Jibu limeshapatikana tayari, mods thread ifungwe sasa. 🤒🤒Hawaingii humo kutafuta pesa au kutetea wananchi ila ni kulinda biashara zao. Wanalindaje hilo ni somo la siku nyingine
huyo ni tajiri mkubwa hawezi kuguswaVipi kuhusu Bakhresa?
Duh! Ngoja wenye mafaili ya historia yake waje, kutoa nondo.huyo ni tajiri mkubwa hawezi kuguswa
Ndio mule mule kwamba hawajiamini ...Mfano Makonda alipokuwa Dsm alikuwa na uwezo wa kugombana na Rostam ,siasa bongo ina nguvu sana.Hawaingii humo kutafuta pesa au kutetea wananchi ila ni kulinda biashara zao. Wanalindaje hilo ni somo la siku nyingine
just imagine account yako inasoma B, kama mmepishana kauli na mwenye uteuzi wake roho inaenda mbio sana, muda wowote unahofia inaweza kupigwa loki na taasisi kibao zinazo pokea order kutoka kwa wanachama wanaolamba teuzi,fact.
matajiri wasiokua kwenye siasa pia wanajiweka karibu na watawala kulinda na kuboresha biashara zao.
Vipi kuhusu Bakhresa?
Hawezi kuguswa???huyo ni tajiri mkubwa hawezi kuguswa
Mkuu, leta mafaili.Unafahamu kilichomkumba mtu huyu kwenye Siasa za mwaka 1994 au 1995??
kabisa ipo namna hiyo ujakosea.just imagine account yako inasoma B, kama mmepishana kauli na mwenye uteuzi wake roho inaenda mbio sana, muda wowote unahofia inaweza kupigwa loki na taasisi kibao zinazo pokea order kutoka kwa wanachama wanaolamba teuzi,
shallow analysis! very shallow one. angalia post #2 amekujibu vizuri kabisa. wako mle kulinda biashara zao Leo Chadema ikiingia madarakani, wote wahatamia kule as long as Chadema will entertain such silly , sartan policies.....Kwa baadhi ya nchi money can be power ila si Tanzania
ukichunguza wafanyabiashara wengi upper mid levels na wakubwa unaona wengi wanaona pesa pekee za biashara haziwapi power.
hulazimika aidha kuingia direct kwenye nafasi za siasa hasa upande wa chama tawala au indirectly kujiweka karibu na wenye hizo nafasi.
Siasa ina nguvu sana Tanzania, mtu anaweza kalamba teuzi mshahara milioni 3 tu lakini anaweza kumpitisha tajiri kwenye tanuri la moto.
View attachment 2967536
View attachment 2967537
View attachment 2967538
View attachment 2967542
View attachment 2967539
View attachment 2967540
View attachment 2967546
Money+power=respect.Kwa baadhi ya nchi money can be power ila si Tanzania
ukichunguza wafanyabiashara wengi upper mid levels na wakubwa unaona wengi wanaona pesa pekee za biashara haziwapi power.
hulazimika aidha kuingia direct kwenye nafasi za siasa hasa upande wa chama tawala au indirectly kujiweka karibu na wenye hizo nafasi.
Siasa ina nguvu sana Tanzania, mtu anaweza kalamba teuzi mshahara milioni 3 tu lakini anaweza kumpitisha tajiri kwenye tanuri la moto.
View attachment 2967536
View attachment 2967537
View attachment 2967538
View attachment 2967542
View attachment 2967539
View attachment 2967540
View attachment 2967546