Sasa si unakuta hana cha kugombana na wewe. Atakuuliza nini hapo.Ewaaaaa
Hapo ndo umeongea ndugu!! Kila mtu angekuwa na akili ka zako tungekuwa mbali sana!!!
Yaani mtu anakuchukia mpaka akiona avatar yako anauguaa!! Kwenye wengi mikwaruzano haikosekani sie binadamu, ukiona mekosa niulize tuu kwa nini hivi lakini?! Kwani shida inakuwa wapi hapo!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Miss ebu niache bwana uko una mpango gani na mbavu zanguUkiona mtu anataka mchumba mwambie anicheki.nimtumie sample achague
umenena vzr tena kwa busara iliyo na PHDKuna watu wanajua wakiweka uchizi wao kwenye mitandao wanaonekana mashujaa.
Mweee mweeee ngoja nijiandaeWoyooooooooooooo kumbe mwanachama mwenzangu inakuja box zima
Umakini unatakiwa lakini unafiki pia tuache!! Kama watu wamegombana hukoo wewe mtu mzima kujibebesha ugomvi wao ni uzwazwa tuu!!Nimekupenda bila pesa. Muhusika akikosa tafuta namna umwambie. Kugombana wagombame wao huko PM wakiyaleta hapa watu wanashadadia kwani wakati wanafatana mpaka yakatokea yaliyotokea walitutaarifu.
Halafu mambo binafsi ya PM kuyaleta hapa jukwaani ni uzwazwa. Wagombane huko PM sisi hayatuhusu.
Hii tabia ya fulani akipishana kiswahili na fulani kundi la fulani linamnunia fulani ni tabia za la 4 B ikiwa chanzo wanakijua wao na ukweli wanaojua wao. Wengine wako kuchafua watu tu hapa tuwe makini jamani.
Jiandae mama tunaanza moja bada ya nyingine nimependa tupo chama moja si unajua vile ikiwa ya baridi sana inavyopita vizuri kooniMweee mweeee ngoja nijiandae
Mi bado 98% ya wadada tunaongea vizuri kwa kweli. Kama kuna mtu ana hasira na mimi nampa pole maana asitegemee tutagombana.Nilikuwa nawaonaga wanawake wote humu mashosti zangu weee nilikoma ila nilichokifanya mungu anisamehe Ila Nina roho nzuri balaa siwezi mfanyia mtu ubaya maisha
HahahaYaani shunie wanawake tunadanganyika kirahisi saaana.nilipata wachumba wa kutosha japo I'd zingine mpya.
Kama mm na wewe tukigombana ugomvi wetu asiingilie mtu tutapambana wenyeweUmakini unatakiwa lakini unafiki pia tuache!! Kama watu wamegombana hukoo wewe mtu mzima kujibebesha ugomvi wao ni uzwazwa tuu!!
Waache wapambane hukoo siku wakipatana utaweka wapi sura yako!! Sijui kwa nini tumekuwa hivi!!
Kweli kabisa. Unafiki humu ndio nyumbani kwake.Tuache unafiki. Na tujue mtu anapomfata mwingine kumwambia mambo yangu ujue hata yake yanazungumzwa sana tu.Umakini unatakiwa lakini unafiki pia tuache!! Kama watu wamegombana hukoo wewe mtu mzima kujibebesha ugomvi wao ni uzwazwa tuu!!
Waache wapambane hukoo siku wakipatana utaweka wapi sura yako!! Sijui kwa nini tumekuwa hivi!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mi bado 98% ya wadada tunaongea vizuri kwa kweli. Kama kuna mtu ana hasira na mimi nampa pole maana asitegemee tutagombana.
ID mpya alikuwa ni mimi![emoji28][emoji28][emoji28]Yaani shunie wanawake tunadanganyika kirahisi saaana.nilipata wachumba wa kutosha japo I'd zingine mpya.
wap uko?Njoo kule acha ujinga sakayo
HahahaAcha uchochezi mnabadili mwelekeo wa uzi
Yaani yaani. Nikajisemea moyoni trust no biihh. Utakuta hata alieitoa ni mwanaume. Wanaume wa humu nao hawakaniwi ujue.Mie bado ni shost ako penda usipendee!!
Wewe sijui uliwakosea nini aki,ulikuwa mtu wa mwisho kuamini eti watu wanakuchukia mpaka siku naona sura yako inabembea huku!!
Nilijifunza saaana, nkasema kama miss kafanyiwa hivi vipi mie!! Huwezi amini niliumia mnooo!!!
HahahaEbu tuvute subira anaweza tokea hapa jamani
Onyesha mfano weweHahaha
Mie nimekuambia, ukiamua kujirekebisha it's okay!! Usipotaka ni wewe pia!