Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #21
AmenWewe ni mwanamke ila umeandika kwa kutumia akili za kiume kabisa.
Big up sana kwa kuwa unajitambua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante
To God be the Glory 🙏
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AmenWewe ni mwanamke ila umeandika kwa kutumia akili za kiume kabisa.
Big up sana kwa kuwa unajitambua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uuuuwi, we mtoto wewee usinigombanishe na Mungu wanguHakika mtetezi wetu Wanaume Yu Hai. Na aliyetumwa kuja kuonyesha Ukuu wetu haswa haswa huku JF ni ww Money Penny
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa iyo wanawake ndo mnaongea non senseUna risiti ya kuonyesha navyogawa?! 😂😂😂
Mijitu yenye akili za kike hii hapa sasa, talking non sense kwenye ulimwengu WA technology
Karibu tena boss
I don't know Manka, we waonaje??kwa iyo wanawake ndo mnaongea non sense
Pumzika mwenyewe karantini anti 🤧 naona Corona imekupanda kichwani 😂😂Unajipa umaarufu ambao wala hata hauna.
Na huyo mdau kaja kukujaza tuu upepo huko PM.
Mada zako zimekaa staili Fulani ya kuwavutia wanaume kama sio kuwanyegesha kwahiyo lazima wa comment na kukupenda.
Sasa wanawake ulitaka tucomment nini na wakati targeted readers wa most of your threads ni wanaume?
Tupumzishe tupo bize na Corona.
Sijawazuia wanaume kumpenda MTU but the subject haikuwa Kwa Mia khalifa ilikuwa Kwa money penny🏃🏃🏃🏃🏃 Elewa!!Zingatia hilo. Hata wanaume wanampenda sana Mia khalifa.
HahahahaNakukubali sana Money Penny ,hizo points za namba 5 kama mwanamke anaejielewa akizifuata lazima mume afurahi.Waelemishe bana ingawa najua dawa ni chungu kumeza ila msg sent...
Unajipa umaarufu ambao wala hata hauna.
Na huyo mdau kaja kukujaza tuu upepo huko PM.
Mada zako zimekaa staili Fulani ya kuwavutia wanaume kama sio kuwanyegesha kwahiyo lazima wa comment na kukupenda.
Sasa wanawake ulitaka tucomment nini na wakati targeted readers wa most of your threads ni wanaume?
Tupumzishe tupo bize na Corona.
Duuh, Kumbe hata haujaelewa kwanini nimemtaja mia khalifa.😂😂😂😂😂.Sijawazuia wanaume kumpenda MTU but the subject haikuwa Kwa Mia khalifa ilikuwa Kwa money penny🏃🏃🏃🏃🏃 Elewa!!
Khalifa can open discussion about yeye sijamkataza
Si unaona unavyojichanganya mama?! 😂😂😂😂
Akili za mademu wengine bwana NI 🤕
Uwe unakuja kujichekesha chekesha kwenye minyegesho ya huyu mdau. Maana anatafuta umaarufu kwa nguvu kulazimisha kuonekana eti tunamchukia ndiyo maana hatucomment.
Umeona eeeKARIBU KIUMENI MONEY PENNY WANAUME TUNAPENDANA SANA NA KUSAPOTIANA UKIWA KWENYE COMPANY HAKIKA HUTOJUTA
Kwanza me staki hata ucomment, maana Una comment nonsense na kujiaibishaUwe unakuja kujichekesha chekesha kwenye minyegesho ya huyu mdau. Maana anatafuta umaarufu kwa nguvu kulazimisha kuonekana eti tunamchukia ndiyo maana hatucomment.
Bora mbuzi mkuu, wengine wanatuita furushi[emoji23]Bora hata umeona umuhimu wetu Kuna wengine wanatuona kama vikaragosi wanatuita mbuzi[emoji23][emoji28]
Nawapinga na ninawakemea kwa ukali ila waje kwako wajifunze wasikalie umbea tu.
Jamaan poleni Sana boss