Money Penny kwanini unapendwa sana na wanaume na sio wanawake kwenye Jamii Forums?

Unadhani sisi tuna roho kama yako? Tumeku-support na kukufunza namna ya kubehave. Hivyo umepata followers and you've learned your lesson the hard way.
 
chiiii ume nifanya niende instagram kutazama kibuyu cha Mshana kinavo fanania
daaah wabongo Salute [emoji119][emoji119]
Sent using Xiaomi Redmi Note7 Pro
 
Wewe ni mwanamke ila umeandika kwa kutumia akili za kiume kabisa.

Big up sana kwa kuwa unajitambua.
KWasababu ya company yake, company yake ni Me so hata fikra zake na maandishi yake lazima vifanane nasi.
Nje ya topic; hivi ukiwa na urafiki na mwanamke kwa muda mrefu, siku ikitokea unataka akupe game unafanyaje kumuomba? Nahisi mnakua mmezoeana sana and hence kua ngumu sana kuomba game.
 
Umri mkubwa akili kisoda hujitambui umekazana na kuandika "Wanawake bwana" acha dharau.
Sawa mama mwenye akili zakoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
 
Si ndio hapo sasaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
 
Unadhani sisi tuna roho kama yako? Tumeku-support na kukufunza namna ya kubehave. Hivyo umepata followers and you've learned your lesson the hard way.
How hardπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
It was an easy breezy journey mama
Wewe ndio umehangaika Nami
Mimi.nimetulia napata viewers

Sasa baada ya kugundua ulichofanya umeninufaisha ndio unakuwa mpoleπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Endelea mama, kuna watu hapa watapata gawiwo Lao ivoooπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hamna mtu kamwe anayefanikiwa kwa njia ya kuwashusha wengine ili yeye aonekane bora.
We umempandisha Nani?!
Alafu anti mbona kama unajirudi tena?! Endelea spidi uloanza nayo why are u slomo now??

MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
 
Bibie wewe nitakupa kiki kesho. Kaandae dinner muda umeshaenda.
Mmeongea weeeee baada ya kuona mmeonekana mazuzu sasa mnaenda kupikaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Kweli kama wanaume wanavyosema, Money Penny utabaki kuwa Juu, Juu Juu Sana kama Pierre πŸ˜‚πŸ˜‚

MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
 
Dudu upigwe mara ngapi? Njoo unipe Tena sikuachi Tena unajua navokupenda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
chiiii ume nifanya niende instagram kutazama kibuyu cha Mshana kinavo fanania
daaah wabongo Salute [emoji119][emoji119]

Sent using Xiaomi Redmi Note7 Pro
Another one πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
 
Mpendwa inawezekana hii nikoment Jf apate followers πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
 
MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
 
tuliza mchecheto bibie nime enda kuku angalia insta una fananaje siwez kufollow acc yako maana haija nivutia bali ile comment ya kwamba kuna kibuyu kama cha mshana jr ndo ilio nipeleka kule [emoji125][emoji125]
Another one [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss

Sent using Xiaomi Redmi Note7 Pro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…