Kwa baadhi ya nchi money can be power ila si Tanzania
ukichunguza wafanyabiashara wengi upper mid levels na wakubwa unaona wengi wanaona pesa pekee za biashara haziwapi power.
hulazimika aidha kuingia direct kwenye nafasi za siasa hasa upande wa chama tawala au indirectly kujiweka karibu na wenye hizo nafasi.
Siasa ina nguvu sana Tanzania, mtu anaweza kalamba teuzi mshahara milioni 3 tu lakini anaweza kumpitisha tajiri kwenye tanuri la moto.
ukichunguza wafanyabiashara wengi upper mid levels na wakubwa unaona wengi wanaona pesa pekee za biashara haziwapi power.
hulazimika aidha kuingia direct kwenye nafasi za siasa hasa upande wa chama tawala au indirectly kujiweka karibu na wenye hizo nafasi.
Siasa ina nguvu sana Tanzania, mtu anaweza kalamba teuzi mshahara milioni 3 tu lakini anaweza kumpitisha tajiri kwenye tanuri la moto.