Money Penny kwanini unapendwa sana na wanaume na sio wanawake kwenye Jamii Forums?

Money Penny kwanini unapendwa sana na wanaume na sio wanawake kwenye Jamii Forums?

Uwe unakuja kujichekesha chekesha kwenye minyegesho ya huyu mdau. Maana anatafuta umaarufu kwa nguvu kulazimisha kuonekana eti tunamchukia ndiyo maana hatucomment.
Hannah Umaarufu ubaki huku huku JF....Alikosea njia akavamia page ya watu insta, nilimuonea huruma mimi Money Penny dada mwenye duka la chupi mjini ndio kiboko yako hurudii tena .Insta sio JF [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza me staki hata ucomment, maana Una comment nonsense na kujiaibisha
umaarufu sihitaji anti nina maisha ya kunitosha nyumbani kwangu labda kama wewe unataka attention kwenye Uzi huu wakufahamu😂😂😂 ndio technique za kike izo
gh hussa
Ndio Yale Yale ulisema best njoo uone sasa
?
Auhitaji umaarufu!? The teh teh teh mbinu za kudanga siku hizi zimebadilika sana. 😅😅😅😅😅😅😅
 
Hannah Umaarufu ubaki huku huku JF....Alikosea njia akavamia page ya watu insta, nilimuonea huruma mimi Money Penny dada mwenye duka la chupi mjini ndio kiboko yako hurudii tena .Insta sio JF [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Una maana Danga Muuza chupi alieshindikana na Kila MTU kamchoka?!

Na anabahati sana, Kama isingekuwa familia yangu inaheshimiana na maza yake ningemchambua kuliko Alivyomfanya Mange Kimambi
Like I said sihitaji umaarufu dada, kuandika andika Stori na kuongea ongea YouTube kunaniingiza hela za kwangu Kwa jina langu,Kwa jeuri yangu
Wewe zako Zi wapi?! KAZI kupepea wanaoingiza pesa mjini for what??
Nonsense
Naomba mdau uje inbox nikutunze, Yale uliongea pm nimeamini Yana ukweli
 
Una maana Danga Muuza chupi alieshindikana?!
Maskini ya Mungu
Kama usingekuwa naheshimiana na maza yake ningemchambua kuliko Alivyomfanya Mange Kimambi
[emoji23][emoji23][emoji23] We nae ndo ulimuanza mwenzako...what u did was unnecessary. Ye unamuita muuza chupi ye anakuita muuza Story. Chupi zinanunulika zaidi kuliko story by the way.
Hata ulivyomponda yule kaka wa watu was uncalled for so you kinda deserved all that shit .
Mbaya zaidi unaonekana we ndo uliumia yule kaka ku move one ukaanza kuwaka na ku misplace stress zako kwa dada wa watu.
Stay in your lane umaarufu wa JF hautambuliki Insta ona sasa amekuumbua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23] We nae ndo ulimuanza mwenzako...what u did was unnecessary. Ye unamuita muuza chupi ye anakuita muuza Story. Chupi zinanunulika zaidi kuliko story by the way.
Hata ulivyomponda yule kaka wa watu was uncalled for so you kinda deserved all that shit .
Mbaya zaidi unaonekana we ndo uliumia yule kaka ku move one ukaanza kuwaka na ku misplace stress zako kwa dada wa watu.
Stay in your lane umaarufu wa JF hautambuliki Insta ona sasa amekuumbua.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nani skuhizi ananunua chupi zake labda wewe
Mama hakuna kitu kinauzwa kama Stori za Mapenzi nikutaarufu
Kwenye website yangu Nina viewers 500,000 na nalipwa na word press
Mbaya zaidi Huyo mwuza chupi wako Hana hela kiivyo kama Mimi 😂😂😂😂 she' s struggling NI vile haujui
Huyo boya alisoma na mwangu Shaabanrobert, mwanangu WA kiume, sasa Nani anatafuta umaarufu Instagram?!😂😂😂

Anti ndio maana nakwambia mdau hakukosea ndege wanaoruka pamoja hufanana!

Me siwezi Fanana na wewe kwasababu wewe unapepea watu huna hata 100 hapo ulipo na hii karantini ndio kabisa, wenzio tunaingiza hela kwenye HADITHI we hata mshahara huna

Me naongea Mapenzi na kuandika Mapenzi naingiza hela Kwa siku, Nani Hana akili?!
 
Kama Mange alimtukana na Hajafunga hakuna atakae mfanye afunge [emoji23][emoji23][emoji23] .
Sasa kwanza umtukane wakati hasira zako ziko kwa mfanyakazi wake??

Sent using Jamii Forums mobile app
Mange alimnyoosha akaweka account private kaja kafungua public juzi
Eti Mlokole😂😂😂😂
Umeingilia ugomvi usio wako ukiitwa Kupokea chenji utapokea?!
 
Mama hakuna kitu kinauzwa kama Stori za Mapenzi nikutaarufu
Kwenye website yangu Nina viewers 500,000 na nalipwa na word press
Mbaya zaidi Huyo mwuza chupi wako Hana hela kiivyo kama Mimi 😂😂😂😂 she' s struggling NI vile haujui
Huyo boya alisoma na mwangu Shaabanrobert, mwanangu WA kiume, sasa Nani anatafuta umaarufu Instagram?!😂😂😂

Anti ndio maana nakwambia mdau hakukosea ndege wanaoruka pamoja hufanana!

Me siwezi Fanana na wewe kwasababu wewe unapepea watu huna hata 100 hapo ulipo na hii karantini ndio kabisa, wenzio tunaingiza hela kwenye HADITHI we hata mshahara huna

Me naongea Mapenzi na kuandika Mapenzi naingiza hela Kwa siku, Nani Hana akili?!
imekaa iyo money
 
UZI WA MICHAMBANO YA WANAWAKE VS WANAWAKE NA WANAUME TUNAKUWA WATAZAMAJI, WAVULANA WANATAFUTA UPANDE WA KUSAPOTI
Msapotini Huyo asie na akili akishapata akili mrudi kwangu tuendelee na kutafuta maisha
 
Nani skuhizi ananunua chupi zake labda wewe
Mama hakuna kitu kinauzwa kama Stori za Mapenzi nikutaarufu
Kwenye website yangu Nina viewers 500,000 na nalipwa na word press
Mbaya zaidi Huyo mwuza chupi wako Hana hela kiivyo kama Mimi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] she' s struggling NI vile haujui
Huyo boya alisoma na mwangu Shaabanrobert, mwanangu WA kiume, sasa Nani anatafuta umaarufu Instagram?![emoji23][emoji23][emoji23]

Anti ndio maana nakwambia mdau hakukosea ndege wanaoruka pamoja hufanana!

Me siwezi Fanana na wewe kwasababu wewe unapepea watu huna hata 100 hapo ulipo na hii karantini ndio kabisa, wenzio tunaingiza hela kwenye HADITHI we hata mshahara huna

Me naongea Mapenzi na kuandika Mapenzi naingiza hela Kwa siku, Nani Hana akili?!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Muuza vyupi hakukosea.
You really are a psycho.....Na limiwani lako lile kama fundi wa kuchomelea.
Endelea kufurahisha wanaume seems it's what you do best!!!
I rest my case

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Napatikana Instagram, YouTube ,Twitter na Nina website ambayo naandika HADITHI za Mapenzi, Maisha na Mahusiano
NI Bibi WA Miaka 63, Nina ndoa yenye Miaka 35 ya kikristo kabisa, watukuu 3, wajukuu 9, mama WA watoto 5, [emoji23][emoji23], mtaani wanajiita Bibi Bomba [emoji23][emoji23]
Nawapenda wote [emoji173]

Lemme crack the code.

Miaka 63... Chukua 63, 3 ianze 6 ifatie.
Dada una miaka 36.
Ndoa miaka 35. 5-3=2. Upo kwenye ndoa miaka 2 now.
Watukuu 3, wajukuu 9.
9÷3=3
Watoto 5.
5 idadi ya watoto - 3 jibu la Vitukuu/Wajukuu=2

Una WATOTO 2.

Bibi Bomba is equal to Mtoto Bomba



NI HAYO TU KWA LEO Money Penny

Melvine
 
Back
Top Bottom