Money Penny kwanini unapendwa sana na wanaume na sio wanawake kwenye Jamii Forums?

Money Penny kwanini unapendwa sana na wanaume na sio wanawake kwenye Jamii Forums?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Muuza vyupi hakukosea.
You really are a psycho.....Na limiwani lako lile kama fundi wa kuchomelea.
Endelea kufurahisha wanaume seems it's what you do best!!!
I rest my case

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio you rest your case you are defeated🤕
Yani wanaume wote huku wanakuona stupid kabisa
Pyscho is you unaeingilia magomvi ambayo hata ukiitwa Hutakuwa na cha kusema, sasa nani pyscho, Yani huna akili unajitukana mwenyewe 😂😂😂
Jamani wanawake jaribuni hata kukaa na Baba zenu wawafundishe kuishi na binaadamu wote.

Ulikuja Kwa gia ya mwuza chupi ila sasa watu huku wamekuona mbululaz kama yeye, sasa unaaga why?!🙄
Endelea kukaa umtetee basi si umemzaa wewe Huyo mwuza chupi?!

Na Mimi nilijua Tu kuna mahali utakwama
Haya kamsalimie Mlokole feki mwenzio alieshindikana mjini
Ps:
Wanaume WA JF wamesema, wameshakuona watakutafuta Kwa wakati wao 😂😂😂😂

Asante Kwa compliment ya miwani ma'am, najua huna ndio maana Una hate😂😂
 
Lemme crack the code.

Miaka 63... Chukua 63, 3 ianze 6 ifatie.
Dada una miaka 36.
Ndoa miaka 35. 5-3=2. Upo kwenye ndoa miaka 2 now.
Watukuu 3, wajukuu 9.
9÷3=3
Watoto 5.
5 idadi ya watoto - 3 jibu la Vitukuu/Wajukuu=2

Una WATOTO 2.

Bibi Bomba is equal to Mtoto Bomba



NI HAYO TU KWA LEO Money Penny

Melvine
You wish!
It is what it is🏃🏃🏃🏃
 
Hannah Umaarufu ubaki huku huku JF....Alikosea njia akavamia page ya watu insta, nilimuonea huruma mimi Money Penny dada mwenye duka la chupi mjini ndio kiboko yako hurudii tena .Insta sio JF [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe me maarufu JF 😂😂😂 maskini sikujua

Cc: KENZY weee Eti me maarufu huku
 
Dada wewe danga, ila kwenye kudanga kwako usitutengenezee mazingira kwamba hatukupendi au hatukusapoti.
So unajua wateja wako ni jinsia gani? Sisi tuache.
Una risiti yangu ya kuonyesha me Danga?!
Embu ulete basi hapa mama watu wakuamini
Sana Sana wanakuona unawivu WA kike kike ambao inazidi kumpandisha chati mdau alienifata pm
NI hayo Tu, ukileta prove(risiti) ya Mimi kuwa danga umenimaliza😂😂😂😂

Sasa mmeamini jamani ee, maneno ya mdau?! 50thebe KENZY Smart911 mahondaw kabanga Extrovert sab Kyalow
dudupori
 
Mimi nasikia tu Money Penny, Money Penny...nimekimbilia uzi walau nimuone, nimeishia kuona mipasho! Hamuwezagi kutoa wasifu kwanza kabla ya habari!😅
Haya Rudi usome tena habari hapo kwenye Uzi alafu urudi tena kwenye comment usome wasifu na haters juu
 
Sio you rest your case you are defeated[emoji856]
Yani wanaume wote huku wanakuona stupid kabisa
Pyscho is you unaeingilia magomvi ambayo hata ukiitwa Hutakuwa na cha kusema, sasa nani pyscho, Yani huna akili unajitukana mwenyewe [emoji23][emoji23][emoji23]
Jamani wanawake jaribuni hata kukaa na Baba zenu wawafundishe kuishi na binaadamu wote.

Ulikuja Kwa gia ya mwuza chupi ila sasa watu huku wamekuona mbululaz kama yeye, sasa unaaga why?![emoji849]
Endelea kukaa umtetee basi si umemzaa wewe Huyo mwuza chupi?!

Na Mimi nilijua Tu kuna mahali utakwama
Haya kamsalimie Mlokole feki mwenzio alieshindikana mjini
Ps:
Wanaume WA JF wamesema, wameshakuona watakutafuta Kwa wakati wao [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Asante Kwa compliment ya miwani ma'am, najua huna ndio maana Una hate[emoji23][emoji23]
Wanaume humu wamekufanya msemaji wao???
I was only stating facts....hujanishinda ila naona tu unatatizo sehemu....
Ungekua unajimudu ungepambana na yule dada hadi mwisho sio kutoa lame excuses ooooh nawaheshimu wazazi wake blah blah....

Wivu??Miwani???? Darling I'm too confident I don't need shades to cover my face...
Ooooh ukimaliza kuuza "hadisi" zako nitafute nikupe a diet program for free looks like u need one [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nilivoona picha nkajua kibuyu cha Mshana kumbe the hottest lady in JF
Byeeee Felicia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una risiti yangu ya kuonyesha me Danga?!
Embu ulete basi hapa mama watu wakuamini
Sana Sana wanakuona unawivu WA kike kike ambao inazidi kumpandisha chati mdau alienifata pm
NI hayo Tu, ukileta prove(risiti) ya Mimi kuwa danga umenimaliza😂😂😂😂

Sasa mmeamini jamani ee, maneno ya mdau?! 50thebe KENZY Smart911 mahondaw kabanga Extrovert sab Kyalow
dudupori
Haujasoma huko juu wamekuambia kwanini wanakupenda? "Kwa sababu unagawa sana". Sio mimi wamejisemea wenyewe.

Woi nikuonee wivu? Mimi Nina muda wakuja kuongea ngono na wanaume niwapandishe nyege ndio niingize hela? Mimi nafanya kazi halali Tena naitwa " madame". Kazi yenye heshima zote😅😅😅
 
Back
Top Bottom