Money Penny kwanini unapendwa sana na wanaume na sio wanawake kwenye Jamii Forums?

Eti umefika kutuingizia hela wee na Corona hii upate wapi pesa 😁😁😁
Hata jinsi wenzio wanavyoingiza hela hujui maskiniπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kwanini ujue labda?! Sio Kwa roho ulionayo, mbaya na hovyo
Yani anti as long as mimi na Mdau tumekupeleka tulikokuwa tunataka na umefika na kutuingizia hela, Sisi hatuna la ziada zaidi ya kukushukuru

MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
Washafika viewers laki 8 kwenye website mpaka sasaπŸ”₯❀πŸ’ͺ
 
Binti [emoji23][emoji23] hairuhusiwi kupiga namna hii, ni dhambi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti sura kama tufe jamanii wee mdau umenichekesha leoπŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„Asante Money Penny kwa uzi wako 😁😁😁
Asante Kwa kuniingizia hela za viewersπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
Washafika viewers laki 8 kwenye website mpaka sasaπŸ”₯❀πŸ’ͺ
 
Sema we manzi nawe punguza kutafuta attention.
Kila uzi za kijinga tu sijawahi ona uzi za maana kwako.
Huko youtube sijui hata wanafuata nini.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaenda kuniona kama nafanana NAOπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Yani as long as mimi na Mdau tumewapeleka tulikokuwa tunataka na wamefika na kutuingizia hela, Sisi hatuna la ziada zaidi ya kukushukuru

MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
Washafika viewers laki 8 kwenye website mpaka sasaπŸ”₯❀πŸ’ͺ
 
Sema we manzi nawe punguza kutafuta attention.
Kila uzi za kijinga tu sijawahi ona uzi za maana kwako.
Huko youtube sijui hata wanafuata nini.

Sent using Jamii Forums mobile app
Anko me sijawahi kutafuta attention unless nyuzi nazoandika zimekupa attention

Usichangante maji na mafuta, sina label kwenye description yangu inayosemwa am looking for attention unless umeiona ulete hapa

Yani as long as mimi na Mdau tumekupeleka tulikokuwa tunataka na umefika na kutuingizia hela, Sisi hatuna la ziada zaidi ya kukushukuru

MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
Washafika viewers laki 8 kwenye website mpaka sasaπŸ”₯❀πŸ’ͺ
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]kwakweli tumefurahi baada ya kuchoshwa na habar za corona vs siasa.

Money penny tunashukuru kwa uzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya asanteni na nyie Kwa kunipa viewers laki 8 leo
Hela itakayoingia itakuwa Nono Sana
MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
Washafika viewers laki 8 kwenye website mpaka sasaπŸ”₯❀πŸ’ͺ
 

Weka picha nione hao viewers laki 8


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Weka picha nione hao viewers laki 8


Sent using Jamii Forums mobile app
KAZI ya kuweka picha NI yako not mineπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kwan picha za Kwanza nikiweka Mimi?!

MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
Washafika viewers laki 8 kwenye website mpaka sasaπŸ”₯❀πŸ’ͺ
 
Abarikiwee money penny


Sent using Jamii Forums mobile app
Mdau sasa wamekuja kubarikiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ maskiniπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
Washafika viewers laki 8 kwenye website mpaka sasaπŸ”₯❀πŸ’ͺ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…