Monalisa ni mfano wa mzazi mbaya

Monalisa ni mfano wa mzazi mbaya

Sometimes kutokuwa na uelewa wazazi kunawaharibia watoto.

Na wazazi wanawake hasa ambao huwa wanaharibu sana watoto hasa wakiwa na vihela.

Single mother wengi wenye hela huwa wana ujinga mwingi sana.


Huyo binti kapata div 1 . 5 ya ECA.

Binti kama huyo hutumii nguvu. Maana kila chuo Tanzania anapata admission.

Huna haja ya kupoteza hela za vyuo vya nje wala nini.

Unamuweka BAF mzumbe ama B com account udsm. Anamaliza zake na gpa above 4.0 then Big 4 auditing firms zinamchukua after graduation. ( huwa hazimkatai mtu mwenye point 5 ya ECA na kiingereza cha kuombea maji anakijua jua )

Ni ngumu sana mtu aliepata div 1.5 ya ECA kushindwa kufikisha gpa kubwa udsm ama mzumbe.

Na kampuni kubwa za auditing big 4 zinawapenda kweli hao wadada. Maana accounts wanaijua na gpa wanakuwa nazo . So huwa wanawaajiri kila mwaka hasa wa udsm ama mzumbe .
Bora we umeongea mambo ya msingi sana!na mmekuelewa mnoo kaka big up kwa ushauri mzuri ht kwa wengine!
 
Sometimes kutokuwa na uelewa wazazi kunawaharibia watoto.

Na wazazi wanawake hasa ambao huwa wanaharibu sana watoto hasa wakiwa na vihela.

Single mother wengi wenye hela huwa wana ujinga mwingi sana.


Huyo binti kapata div 1 . 5 ya ECA.

Binti kama huyo hutumii nguvu. Maana kila chuo Tanzania anapata admission.

Huna haja ya kupoteza hela za vyuo vya nje wala nini.

Unamuweka BAF mzumbe ama B com account udsm. Anamaliza zake na gpa above 4.0 then Big 4 auditing firms zinamchukua after graduation. ( huwa hazimkatai mtu mwenye point 5 ya ECA na kiingereza cha kuombea maji anakijua jua )

Ni ngumu sana mtu aliepata div 1.5 ya ECA kushindwa kufikisha gpa kubwa udsm ama mzumbe.

Na kampuni kubwa za auditing big 4 zinawapenda kweli hao wadada. Maana accounts wanaijua na gpa wanakuwa nazo . So huwa wanawaajiri kila mwaka hasa wa udsm ama mzumbe .
kumbe bongo ajira sahizi nje nje
 
Kwani hivi vita vimechangiwa kivyovyote na hiyo story ya Mona Lisa na mtoto wake
 
kumbe bongo ajira sahizi nje nje

Ajira zipo. Big 4 zinaajiri kila mwaka ila vigezo na masharti kuzingatiwa.

Uwe na div 1 iliyonyooka O level na A level na gpa iliyonyooka kwenye kozi za uhasibu kutoka mzumbe ama udsm.

Ajira shida ni kwa kozi zingine. Ila uhasibu haujawahi kuwa na shida ya ajira kwa wenye gpa kubwa above 4.0 na div 1 za point 3 mpaka 5 ambazo ni level za kuingia kpmg, delloite, ey ama pwc
 
Hizo A zake zakukariri itakuwa

Mtu mwenye A isiyo yakukariri lazima azifahamu nchi nzuri zenye vyuo vizuri, mfano nchi ya russia iliyopo eastern europe kwa maswal ya siasa vyuo vyao vipo vizuri

Anaacha kwenda USA, Canada, Scandnavia, UK
Vyuo vya huko ada kwa mwaka mil 50. Ukraine ni kama mil 3
Ila nae ni mburula angekomaa atafute scholarship
 
Monalisa hatakiwi kutulalamikia wanzengo maana tumempamba mwanae kwa miaka tele tangu mwanae apate A za kutosha O level mpaka A level na kumsakama paula staki shule ila kajala hakuwahi kutusimangia vyuo vyetu
Hili la kupanda vyuo vyetu hata mimi lilinikera lakini la kusomeaha mtoto Ukraine sioni kama ni kosa kama uwezo unao. Hata Wazungu wa Magharibi na Marekani hupeleka watoto nchi za Mashariki kwa masomo ya u daktari kama hawajapata vyuo huko kwao.
 
Sometimes kutokuwa na uelewa wazazi kunawaharibia watoto.

Na wazazi wanawake hasa ambao huwa wanaharibu sana watoto hasa wakiwa na vihela.

Single mother wengi wenye hela huwa wana ujinga mwingi sana.


Huyo binti kapata div 1 . 5 ya ECA.

Binti kama huyo hutumii nguvu. Maana kila chuo Tanzania anapata admission.

Huna haja ya kupoteza hela za vyuo vya nje wala nini.

Unamuweka BAF mzumbe ama B com account udsm. Anamaliza zake na gpa above 4.0 then Big 4 auditing firms zinamchukua after graduation. ( huwa hazimkatai mtu mwenye point 5 ya ECA na kiingereza cha kuombea maji anakijua jua )

Ni ngumu sana mtu aliepata div 1.5 ya ECA kushindwa kufikisha gpa kubwa udsm ama mzumbe.

Na kampuni kubwa za auditing big 4 zinawapenda kweli hao wadada. Maana accounts wanaijua na gpa wanakuwa nazo . So huwa wanawaajiri kila mwaka hasa wa udsm ama mzumbe .
Monalisa apitie hii comment ajione alivyo boya[emoji16][emoji16]
 
Mtoto wa Monalisa aliwahi kuhojiwa mwaka jana alipomaliza form 6 na akasema chuo hawezi kusoma bongo na hakuna chuo cha hadhi yake na hata havijui vyuo vya bongo Ila anasikiasikia tu sijui Kuna UD, IFM na sijui nini.

Naweza kusema ni akili za kitoto hivyo hapaswi kuchukuliwa sana serious, japo kwa mwanafunzi aliyemaliza form 6 kibongobongo huyo ni mtu mzima maana wanakua over 18. Lakini sio issue sana bado hajakua vizuri.

Tatizo lipo kwa mama mzazi ambae ni monalisa, yeye alikuja na kusema haoni kosa na akamtetea. Ni kosa hilo, alipaswa kumsahihisha mtoto kwa Yale aliyozungumza.

Sasa baada ya muda monalisa akarudi tena public akimsindikiza mtoto airport ili aende chuo ulaya, hivyo ametimiza shauku ya mtoto wake. Bila yeye mama kujua kuwa elimu ya Ulaya mashariki haina thamani kivile. Na hata ada yao ni ndogo sana haina tofauti sana na vyuo vya hapa. Hadi hapa alipaswa kuona kitu.

Ulaya mashariki nchi za Ukraine, Bulgaria, Romanja, Czech, Poland, Slovakia, Belarus n.k ni nchi maskini na hata wananchi wa hizo nchi huzamia nao nchi za ulaya magharibi.

Unataka mtoto asome ulaya? Mpeleke nchi za ulaya magharibi Kama UK, Germany, France, Iraland, Norway, Sweden, Belgium, Spain n.k

Hivyo ni Kama alitaka kuonyesha ana huo uwezo kwa watu wa mitandaoni(wengi nao hawaelewi kitu) ndio maana alifanya yote haya in public ili watu waone. Na bahati mbaya pia aliingia contract kwa kulipa kwa installment via Glo.......e....lin...(wale madalali wa kupeleka watoto vyuo vya India na huko ulaya mashariki) nimeficha Hilo jina la hao watu ili kutoharibu biashara yao. Unaenda kuingia mkopo wa kumsomesha mtoto kwenye nchi za ulaya mashariki ili kuonekana unaweza kumsomesha Ulaya?

Ni mfano wa mzazi mbaya, Sasa unasema watu Wana chuki. Ni Nani aliwaambia muende public kwa mambo yenu binafsi? Ulionyesha kujitutumua sana bila kujua mkija kukwama mnakimbilia kuomba watu wawachangie na kutia huruma. Mnapswa kufahamu internet haisahau

Tusikubali kila ambacho watoto wanataka alafu tunawatimizia huku tukibaki na maumivu makubwa. Mtoto anapaswa kupewa kile ambacho una uwezo nacho tu.
Wabongo tunaongoza kuwapangia watu maisha wakati yetu yametushinda.
Hakuomba mchanga wa ada, kampeleka kwa pesa yake, na mtoto alifaulu vizuri sasa shida iko wapi. Mbona kuna watu wanakimbia Tanzania wanaenda tafta maisha nchi maskini zaidi ya Tanzania hapa Afrika,
Mbona kuna wazungu uwa wanakuja kusoma hapa tena vyuoni?
 
Back
Top Bottom