Money Penny kwanini unapendwa sana na wanaume na sio wanawake kwenye Jamii Forums?

Money Penny kwanini unapendwa sana na wanaume na sio wanawake kwenye Jamii Forums?

Unajua me sikujua kama wanawake huku hawanipendi๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ naona mdau amenifungua macho Inbox, maskini! me naona Sawa Tu, wakoment wasikoment I don't care!
Hivi nikisema unajali nitakuwa nakosea? Kwa sababu ungekuwa hujali wala usingepoteza muda wako kuandika thread.

Umesema una web eeh huu muda wa kujibizana hapa ungekuwa busy huko kuweka hadithi zako ili uendelee kumake chapaa.
Ila kuendelea kupiga porojo hapa wenye akili watakuona na wewe ni wale wale tu kasoro tarehe.
Me mwenyewe ni kati ya binadamu ambaye sina girl friends wengi. Nikiwahesabu hata 10 hawafiki ila siwezi kuichukulia hii kama ngao ya kujishaua kwa umma as you do (vide your thread)
BTW kila mtu na akili zake bana. Ukihisi huyo mdau wako yuko sawa basi pambana ๐Ÿ˜€


A good day to you
 
Wanaume humu wamekufanya msemaji wao???
I was only stating facts....hujanishinda ila naona tu unatatizo sehemu....
Ungekua unajimudu ungepambana na yule dada hadi mwisho sio kutoa lame excuses ooooh nawaheshimu wazazi wake blah blah....

Wivu??Miwani???? Darling I'm too confident I don't need shades to cover my face...
Ooooh ukimaliza kuuza "hadisi" zako nitafute nikupe a diet program for free looks like u need one [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nilivoona picha nkajua kibuyu cha Mshana kumbe the hottest lady in JF
Byeeee Felicia

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe inakuuma wapi?! NI pale mdau aliponifuata au NI pale nilipofungua uzi huu?!
Maana Uzi haukuhusu
Me nadhani wanaume huku JF washakuelewa kama walivyosema watakutafuta Kwa muda wao mama, VP mbona unakuwa mkali, hakuna hata mwanaume mmoja aliefika kwako ee?! Maskini๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Embu weka basi na wewe picha yako tukuone the hottest one ABI?!
Afadhali yangu wameniona hata Instagram sio YouTube Tu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Yani wanawake bwana Mungu awasaidie
Miwani kwani nilianza YouTube nimevaa miwani?! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Yani huna cha maana cha kukamata attention ya wanaume ndio maana Una struggle Ku comment mara umetukana mara umemleta mwuza chupi hizo sio facts dada,
Na mi NGUMU Sana kwako kumshika mkono Mheshimiwa Raisi
Plz stop embarrassing yourself, umeshajiaibisha vya kutosha na wateja unaowasaka hawaji kwako๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Poyeeeeee na hii Corona wote tumekaa ndani, pambana na Hali yako attention seeker
 
Haujasoma huko juu wamekuambia kwanini wanakupenda? "Kwa sababu unagawa sana". Sio mimi wamejisemea wenyewe.

Woi nikuonee wivu? Mimi Nina muda wakuja kuongea ngono na wanaume niwapandishe nyege ndio niingize hela? Mimi nafanya kazi halali Tena naitwa " madame". Kazi yenye heshima zote[emoji28][emoji28][emoji28]
Classy comeback......sis

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haujasoma huko juu wamekuambia kwanini wanakupenda? "Kwa sababu unagawa sana". Sio mimi wamejisemea wenyewe.

Woi nikuonee wivu? Mimi Nina muda wakuja kuongea ngono na wanaume niwapandishe nyege ndio niingize hela? Mimi nafanya kazi halali Tena naitwa " madame". Kazi yenye heshima zote๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
Nagawa wapi??
Una prove yeyote inayoonyesha me nagawa?!
Ulete basi watu waamini kama nagawa
Sana Sana we ndo mgawaji uliekosa soko
Sasa inakuuma hupati unakuja kutafuta attention hapa
My dia news flash is tuna janga la Corona na kila mtu yupo ndani
Pambana na Hali yako achana na nyuzi ya Money Penny mama
 
Wanaume humu wamekufanya msemaji wao???
I was only stating facts....hujanishinda ila naona tu unatatizo sehemu....
Ungekua unajimudu ungepambana na yule dada hadi mwisho sio kutoa lame excuses ooooh nawaheshimu wazazi wake blah blah....

Wivu??Miwani???? Darling I'm too confident I don't need shades to cover my face...
Ooooh ukimaliza kuuza "hadisi" zako nitafute nikupe a diet program for free looks like u need one [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nilivoona picha nkajua kibuyu cha Mshana kumbe the hottest lady in JF
Byeeee Felicia

Sent using Jamii Forums mobile app
Oh na Felicia ni jina lake? Oh Lord mbona kina Fe...hatuko hivi ๐Ÿ˜ฃ
 
Hivi nikisema unajali nitakuwa nakosea? Kwa sababu ungekuwa hujali wala usingepoteza muda wako kuandika thread.

Umesema una web eeh huu muda wa kujibizana hapa ungekuwa busy huko kuweka hadithi zako ili uendelee kumake chapaa.
Ila kuendelea kupiga porojo hapa wenye akili watakuona na wewe ni wale wale tu kasoro tarehe.
Me mwenyewe ni kati ya binadamu ambaye sina girl friends wengi. Nikiwahesabu hata 10 hawafiki ila siwezi kuichukulia hii kama ngao ya kujishaua kwa umma as you do (vide your thread)
BTW kila mtu na akili zake bana. Ukihisi huyo mdau wako yuko sawa basi pambana ๐Ÿ˜€


A good day to you
Anti me nadhani career wise wewe NI jobless, unaamka SAA 4 au 5 unalala SAA 7 usiku
Utuache Sisi wenye KAZI zetu tunaoamka SAA 10 nanusu alfajiri na kufanya kazi
Ulienda kwenye website ukakuta sijaandika chochote?!
Hii ndio shida, ya kuwa Jamii forum NI priority kwako na sio kitu Baki na unadhani Kwa wenzio NI hivyo hivyo
Anti kafanyie KAZI kipato chako cha kwanza, wenzio JF tunajifurahisha tu
 
Oh na Felicia ni jina lake? Oh Lord mbona kina Fe...hatuko hivi ๐Ÿ˜ฃ
Maskini๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ kizungu as a secondary language
Hata figure of speech unadhani NI jina la MTU๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Shule shule shule Acha kukaa Jamii forum kasome mama upate akili
 
Wanaume humu wamekufanya msemaji wao???
I was only stating facts....hujanishinda ila naona tu unatatizo sehemu....
Ungekua unajimudu ungepambana na yule dada hadi mwisho sio kutoa lame excuses ooooh nawaheshimu wazazi wake blah blah....

Wivu??Miwani???? Darling I'm too confident I don't need shades to cover my face...
Ooooh ukimaliza kuuza "hadisi" zako nitafute nikupe a diet program for free looks like u need one [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nilivoona picha nkajua kibuyu cha Mshana kumbe the hottest lady in JF
Byeeee Felicia

Sent using Jamii Forums mobile app
Hadisi ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ hata kuandika huwezi lakini kupepea watu kwenye mitandao ya kijamii upewe chupi namba one๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Hii ndio sababu Nina MARAFIKI wengi WA kiume kuliko wakike, nadhani mmenielewa sasa Smart911 mahondaw Kyalow kabanga KENZY anasbo Pablo sab 44mg44
 
Nagawa wapi??
Una prove yeyote inayoonyesha me nagawa?!
Ulete basi watu waamini kama nagawa
Sana Sana we ndo mgawaji uliekosa soko
Sasa inakuuma hupati unakuja kutafuta attention hapa
My dia news flash is tuna janga la Corona na kila mtu yupo ndani
Pambana na Hali yako achana na nyuzi ya Money Penny mama
Usiniulize Mimi unagawa wapi? Waulize wanaume walioandika. Si umesema wanaku support?
Na kama ulivoamini walivokuambia hatukupendi na hili la kugawa limeze kama lilivyo.
 
Haujasoma huko juu wamekuambia kwanini wanakupenda? "Kwa sababu unagawa sana". Sio mimi wamejisemea wenyewe.

Woi nikuonee wivu? Mimi Nina muda wakuja kuongea ngono na wanaume niwapandishe nyege ndio niingize hela? Mimi nafanya kazi halali Tena naitwa " madame". Kazi yenye heshima zote๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
Madame?! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Labda WA porn star๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ
Ila sio mbaya maana hata mademu WA bongo movi maarufu wanaitwaga Madame๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Usiniulize Mimi unagawa wapi? Waulize wanaume walioandika. Si umesema wanaku support?
Na kama ulivoamini walivokuambia hatukupendi na hili la kugawa limeze kama lilivyo.
Alieandika ni mwanamke anti
Yani jinsi gani huna evidence unazidi kufeli na kujiaibisha mama, na Mdau anazidi kupanda chati
Nakushauri kaa na wanaume kama rafiki sio mpenzi wwatakuondolea hio roho mbaya ulonayo na Wivu WA kijinga
 
Alieandika ni mwanamke anti
Yani jinsi gani huna evidence unazidi kufeli na kujiaibisha mama, na Mdau anazidi kupanda chati
Nakushauri kaa na wanaume kama rafiki sio mpenzi wwatakuondolea hio roho mbaya ulonayo na Wivu WA kijinga
Comment namba 16 aliyeandika ni mwanamke? Labda ukasome Tena๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚. Ukipewa ukweli unahisi ni mwanamke.
 
Money Penny seems like ushashikwa pabaya comments zako zinathibitisha ilo, then try to be smart dear hoja huna unabaki kuleta mipasho sasa mie sio mwenzako na sina muda wa kupoteza kujibizana na mwanamke wa dizain yako
 
Comment namba 16 aliyeandika ni mwanamke? Labda ukasome Tena๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚. Ukipewa ukweli unahisi ni mwanamke.
Sawa anti
Ila ukweli uko pale pale
Huna evidence na Huyo alieandika Hana evidence
Kama wote mnazi wekeni mezani wadau waone la sivyo wote mnaonekana mazuzu
Yuko Zama za technology, weka vitu hewani anti basi

Akyanani Leo wanaume wamekubaliana Nami asilimia 100 kwamba wanawake NI 0
 
Money Penny seems like ushashikwa pabaya comments zako zinathibitisha ilo, then try to be smart dear hoja huna unabaki kuleta mipasho sasa mie sio mwenzako na sina muda wa kupoteza kujibizana na mwanamke wa dizain yako
Ungekuwa huna muda WA kupoteza kwanini bado uko hapa labda?!
Me sijakufuata kwenye himaya yako wewe ndo uko hapa kwangu unaniletea fujo, sasa Nani Hana hoja, ningekuwa sina hoja usingekuja au usingecomment

We kubali kuwa mdau ameniuliza swali ambalo wewe ushatoa majibu yake,

It's a win win situation
Kafanye basi KAZI kama unayo๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Defeated cheap bastard!
 
Sawa anti
Ila ukweli uko pale pale
Huna evidence na Huyo alieandika Hana evidence
Kama wote mnazi wekeni mezani wadau waone la sivyo wote mnaonekana mazuzu
Yuko Zama za technology, weka vitu hewani anti basi

Akyanani Leo wanaume wamekubaliana Nami asilimia 100 kwamba wanawake NI 0
Sawa biashara njema๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.
Endelea na kazi yako., what's that again??? "Kudanga".

Ukiandika mada za maana tutakuja kucomment ila hizi za kupandisha watu nyege tusamehe kwakweli. Bora uone tunakuchukia na hatukusupport. Sisi tunapandisha ngenye babes wetu tuu.
 
Sawa biashara njema๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.
Endelea na kazi yako., what's that again??? "Kudanga".

Ukiandika mada za maana tutakuja kucomment ila hizi za kupandisha watu nyege tusamehe kwakweli. Bora uone tunakuchukia na hatukusupport. Sisi tunapandisha ngenye babes wetu tuu.
Anti sky is the limit mama, Acha ujinga fanya KAZI yako aliokupatia Mungu
Naandika mada za maana ndio maana Nina viewers laki 5 kwenye website yangu
Nina viewers elfu 20 kwenye YouTube channel yangu

Yani leo huna PA kufurukuta, Kila sehemu unafeli ๐Ÿ˜‚
 
Back
Top Bottom