Money Heist ni wazungu wanaosukuma bidii agenda zao kwa nguvu

Money Heist ni wazungu wanaosukuma bidii agenda zao kwa nguvu

Habarini wakuu
Poleni na taharuki ya COVID-19

Nmeangalia hii tamthilia ya MONEY HEIST (LA CASA DE PAPEL) kama wengi wenu mlivyofanya kipindi hiki cha karantini. Kati ya vitu nlivyogundua ni kwamba mabeberu wako siriaz na agenda zao.

Hebu fikiria USHOGA na USAGAJI unavyokuwa displayed kwenye ile tamthilia. Nakumbuka movie za zamani kulikuwaga na starring and always alikuwaga mtu mwema kwa jamii yake, mtu anayefanya haki always, tulimpenda starring kwa sifa hizo. Starring akifa, movie inaisha nguvu. Kwenye money heist tunampenda PROFESSOR na GANG yake. Hakuna mtu anaonesha kuvutiwa na kazi ya polisi.

Wanapanda ndani yetu the REBELLIOUS MIND, GAYISM and LESBIANISM. Period..
usikute hapo wewe ni gay kuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ku-jam na hii corona unaumiza mapafu
Kwanini mnapenda kuangalia hayo maujinga halafu mnakuja kulalamika humu? Kwanini uangalie kitu kinachokera moyo wako? Huwa mnalazimishwa na nani? Hebu mjitambue, achaneni na useless issues kwenye TVs na mitandaoni. Jikiteni kwenye yale yenye msaada kwenu. Subscribers/followers ni nyie wenyewe kwa hiari yenu bado mlalamike! Kweli?
 
Kwanini mnapenda kuangalia hayo maujinga halafu mnakuja kulalamika humu? Kwanini uangalie kitu kinachokera moyo wako? Huwa mnalazimishwa na nani? Hebu mjitambue, achaneni na useless issues kwenye TVs na mitandaoni. Jikiteni kwenye yale yenye msaada kwenu. Subscribers/followers ni nyie wenyewe kwa hiari yenu bado mlalamike! Kweli?
Tunatafuta "TOPIC" za kuleta JF mkuu, au unasemaje?? Hujapenda??
 
Habarini wakuu

Poleni na taharuki ya COVID-19

Nmeangalia hii tamthilia ya MONEY HEIST (LA CASA DE PAPEL) kama wengi wenu mlivyofanya kipindi hiki cha karantini. Kati ya vitu nlivyogundua ni kwamba mabeberu wako siriaz na agenda zao.

Hebu fikiria USHOGA na USAGAJI unavyokuwa displayed kwenye ile tamthilia. Nakumbuka movie za zamani kulikuwaga na starring and always alikuwaga mtu mwema kwa jamii yake, mtu anayefanya haki always, tulimpenda starring kwa sifa hizo. Starring akifa, movie inaisha nguvu. Kwenye money heist tunampenda PROFESSOR na GANG yake. Hakuna mtu anaonesha kuvutiwa na kazi ya polisi.

Wanapanda ndani yetu the REBELLIOUS MIND, GAYISM and LESBIANISM. Period..

unaelewa maana ya ile plan ya kufanya heist kwanza?

tuanzia hapo

proffesa na wenzie plan yao ilikua kwanza kuchallenge mfumo wa serikali ambao wao ni wezi wa fedha nza mali za umma,ndio maana plan yao haikua kuiba fedha za benki badala yake walianga kuprint wenyewe kwa kutumia mashine ndio maana waliamua kujifungia.

sasa hapo lazima wananchi wawasapoti sababu serikali inawaibia sana


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini wakuu

Poleni na taharuki ya COVID-19

Nmeangalia hii tamthilia ya MONEY HEIST (LA CASA DE PAPEL) kama wengi wenu mlivyofanya kipindi hiki cha karantini. Kati ya vitu nlivyogundua ni kwamba mabeberu wako siriaz na agenda zao.

Hebu fikiria USHOGA na USAGAJI unavyokuwa displayed kwenye ile tamthilia. Nakumbuka movie za zamani kulikuwaga na starring and always alikuwaga mtu mwema kwa jamii yake, mtu anayefanya haki always, tulimpenda starring kwa sifa hizo. Starring akifa, movie inaisha nguvu. Kwenye money heist tunampenda PROFESSOR na GANG yake. Hakuna mtu anaonesha kuvutiwa na kazi ya polisi.

Wanapanda ndani yetu the REBELLIOUS MIND, GAYISM and LESBIANISM. Period..
Series nyingi zimejaa ushoga tu,na usagaji,
Queen sugar,Ambitions,Deputy,greenleaf,
Ni ushoga kwenda mbele

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom