Money Heist ni wazungu wanaosukuma bidii agenda zao kwa nguvu

Money Heist ni wazungu wanaosukuma bidii agenda zao kwa nguvu

unaelewa maana ya ile plan ya kufanya heist kwanza?

tuanzia hapo

proffesa na wenzie plan yao ilikua kwanza kuchallenge mfumo wa serikali ambao wao ni wezi wa fedha nza mali za umma,ndio maana plan yao haikua kuiba fedha za benki badala yake walianga kuprint wenyewe kwa kutumia mashine ndio maana waliamua kujifungia.

sasa hapo lazima wananchi wawasapoti sababu serikali inawaibia sana


Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu maelezo mazuri, ila season 4 wanaiba dhahabu ndani ya benki kuu ya taifa. Ule ni wizi, na ukiangalia support ya wananchi kwao inaonekana sana season 4
 
Tokyo: But professor when we release part 4 everyone will be in work or in school no one will watch

Professor: that’s where plan Wigan comes. Four months from release date our man in China will eat bat 🦇. The world including Spain will announce a total lockdown. Everyone will be forced to be at home. No Work. No school. Food. Mask. NETFLIX. We will have them where we want them. That’s the plan

😂😂😂
 
Yap, ni kweli. Wanachofanya wazungu ni kutuaminisha kuwa matendo ya ushoga na usagaji ni ya kawaida kbsa ktk maisha. So they tend to implant these abominations into our mind. Hata ile series ya 'The Walking Dead', kuna jamaa black kbsa linakulana mate na mwanaume mzungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa mkuu maelezo mazuri, ila season 4 wanaiba dhahabu ndani ya benki kuu ya taifa. Ule ni wizi, na ukiangalia support ya wananchi kwao inaonekana sana season 4

uwe makini kufuatilia season 1 na 2 wakati proff kqtenga miazi mitano ya lecture kuna session aliwafundisha namna ya kuwafanya watu waamini kwamba wao ni heroes na vyote vilipangwa vikafanikiwa.

kulikisha mazungumzo ya raquel kutaka priority iwe kumtoa mtoto mmoja wa balozi badala ya watu 8,hii ni kweli kwamba viongozi wanatumia influence zao kupata upendeleo unaodidimiza wengine wakati sheria inasema wote ni sawa

end of season 2 proff anamuambia raquel kwamba wao wanachofanya kilishawahi na kinafanya mara kibao kwamba watu wanaprinti fedha wanapeleka benki zinakua halali,na haukuitwa wizi...ndio walichofanya wao,hawakuiba fedha ya mtu ila waliingia kuprinti

wanachozingua ni agenda za ushoga,kikweli wamelazimisha tu kuipachika wala haikua na maana ya kuiweka


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini wakuu

Poleni na taharuki ya COVID-19

Nmeangalia hii tamthilia ya MONEY HEIST (LA CASA DE PAPEL) kama wengi wenu mlivyofanya kipindi hiki cha karantini. Kati ya vitu nlivyogundua ni kwamba mabeberu wako siriaz na agenda zao.

Hebu fikiria USHOGA na USAGAJI unavyokuwa displayed kwenye ile tamthilia. Nakumbuka movie za zamani kulikuwaga na starring and always alikuwaga mtu mwema kwa jamii yake, mtu anayefanya haki always, tulimpenda starring kwa sifa hizo. Starring akifa, movie inaisha nguvu. Kwenye money heist tunampenda PROFESSOR na GANG yake. Hakuna mtu anaonesha kuvutiwa na kazi ya polisi.

Wanapanda ndani yetu the REBELLIOUS MIND, GAYISM and LESBIANISM. Period..
Jamaa wanaigiza vitu halisi vilivyokwenye jamii yao.Hii ndio kazi ya sanaa kama kwenye jamii yako havipo ni vizuri sana.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini wakuu

Poleni na taharuki ya COVID-19

Nmeangalia hii tamthilia ya MONEY HEIST (LA CASA DE PAPEL) kama wengi wenu mlivyofanya kipindi hiki cha karantini. Kati ya vitu nlivyogundua ni kwamba mabeberu wako siriaz na agenda zao.

Hebu fikiria USHOGA na USAGAJI unavyokuwa displayed kwenye ile tamthilia. Nakumbuka movie za zamani kulikuwaga na starring and always alikuwaga mtu mwema kwa jamii yake, mtu anayefanya haki always, tulimpenda starring kwa sifa hizo. Starring akifa, movie inaisha nguvu. Kwenye money heist tunampenda PROFESSOR na GANG yake. Hakuna mtu anaonesha kuvutiwa na kazi ya polisi.

Wanapanda ndani yetu the REBELLIOUS MIND, GAYISM and LESBIANISM. Period..
Upo sawa, nimefuatilia hata maisha ya waigizaji wake pia, baadhi yao ni Lesbians mfano Nairobi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
uwe makini kufuatilia season 1 na 2 wakati proff kqtenga miazi mitano ya lecture kuna session aliwafundisha namna ya kuwafanya watu waamini kwamba wao ni heroes na vyote vilipangwa vikafanikiwa.

kulikisha mazungumzo ya raquel kutaka priority iwe kumtoa mtoto mmoja wa balozi badala ya watu 8,hii ni kweli kwamba viongozi wanatumia influence zao kupata upendeleo unaodidimiza wengine wakati sheria inasema wote ni sawa

end of season 2 proff anamuambia raquel kwamba wao wanachofanya kilishawahi na kinafanya mara kibao kwamba watu wanaprinti fedha wanapeleka benki zinakua halali,na haukuitwa wizi...ndio walichofanya wao,hawakuiba fedha ya mtu ila waliingia kuprinti

wanachozingua ni agenda za ushoga,kikweli wamelazimisha tu kuipachika wala haikua na maana ya kuiweka


Sent using Jamii Forums mobile app
Wamezingua kuweka ushoga kweny muvi though nimependa brain waliyotumia kupanga wizi from season 1 but ushoga /lesbian ndo walipoyumba
 
Habarini wakuu

Poleni na taharuki ya COVID-19

Nmeangalia hii tamthilia ya MONEY HEIST (LA CASA DE PAPEL) kama wengi wenu mlivyofanya kipindi hiki cha karantini. Kati ya vitu nlivyogundua ni kwamba mabeberu wako siriaz na agenda zao.

Hebu fikiria USHOGA na USAGAJI unavyokuwa displayed kwenye ile tamthilia. Nakumbuka movie za zamani kulikuwaga na starring and always alikuwaga mtu mwema kwa jamii yake, mtu anayefanya haki always, tulimpenda starring kwa sifa hizo. Starring akifa, movie inaisha nguvu. Kwenye money heist tunampenda PROFESSOR na GANG yake. Hakuna mtu anaonesha kuvutiwa na kazi ya polisi.

Wanapanda ndani yetu the REBELLIOUS MIND, GAYISM and LESBIANISM. Period..
Tatizo yale ni maisha ya kizungu

Anyway
Tumsapoti jamaa
T.me/Netflixafrica

Pata premium account kwa dola 6 tu mwezi mzima

Tuongeze limau na tangawizi
 
Tokyo: But professor when we release part 4 everyone will be in work or in school no one will watch

Professor: that’s where plan Wigan comes. Four months from release date our man in China will eat bat 🦇. The world including Spain will announce a total lockdown. Everyone will be forced to be at home. No Work. No school. Food. Mask. NETFLIX. We will have them where we want them. That’s the plan

😂😂😂
we jamaa umenifurahisha sana
 
Back
Top Bottom