FK21
JF-Expert Member
- May 27, 2019
- 8,600
- 10,760
Hauna tofauti na monalisaKuna siku Monalisa alikupigia simu akasema anapeleka mtoto wake kusoma Ulaya mashariki ili kukuonyesha kuwa anaweza kusomesha mtoto wake Ulaya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hauna tofauti na monalisaKuna siku Monalisa alikupigia simu akasema anapeleka mtoto wake kusoma Ulaya mashariki ili kukuonyesha kuwa anaweza kusomesha mtoto wake Ulaya?
[emoji23] ata disco mapema mnoajiandae kupata coursework ngumu tu plus represantation za kutosha ili wamuoneshe kwamba si lolote wala chochote.
Au south Africa sasa uko labda alipenda kuwa karibu ma turkey kwa sultanBora angempeleka hata Ghana. Kuna vyuo vizuri tu.
Tatizo ile mwanae yupo Ulaya. Hajui Ulaya mashariki ni maskini wa kutupwa na haipo stable.Au south Africa sasa uko labda alipenda kuwa karibu ma turkey kwa sultan
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uwiiiiihSio kweli, Ulaya mashariki ni nchi za hovyo sana
Eeeeh kabisaaa au usafini paleee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pesa za mauzo ya nyimbo za vivaniboya kutoka girini siti
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee ni mtu wa Ruvuma? Maana umetaja San maeneo ya huko.Watu wasote UDSM , IFM, DIT, SUA , Mzumbe, MUCE , DUCE , RUCU, SAUTI , TEKU, St. JOSEPH, na vyuo vingine bongo leo uhojiwe eti hauvijui hivyo vyuo angejua watu walianza kumchukia pale kujifanya matawi wakati wakawaida tu, ndio maana unaona watu wanamsagia kunguni alidharau taasis za elimu watu walizopitia, mtu alitoka majimaji au tunduru kwenda mwanza SAUTI halafu umsemee chuo chake kwa dharau akipata upenyo anakusagia kunguni tu kama kawaida, maisha ya wasanii wengi Bongo ni maigizo yaani wanaishi kwa shida sana hasa ongeza na nyodo ndio hatuwaelewi kabisa
Sahivi hadi wa kiume tyuuh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanaompangia na kumkandia kupeleka mtoto wake nje ni mafiking.
Sie tumkosoe kwa hoja ya mwanae ya kusema vyuo vyetu ni vya kidwanzi. Japo lina ukweli [emoji51][emoji51][emoji51] ila hakupaswa kuongea vile public yule dogo, na mbaya zaidi mama naye akamtetea mwana. Bora ukasome Ukraine kuliko Bongo (nacheka mwananjilinji anayefananisha elimu ya Ukraine na Tanzania). Elimu yetu ni ya fitna na kukomoana, mabinti wanadhalilishwa na wahadhiri. Bongo vyuo vyetu si rafiki kwa watoto wa kike.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanasemaga Ulaya ni Ulaya tyuuh.Tatizo ile mwanae yupo Ulaya. Hajui Ulaya mashariki ni maskini wa kutupwa na haipo stable.
Ukraine chuo chao bora kwa duniani ni cha 1200+ huko, Makerere Cha Uganda ni Cha 900 , UDSM ni cha 1800+Wanaompangia na kumkandia kupeleka mtoto wake nje ni mafiking.
Sie tumkosoe kwa hoja ya mwanae ya kusema vyuo vyetu ni vya kidwanzi. Japo lina ukweli [emoji51][emoji51][emoji51] ila hakupaswa kuongea vile public yule dogo, na mbaya zaidi mama naye akamtetea mwana. Bora ukasome Ukraine kuliko Bongo (nacheka mwananjilinji anayefananisha elimu ya Ukraine na Tanzania). Elimu yetu ni ya fitna na kukomoana, mabinti wanadhalilishwa na wahadhiri. Bongo vyuo vyetu si rafiki kwa watoto wa kike.
Upo Ruvuma eneo gani bby? Songea? Mshangano au?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee ni mtu wa Ruvuma? Maana umetaja San maeneo ya huko.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwetu ni songea maeneo ya Msamala, but kwa sasa niko mbali, ila soon ntakua huko.Upo Ruvuma eneo gani bby? Songea? Mshangano au?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwetu ni songea maeneo ya Msamala, but kwa sasa niko mbali, ila soon ntakua huko.
[emoji23]Kwanza monalisa anatakiwa Atii maagizo ya serikali amrudishe mtoto wake haraka sana
[emoji3]yani weweKwanza monalisa anatakiwa Atii maagizo ya serikali amrudishe mtoto wake haraka sana
[emoji1787]Hivi kwanini watu hawakioni chuo cha Theofilo Kisanji jamani?
KabisaUpande mmoja mtoto alikua sahihi Kama anaweza kusema bongo hakuna vyuo atakua alitazama mfano wa profesa kabudi pengine ,wasomi wanahaja yakujitazama kabla hawajatoa kauli
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Nikweli vinavyozalisha wanao okotwa majalalani ,jalala unalifahamuWatu wasote UDSM , IFM, DIT, SUA , Mzumbe, MUCE , DUCE , RUCU, SAUTI , TEKU, St. JOSEPH, na vyuo vingine bongo leo uhojiwe eti hauvijui hivyo vyuo angejua watu walianza kumchukia pale kujifanya matawi wakati wakawaida tu, ndio maana unaona watu wanamsagia kunguni alidharau taasis za elimu watu walizopitia, mtu alitoka majimaji au tunduru kwenda mwanza SAUTI halafu umsemee chuo chake kwa dharau akipata upenyo anakusagia kunguni tu kama kawaida, maisha ya wasanii wengi Bongo ni maigizo yaani wanaishi kwa shida sana hasa ongeza na nyodo ndio hatuwaelewi kabisa