Money Penny kwanini unapendwa sana na wanaume na sio wanawake kwenye Jamii Forums?

Money Penny kwanini unapendwa sana na wanaume na sio wanawake kwenye Jamii Forums?

Ungekuwa huna muda WA kupoteza kwanini bado uko hapa labda?!
Me sijakufuata kwenye himaya yako wewe ndo uko hapa kwangu unaniletea fujo, sasa Nani Hana hoja, ningekuwa sina hoja usingekuja au usingecomment

We kibali kuwa mdau ameniuliza swali ambalo wewe ushatoka majibu yake,

It's a win win situation
Kafanye basi KAZI kama unazo😂😂😂😂
Defeated cheap bastard!
Umesema wanawake wa JF that's why we're here.
Haya kitufe mie ni jobless and one among my fav hobbies is reading, fanya kama unajitag na web yako nikapotezee muda huko.
 
kuna ugomvi baina yenu....???
Me sijui, naona wamekasirika kuona Mdau kanifuata kuniulizia kwanini wanaume wanapenda Sana post zangu na sio wanawake.

Mwingine akapanda mashetani akaanza kuleta ugomvi ambao haumuhusu
Mwingine Corona ikapanda akaanza kutukana🙄
Was all these necessary?!
Maana hakuna MTU alietajwa jina😂😂😂

Yani mambo ya kike kike ya ulanzi udanzi mambo ya kijinga si unaelewa binamu?!
 
Ouch did that hurt?? Did I pop your bubble poleeee.
Too bad I have the freedom to read and comment in whatever thread I want.
Una ng'ang'ania eti wanaume wameona watakutafuta....kumbe we Dalali???
FYI since I know you too well guess who are flooding me with requests for your details [emoji23][emoji23][emoji23]!!!
Sasa hao wachache wanaokusupport hela zao tumia kujiweka vizuri you are too rough....nywele mbovu, ukija kwenye miwani utafikiri mzamiaji baharini na jishepu ndo chefuuuuuu...Utafikiri kizuka kwenye kilinge cha Mshana Jr
Jitengeneze kwanza af uje tuendelee





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa biashara njema😂😂😂😂😂😂.
Endelea na kazi yako., what's that again??? "Kudanga".

Ukiandika mada za maana tutakuja kucomment ila hizi za kupandisha watu nyege tusamehe kwakweli. Bora uone tunakuchukia na hatukusupport. Sisi tunapandisha ngenye babes wetu tuu.
I second you.
 
Umesema wanawake wa JF that's why we're here.
Haya kitufe mie ni jobless and one among my fav hobbies is reading, fanya kama unajitag na web yako nikapotezee muda huko.
Hatimae Corona imeisha kichwani
Cc: kabanga now anataka kuni support 😂😂😂
 
Anti sky is the limit mama, Acha ujinga fanya KAZI yako aliokupatia Mungu
Naandika mada za maana ndio maana Nina viewers laki 5 kwenye website yangu
Nina viewers elfu 20 kwenye YouTube channel yangu

Yani leo huna PA kufurukuta, Kila sehemu unafeli 😂
Sasa kwanini unatulazimisha time tukusuport kwenye biashara yako huku ukijua Wateja wako sio wanawake wenzako? Kila MTU asapotiwe na wateja wake.
 
Ouch did that hurt?? Did I pop your bubble poleeee.
Too bad I have the freedom to read and comment in whatever thread I want.
Una ng'ang'ania eti wanaume wameona watakutafuta....kumbe we Dalali???
FYI since I know you too well guess who are flooding me with requests for your details [emoji23][emoji23][emoji23]!!!
Sasa hao wachache wanaokusupport hela zao tumia kujiweka vizuri you are too rough....nywele mbovu, ukija kwenye miwani utafikiri mzamiaji baharini na jishepu ndo chefuuuuuu...Utafikiri kizuka kwenye kilinge cha Mshana Jr
Jitengeneze kwanza af uje tuendelee





Sent using Jamii Forums mobile app
Anti Uzi huu ukiusoma Kwa kutumia akili na Kwa kutulia haukuhusu kabisa
Ndio maana wanaume wanakushangaa Una shida gani?! 😂😂😂😂
Hujatajwa jina, hujaitwa, NI mwanaume alieuliza swali sio wewe

Doh wanawake jamani me naomba Binamu kabanga wasaidie

U didn't hurt any of my feelings, umeonekana mbululaz zaidi Kwa watu kuingilia mambo yasiokuhusu
 
Sasa kwanini unatulazimisha time tukusuport kwenye biashara yako huku ukijua Wateja wako sio wanawake wenzako? Kila MTU asapotiwe na wateja wake.
Nani kakwambia uni support mama??
Wapi nimeandika uni support?!
Akyanani asee Binamu, njoo chukua mzigo wako kamweleweshe, labda wewe mwanaume atakuelewa kabanga
 
Unajipa umaarufu ambao wala hata hauna.
Na huyo mdau kaja kukujaza tuu upepo huko PM.
Mada zako zimekaa staili Fulani ya kuwavutia wanaume kama sio kuwanyegesha kwahiyo lazima wa comment na kukupenda.
Sasa wanawake ulitaka tucomment nini na wakati targeted readers wa most of your threads ni wanaume?
Tupumzishe tupo bize na Corona.

🤣🤣🤣


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa huu uzi una maana gani literally?
Sasa hivi ndio akili imekujaa sio?!
Corona imeisha kichwani?!
Wamuuliza Nani maswali labda, wakati ulidandia gari Kwa mbele mpaka unaonekana looser
 
Sasa hivi ndio akili imekujaa sio?!
Corona imeisha kichwani?!
Wamuuliza Nani maswali labda, wakati ulidandia gari Kwa mbele mpaka unaonekana looser
Hahahahhahaha kimeo kweli.
Nimekushushua na wewe unasema nimekuuliza swali?😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Unasema hauliliii kusapotiwa huu Uzi umefungua wa nini? Huu Uzi una maana gani kama sio kulilia kusapotiwa ?
 
Back
Top Bottom