu kabisa
 
Wasomi wengi waliopiga kitabu ulaya mashariki sio wote lakini wengi wao waliishia kua walevi wa pombe kali, wasomi wengine naowaona hawana maajabu ni wale walioenda kusoma China, ukitoa walau kozi za afya walipiga kitabu India hao hua afadhali the rest tuendelee tu na mahangaiko yetu mtaani
 
Back
Top Bottom