cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukute wee ni rika la wazazi wangu, matimira ndo nyumbani kwa mama, na baba ni mtu wa Mpitimbi,Songea nilikaa miaka mingi nyuma sana anzia miaka ya super matimila orchestra inaanzishwa baadae kuvuka kwenda msumbiji kupitia Dar pori, tukaja enzi mzee kawawa anahamasisha watu kujenga nyumba bora kuanzia hanga mpaka kitanda huko kupitia kambi za wakimbizi wa msumbiji kuelekea mputa, kuja kula Mbufu na mberere za ziwa nyasa mbambabay huko, enzi mshangano na msamala ni mapori Bombambili ndio kidogo kwa mbali sana, kusafiri Dar unapuyanga hadi makambako kupanda treni
Sahivi boda ya msumbiji inapita njia ya muhukuru, unavuka mto ruvuma unaingia mitomoni na kusonga mbele lupilichi, mianzini, nakaguruwe, matanda, kalandani, tulo, 1 kwa 1 Lichinga hiyoo,
Km ya dar pori lazima utoboe sifuri dii, mipoto poto, kingelikiti mbinga sasa had mkako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kitanda, hanga, yote iko wilaya ya Namtumbo sasa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]