Mdomo bakuli
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 3,442
- 7,007
Yani NI sheedah
Me nachoshukuru NI kwamba nazidi kumimona viewed kwenye website yangu walonitangazia[emoji23][emoji23][emoji23]
Acha wakoment hapa weee watu wote JF wakisoma wanapanda kwenye website ma naingiza hela
Ndio akili ya kiume hio, sio kupiga nuksi JF alafu huna hata 100
Sijui kwann nmejikuta nakuonea huruma, dah unajisifu sana mkuu punguza hiyo, acha watu wakusifuYani anti as long as mimi na Mdau tumekupeleka tulikokuwa tunataka na umefika na kutuingizia hela, Sisi hatuna la ziada zaidi ya kukushukuru
We kibali Tu umeshashindwa [emoji23]
MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
Washafika viewers laki 8 kwenye website mpaka sasa[emoji91][emoji3590][emoji123]
Duh kama uchawi vile kumbe NI hatred za wanawake zimezaa matunda[emoji23][emoji23]
Asante Boss ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ
Nashangaa๐๐๐๐mwanzisha mada mbona hana kosa lolote
aliyo andika yote ni kweli na sahihi
ana point ya msingi
mapovu ya nini?
"sipendi kuombwa hela"
WoiUbarikiwe sana Money Penny
Upendo ulionao kwetu, hakika hauna kipimo. Wenzio wanatuchukulia poa.
Satan
Aisee๐๐๐๐Sijui kwann nmejikuta nakuonea huruma, dah unajisifu sana mkuu punguza hiyo, acha watu wakusifu
Sent using Gun Trigger
Wewe ndie ulimuweka kwenye ignored list au yeye ndie kakuweka kwenye ignored list?
Corona Virus: Stay Home the only Medicine found.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nimecheka sanaKifuatacho nitakupiga sasa emu niache
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nimecheka sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nimecheka sana
Yani as long as mimi na Mdau tumekupeleka tulikokuwa tunataka na umefika na kutuingizia hela, Sisi hatuna la ziada zaidi ya kukushukuru
Kabisa ๐๐๐endeleeni kusabusikiraibu suuni tutamtangaza mshindi wa uzi huu
Hatareee ๐ชWenye uume
Yani as long as mimi na Mdau tumekupeleka tulikokuwa tunataka na umefika na kutuingizia hela, Sisi hatuna la ziada zaidi ya kukushukuruNilimuweka kitambo sana....
Nilikuwa nakereka na mada zake, sijui kwann leo imetokea hii mada on top.
[emoji23][emoji23][emoji23],,, ndo maana siku hizi wakina naniliu wapo kimyaaa,, Simba umeamua hutaki fitnaNishalifuta me skaagi na wasaga sumu na wenye roho mbaya[emoji23][emoji23][emoji23]
Na vile hupendi kuombwa pesa [emoji23]mwanzisha mada mbona hana kosa lolote
aliyo andika yote ni kweli na sahihi
ana point ya msingi
mapovu ya nini?
"sipendi kuombwa hela"
Woyoooooooo ๐ฅ hapa KAZI Tu ๐ช[emoji23][emoji23][emoji23],,, ndo maana siku hizi wakina naniliu wapo kimyaaa,, Simba umeamua hutaki fitna
Sent using Jamii Forums mobile app