Monalisa ni mfano wa mzazi mbaya

Monalisa ni mfano wa mzazi mbaya

Songea nilikaa miaka mingi nyuma sana anzia miaka ya super matimila orchestra inaanzishwa baadae kuvuka kwenda msumbiji kupitia Dar pori, tukaja enzi mzee kawawa anahamasisha watu kujenga nyumba bora kuanzia hanga mpaka kitanda huko kupitia kambi za wakimbizi wa msumbiji kuelekea mputa, kuja kula Mbufu na mberere za ziwa nyasa mbambabay huko, enzi mshangano na msamala ni mapori Bombambili ndio kidogo kwa mbali sana, kusafiri Dar unapuyanga hadi makambako kupanda treni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukute wee ni rika la wazazi wangu, matimira ndo nyumbani kwa mama, na baba ni mtu wa Mpitimbi,

Sahivi boda ya msumbiji inapita njia ya muhukuru, unavuka mto ruvuma unaingia mitomoni na kusonga mbele lupilichi, mianzini, nakaguruwe, matanda, kalandani, tulo, 1 kwa 1 Lichinga hiyoo,

Km ya dar pori lazima utoboe sifuri dii, mipoto poto, kingelikiti mbinga sasa had mkako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kitanda, hanga, yote iko wilaya ya Namtumbo sasa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi mtoto angu ni Bora asome Tanzania kuliko asome ulaya mashariki, Kuna jamaa alisoma Ukraine medicine jamaa alikua mweupe mambo kibao hajui
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huenda MD ya vita je? Sio hii tunayoijua hahahah
 
Sasa kama hapa bongo ndio hivyo, huko nje unadhani inakuwaje na hela za Wazazi ndio hizo za kuunga unga? Mwisho wanasoma huku wanadanga na mzazi inabidi ufumbe macho Kwani huwaoni wako mbali!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareeeh sana lol
 
Aisee. Ivi mtu kama monalisa ni mtu serious kweli wa kuumiza kichwa cha mtu yani? Sio ni wale wapuuzi tu waliopumbazwa na utandawazi watu wa kuwaangalia na kuwaacha na upuuzi wao!? Kwanza monalisa amesoma kweli yule anaelimu yoyote ya kutafutia kazi au alifuta ujinga wa kusoma na kuandika tu??!

Nasema kweli mbele ya Mungu monalisa simjui hata wajihi wake. Yawezekana nilishamuona picha yake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii dhambi wallah khaaaah
 
Sometimes kutokuwa na uelewa wazazi kunawaharibia watoto.

Na wazazi wanawake hasa ambao huwa wanaharibu sana watoto hasa wakiwa na vihela.

Single mother wengi wenye hela huwa wana ujinga mwingi sana.


Huyo binti kapata div 1 . 5 ya ECA.

Binti kama huyo hutumii nguvu. Maana kila chuo Tanzania anapata admission.

Huna haja ya kupoteza hela za vyuo vya nje wala nini.

Unamuweka BAF mzumbe ama B com accounts udsm. Anamaliza zake na gpa above 4.0 then Big 4 auditing firms zinamchukua after graduation. ( huwa hazimkatai mtu mwenye point 5 ya ECA na kiingereza cha kuombea maji anakijua jua )

Ni ngumu sana mtu aliepata div 1.5 ya ECA kushindwa kufikisha gpa kubwa udsm ama mzumbe kwenye degree ya accounts

Na kampuni kubwa za auditing big 4 zinawapenda kweli hao wadada. Maana accounts wanaijua na gpa wanakuwa nazo . So huwa wanawaajiri kila mwaka hasa wa udsm ama mzumbe .
Fact
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukute wee ni rika la wazazi wangu, matimira ndo nyumbani kwa mama, na baba ni mtu wa Mpitimbi,

Sahivi boda ya msumbiji inapita njia ya muhukuru, unavuka mto ruvuma unaingia mitomoni na kusonga mbele lupilichi, mianzini, nakaguruwe, matanda, kalandani, tulo, 1 kwa 1 Lichinga hiyoo,

Km ya dar pori lazima utoboe sifuri dii, mipoto poto, kingelikiti mbinga sasa had mkako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kitanda, hanga, yote iko wilaya ya Namtumbo sasa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii mixer lazima utakuwa chupi hauvai wallah maana hizo damu za huko mmmmmhhhh 🏃🏃🏃🏃🏃
 
Kweli kufatilia habari za dunia Ni muhimu atleast unajua yanayoendelea duniani. Yani nlivyoona kampeleka shule Ukraine nlishangaa mbali na migogoro, nchi yenyewe maskini Kama bongo tu. Elimu yake haina thamani, apige mwaka mzima kusoma Lugha.

Alidhani kila Ulaya Ni Kwa kishua hajui Ulaya mashariki Ni uswekeni. Bora angeenda hata South Africa ama hapo Kenya.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwetu ni songea maeneo ya Msamala, but kwa sasa niko mbali, ila soon ntakua huko.
Hivi msamara ndio pale kwenye kambi ya jeshi?
 
Yeaaah ni ile iliyoko chandarua, ambapo ilikua stand ya ma bus ambapo imegeuzwa soko la mazao, baada ya stand mpya ya shule ya tanga.

Au wee unasemea ya kule Ruhuwiko?
Doh huko sikujui, nazungumzia ile iloyoko njia ya kule kama unaenda Peramiho nadhani ndio Ruhuwiko
 
Back
Top Bottom