Money Penny kwanini unapendwa sana na wanaume na sio wanawake kwenye Jamii Forums?

I can see that😂 Eti KAZI nzuri labda ya kuzibua mitaro (kuzibuliwa mtaro)
Sio Kwa maneno unayoandika
Nobody wants to employ a looser like you ambae Hana discipline wala hawezi kutofautisha maneno yanayomhusu na yasiohusu
Ila sio mbaya labda kampuni ya maji taka imekuajiri au kama unatoa tiket kwenye magari ya mwendoa Kasi
ila MTU mstaarabu kukuajiri wewe ngumu, hata serikali haiwezi kukuajiri kilaza kama wewe probably hata ushatumbuliwa huko serikalini, unakuja kumalizia stress zako hapa 😂😂😂
 
Maskini umeboa 😂😂😂😂
Huna PA kuanzia, Kila utakapo comment kuanzia leo unaingia anga la mtoto WA kiume unalo, washakujua, labda upotee Kwa muda JF
Nipotee jf? Oooooohhhh nimeogopa! Umenichambaa Leo😂😂😂😂😂.
Unajua kuchamba dooh. Basi nisamehe naenda kukusuport .
 
Kwaweli tumsuport amelia lia sana. Twende huko sijui kwenye channel yake tumpe support hamna namna. Lasivyo hivi vilio vyake havitaisha Leo wala kesho.
😂😂😂😂😂 Yamewashinda hayooo yamezodoka😂😂😂
Aibuuu

Yani anti as long as mimi na Mdau tumekupeleka tulikokuwa tunataka na umefika na kutuingizia hela, Sisi hatuna la ziada zaidi ya kukushukuru

MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
Washafika viewers laki 8 kwenye website mpaka sasa🔥❤💪
 
Nipotee jf? Oooooohhhh nimeogopa! Umenichambaa Leo😂😂😂😂😂.
Unajua kuchamba dooh. Basi nisamehe naenda kukusuport .
Kajisapoti wewe kwanza Kwa kujipeleka shule kwenye elimu bure ukafute ujinga kichwani la sivyo wanaume watakuwa wanakutafuna bure Kila siku

Yani anti as long as mimi na Mdau tumekupeleka tulikokuwa tunataka na umefika na kutuingizia hela, Sisi hatuna la ziada zaidi ya kukushukuru

MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
Washafika viewers laki 8 kwenye website mpaka sasa🔥❤💪
 

Money penny huwa anasema kaolewa jamani


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kajisapoti wewe kwanza Kwa kujipeleka shule kwenye elimu bure ukafute ujinga kichwani la sivyo wanaume watakuwa wanakutafuna bure Kila siku
OMG? Kumbe natakiwa niwe nawauzia? 😂😂😂😂.
Kwahiyo shule nitafundisha kuuza uchi nisiwape bure? Sasa ndiyo maana nakwambia unadanga haunielewi.
Hapo utakuwa umenielewa sasa. Hiyo ndio maana halisi na kujiuza. Imeisha hiyo.
 
yani ukiwa na pesa raha sana unaweza kuwaowa hawa wote wanaobishana na kwenye nyumba hautasikia kelele kabisa.pesa yako tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…