Sawa mkuu maelezo mazuri, ila season 4 wanaiba dhahabu ndani ya benki kuu ya taifa. Ule ni wizi, na ukiangalia support ya wananchi kwao inaonekana sana season 4unaelewa maana ya ile plan ya kufanya heist kwanza?
tuanzia hapo
proffesa na wenzie plan yao ilikua kwanza kuchallenge mfumo wa serikali ambao wao ni wezi wa fedha nza mali za umma,ndio maana plan yao haikua kuiba fedha za benki badala yake walianga kuprint wenyewe kwa kutumia mashine ndio maana waliamua kujifungia.
sasa hapo lazima wananchi wawasapoti sababu serikali inawaibia sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu maelezo mazuri, ila season 4 wanaiba dhahabu ndani ya benki kuu ya taifa. Ule ni wizi, na ukiangalia support ya wananchi kwao inaonekana sana season 4
Jamaa wanaigiza vitu halisi vilivyokwenye jamii yao.Hii ndio kazi ya sanaa kama kwenye jamii yako havipo ni vizuri sana.Habarini wakuu
Poleni na taharuki ya COVID-19
Nmeangalia hii tamthilia ya MONEY HEIST (LA CASA DE PAPEL) kama wengi wenu mlivyofanya kipindi hiki cha karantini. Kati ya vitu nlivyogundua ni kwamba mabeberu wako siriaz na agenda zao.
Hebu fikiria USHOGA na USAGAJI unavyokuwa displayed kwenye ile tamthilia. Nakumbuka movie za zamani kulikuwaga na starring and always alikuwaga mtu mwema kwa jamii yake, mtu anayefanya haki always, tulimpenda starring kwa sifa hizo. Starring akifa, movie inaisha nguvu. Kwenye money heist tunampenda PROFESSOR na GANG yake. Hakuna mtu anaonesha kuvutiwa na kazi ya polisi.
Wanapanda ndani yetu the REBELLIOUS MIND, GAYISM and LESBIANISM. Period..
Huba ina uchawi na mapenzi kati ya mama mtu mzima na kijana mdogo. Nadhani hayo yanakubalika katika jamii yetu.Huba ndo ipi tena mkuu?? Haina huu upuuzi wa kushikishana ukuta?
Upo sawa, nimefuatilia hata maisha ya waigizaji wake pia, baadhi yao ni Lesbians mfano Nairobi.Habarini wakuu
Poleni na taharuki ya COVID-19
Nmeangalia hii tamthilia ya MONEY HEIST (LA CASA DE PAPEL) kama wengi wenu mlivyofanya kipindi hiki cha karantini. Kati ya vitu nlivyogundua ni kwamba mabeberu wako siriaz na agenda zao.
Hebu fikiria USHOGA na USAGAJI unavyokuwa displayed kwenye ile tamthilia. Nakumbuka movie za zamani kulikuwaga na starring and always alikuwaga mtu mwema kwa jamii yake, mtu anayefanya haki always, tulimpenda starring kwa sifa hizo. Starring akifa, movie inaisha nguvu. Kwenye money heist tunampenda PROFESSOR na GANG yake. Hakuna mtu anaonesha kuvutiwa na kazi ya polisi.
Wanapanda ndani yetu the REBELLIOUS MIND, GAYISM and LESBIANISM. Period..
Wamezingua kuweka ushoga kweny muvi though nimependa brain waliyotumia kupanga wizi from season 1 but ushoga /lesbian ndo walipoyumbauwe makini kufuatilia season 1 na 2 wakati proff kqtenga miazi mitano ya lecture kuna session aliwafundisha namna ya kuwafanya watu waamini kwamba wao ni heroes na vyote vilipangwa vikafanikiwa.
kulikisha mazungumzo ya raquel kutaka priority iwe kumtoa mtoto mmoja wa balozi badala ya watu 8,hii ni kweli kwamba viongozi wanatumia influence zao kupata upendeleo unaodidimiza wengine wakati sheria inasema wote ni sawa
end of season 2 proff anamuambia raquel kwamba wao wanachofanya kilishawahi na kinafanya mara kibao kwamba watu wanaprinti fedha wanapeleka benki zinakua halali,na haukuitwa wizi...ndio walichofanya wao,hawakuiba fedha ya mtu ila waliingia kuprinti
wanachozingua ni agenda za ushoga,kikweli wamelazimisha tu kuipachika wala haikua na maana ya kuiweka
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo yale ni maisha ya kizunguHabarini wakuu
Poleni na taharuki ya COVID-19
Nmeangalia hii tamthilia ya MONEY HEIST (LA CASA DE PAPEL) kama wengi wenu mlivyofanya kipindi hiki cha karantini. Kati ya vitu nlivyogundua ni kwamba mabeberu wako siriaz na agenda zao.
Hebu fikiria USHOGA na USAGAJI unavyokuwa displayed kwenye ile tamthilia. Nakumbuka movie za zamani kulikuwaga na starring and always alikuwaga mtu mwema kwa jamii yake, mtu anayefanya haki always, tulimpenda starring kwa sifa hizo. Starring akifa, movie inaisha nguvu. Kwenye money heist tunampenda PROFESSOR na GANG yake. Hakuna mtu anaonesha kuvutiwa na kazi ya polisi.
Wanapanda ndani yetu the REBELLIOUS MIND, GAYISM and LESBIANISM. Period..
we jamaa umenifurahisha sanaTokyo: But professor when we release part 4 everyone will be in work or in school no one will watch
Professor: that’s where plan Wigan comes. Four months from release date our man in China will eat bat 🦇. The world including Spain will announce a total lockdown. Everyone will be forced to be at home. No Work. No school. Food. Mask. NETFLIX. We will have them where we want them. That’s the plan
😂😂😂