finnest
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 834
- 1,240
Anauaminifu gani!? Hivi unajua D kwa nini kamuacha Zari? Bibie alicheat hakujua Kama mondi ataipata hiyo habari Zari alicheat na Daudi Kanyau kwa wanaomjua wanajua shughuli yake hapa bongo ilikuwa nini. Sikuhizi kanyau kahamia SA anahela mbaya na bibie ndio zake kama unakisu kikali unakula nyama akajiachia bila kujua kanyau ni mswazi wa migomigo akavujisha siri hiyo kitu imemuuma sana mondi na pengine anayoyafanya sasa Anafanya ili kumuumiza zari, hata watoto hana time nao. Pia ile nyumba ya SA ni ya kinje mondi alimpangia Zari sasa sijui ataendelea kulipa kodi au la maana wanafanya Siri Kuwa ni yake lakini ukweli si yake.
Hahahhahah hatareeee
