Money Penny kwanini unapendwa sana na wanaume na sio wanawake kwenye Jamii Forums?

Money Penny kwanini unapendwa sana na wanaume na sio wanawake kwenye Jamii Forums?

Darling I have a job nzuri tu. I earn a lot better...Way better than a cheap story writer!!
FYI huyo muuza chupi sina hata undugu nae. To me she is a stranger just as your are. Ila ulikosa tu ustaarabu kwenda kutukana kwenye page yake kisa kamuajiri mwanaume alokukataa . Whatever her life is atleast she is classy and making an honest living out of it.... while you are here making a fool out of your sorry self .Shame!!
Did she say that guy ni Tax consultant na proffesional Accountant?? No wonder he couldn't keep up with you coz kichwa kimejaa mapenzi tu [emoji23]akakupiga chini. See your life....late 30's, desperate and seeking attention from starngers mitandaoni .Get a life b@&#
Yani kichaa chako wewe kwetu sie burudani....endelea


Sent using Jamii Forums mobile app
I can see that😂 Eti KAZI nzuri labda ya kuzibua mitaro (kuzibuliwa mtaro)
Sio Kwa maneno unayoandika
Nobody wants to employ a looser like you ambae Hana discipline wala hawezi kutofautisha maneno yanayomhusu na yasiohusu
Ila sio mbaya labda kampuni ya maji taka imekuajiri au kama unatoa tiket kwenye magari ya mwendoa Kasi
ila MTU mstaarabu kukuajiri wewe ngumu, hata serikali haiwezi kukuajiri kilaza kama wewe probably hata ushatumbuliwa huko serikalini, unakuja kumalizia stress zako hapa 😂😂😂
 
Maskini umeboa 😂😂😂😂
Huna PA kuanzia, Kila utakapo comment kuanzia leo unaingia anga la mtoto WA kiume unalo, washakujua, labda upotee Kwa muda JF
Nipotee jf? Oooooohhhh nimeogopa! Umenichambaa Leo😂😂😂😂😂.
Unajua kuchamba dooh. Basi nisamehe naenda kukusuport .
 
Kwaweli tumsuport amelia lia sana. Twende huko sijui kwenye channel yake tumpe support hamna namna. Lasivyo hivi vilio vyake havitaisha Leo wala kesho.
😂😂😂😂😂 Yamewashinda hayooo yamezodoka😂😂😂
Aibuuu

Yani anti as long as mimi na Mdau tumekupeleka tulikokuwa tunataka na umefika na kutuingizia hela, Sisi hatuna la ziada zaidi ya kukushukuru

MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
Washafika viewers laki 8 kwenye website mpaka sasa🔥❤💪
 
Nipotee jf? Oooooohhhh nimeogopa! Umenichambaa Leo😂😂😂😂😂.
Unajua kuchamba dooh. Basi nisamehe naenda kukusuport .
Kajisapoti wewe kwanza Kwa kujipeleka shule kwenye elimu bure ukafute ujinga kichwani la sivyo wanaume watakuwa wanakutafuna bure Kila siku

Yani anti as long as mimi na Mdau tumekupeleka tulikokuwa tunataka na umefika na kutuingizia hela, Sisi hatuna la ziada zaidi ya kukushukuru

MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
Washafika viewers laki 8 kwenye website mpaka sasa🔥❤💪
 
Darling I have a job nzuri tu. I earn a lot better...Way better than a cheap story writer!!
FYI huyo muuza chupi sina hata undugu nae. To me she is a stranger just as your are. Ila ulikosa tu ustaarabu kwenda kutukana kwenye page yake kisa kamuajiri mwanaume alokukataa . Whatever her life is atleast she is classy and making an honest living out of it.... while you are here making a fool out of your sorry self .Shame!!
Did she say that guy ni Tax consultant na proffesional Accountant?? No wonder he couldn't keep up with you coz kichwa kimejaa mapenzi tu [emoji23]akakupiga chini. See your life....late 30's, desperate and seeking attention from starngers mitandaoni .Get a life b@&#
Yani kichaa chako wewe kwetu sie burudani....endelea


Sent using Jamii Forums mobile app

Money penny huwa anasema kaolewa jamani


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kajisapoti wewe kwanza Kwa kujipeleka shule kwenye elimu bure ukafute ujinga kichwani la sivyo wanaume watakuwa wanakutafuna bure Kila siku
OMG? Kumbe natakiwa niwe nawauzia? 😂😂😂😂.
Kwahiyo shule nitafundisha kuuza uchi nisiwape bure? Sasa ndiyo maana nakwambia unadanga haunielewi.
Hapo utakuwa umenielewa sasa. Hiyo ndio maana halisi na kujiuza. Imeisha hiyo.
 
Penny, hebu screen shot hiyo web yako nikakusapoti, napenda kusoma.

Corona Virus: Stay Home the only Medicine found.
Screenshot_20200430-144543.png

Nimeshatoa support yangu Hannah
 
yani ukiwa na pesa raha sana unaweza kuwaowa hawa wote wanaobishana na kwenye nyumba hautasikia kelele kabisa.pesa yako tu
 
Back
Top Bottom