Nelly
JF-Expert Member
- Jan 25, 2020
- 3,338
- 6,327
kama nakuona director😅😅😅Kwahiyo tukusaidiaje? Fanya maisha yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama nakuona director😅😅😅Kwahiyo tukusaidiaje? Fanya maisha yako
usikute hapo wewe ni gay kuuHabarini wakuu
Poleni na taharuki ya COVID-19
Nmeangalia hii tamthilia ya MONEY HEIST (LA CASA DE PAPEL) kama wengi wenu mlivyofanya kipindi hiki cha karantini. Kati ya vitu nlivyogundua ni kwamba mabeberu wako siriaz na agenda zao.
Hebu fikiria USHOGA na USAGAJI unavyokuwa displayed kwenye ile tamthilia. Nakumbuka movie za zamani kulikuwaga na starring and always alikuwaga mtu mwema kwa jamii yake, mtu anayefanya haki always, tulimpenda starring kwa sifa hizo. Starring akifa, movie inaisha nguvu. Kwenye money heist tunampenda PROFESSOR na GANG yake. Hakuna mtu anaonesha kuvutiwa na kazi ya polisi.
Wanapanda ndani yetu the REBELLIOUS MIND, GAYISM and LESBIANISM. Period..
kamwambie mzazi wakoKukoseana heshima tunaweza, ila tumefundishwa kutoijibu mipumbavu sawasawa na miupumbavu yao...
[emoji23][emoji23][emoji23]Kwahiyo tukusaidiaje? Fanya maisha yako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mimba ndo ilikuwa inamfanya awe nunda kiasi kileInspector Alicia Sierra. Mtu mbaya!
Kwanini mnapenda kuangalia hayo maujinga halafu mnakuja kulalamika humu? Kwanini uangalie kitu kinachokera moyo wako? Huwa mnalazimishwa na nani? Hebu mjitambue, achaneni na useless issues kwenye TVs na mitandaoni. Jikiteni kwenye yale yenye msaada kwenu. Subscribers/followers ni nyie wenyewe kwa hiari yenu bado mlalamike! Kweli?Ku-jam na hii corona unaumiza mapafu
Tunatafuta "TOPIC" za kuleta JF mkuu, au unasemaje?? Hujapenda??Kwanini mnapenda kuangalia hayo maujinga halafu mnakuja kulalamika humu? Kwanini uangalie kitu kinachokera moyo wako? Huwa mnalazimishwa na nani? Hebu mjitambue, achaneni na useless issues kwenye TVs na mitandaoni. Jikiteni kwenye yale yenye msaada kwenu. Subscribers/followers ni nyie wenyewe kwa hiari yenu bado mlalamike! Kweli?
Neno "HAIFAI" halijaonekana popote kwenye uzi wangu.. we umelitoa wapi aaarriifuu???Ukiona Money Heist haifai tafuta zile za Kaole na kina ray kigosi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaaha........kifaru umetisha! kama ni hivo ni sawa.Tunatafuta "TOPIC" za kuleta JF mkuu, au unasemaje?? Hujapenda??
Habarini wakuu
Poleni na taharuki ya COVID-19
Nmeangalia hii tamthilia ya MONEY HEIST (LA CASA DE PAPEL) kama wengi wenu mlivyofanya kipindi hiki cha karantini. Kati ya vitu nlivyogundua ni kwamba mabeberu wako siriaz na agenda zao.
Hebu fikiria USHOGA na USAGAJI unavyokuwa displayed kwenye ile tamthilia. Nakumbuka movie za zamani kulikuwaga na starring and always alikuwaga mtu mwema kwa jamii yake, mtu anayefanya haki always, tulimpenda starring kwa sifa hizo. Starring akifa, movie inaisha nguvu. Kwenye money heist tunampenda PROFESSOR na GANG yake. Hakuna mtu anaonesha kuvutiwa na kazi ya polisi.
Wanapanda ndani yetu the REBELLIOUS MIND, GAYISM and LESBIANISM. Period..
Series nyingi zimejaa ushoga tu,na usagaji,Habarini wakuu
Poleni na taharuki ya COVID-19
Nmeangalia hii tamthilia ya MONEY HEIST (LA CASA DE PAPEL) kama wengi wenu mlivyofanya kipindi hiki cha karantini. Kati ya vitu nlivyogundua ni kwamba mabeberu wako siriaz na agenda zao.
Hebu fikiria USHOGA na USAGAJI unavyokuwa displayed kwenye ile tamthilia. Nakumbuka movie za zamani kulikuwaga na starring and always alikuwaga mtu mwema kwa jamii yake, mtu anayefanya haki always, tulimpenda starring kwa sifa hizo. Starring akifa, movie inaisha nguvu. Kwenye money heist tunampenda PROFESSOR na GANG yake. Hakuna mtu anaonesha kuvutiwa na kazi ya polisi.
Wanapanda ndani yetu the REBELLIOUS MIND, GAYISM and LESBIANISM. Period..