MONGELA: Kauli ya Waziri Mkuu ilitoka kabla ya Vurugu kutokea Loliondo

MONGELA: Kauli ya Waziri Mkuu ilitoka kabla ya Vurugu kutokea Loliondo

JUMA JUMA

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
790
Reaction score
964
TAARIFA ZINAZOENDELEA KATIKA MITANDAO YA KIJAMII KUHUSU KAULI YA WAZIRI MKUU KUHUSU LOLIONDO ZAKUPUUZWA

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Mongella amesema tuendelee kuwapuuza wale wote wanaopotosha kuhusu kauli ya Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa kuhusu sakata la Loliondo

"Kauli ya Waziri Mkuu ilitoka kabla ya vurugu kutokea Loliondo" - Mkuu wa Mkoa Arusha Mhe. Mongella

Pia amesisitiza na kuwaomba Watanzania kuendelee kuwapuuza wale wote wanaotumia kauli ya Waziri Mkuu kwa nia ovu na maslahi yao binafsi.
 

Attachments

  • Screenshot_20220612-135718.jpg
    Screenshot_20220612-135718.jpg
    29.9 KB · Views: 6
  • Screenshot_20220612-134904.jpg
    Screenshot_20220612-134904.jpg
    20.7 KB · Views: 7
Hao wanaosema waziri mkuu wanamuonea bure tu

Waziri anasema kile anachoambiwa na hangaya!

Kwani hatujui kama hangaya ameuza mbuga kwa waoman?
 
TAARIFA ZINAZOENDELEA KATIKA MITANDAO YA KIJAMII KUHUSU KAULI YA WAZIRI MKUU KUHUSU LOLIONDO ZAKUPUUZWA

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Mongella amesema tuendelee kuwapuuza wale wote wanaopotosha kuhusu kauli ya Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa kuhusu sakata la Loliondo

"Kauli ya Waziri Mkuu ilitoka kabla ya vurugu kutokea Loliondo" - Mkuu wa Mkoa Arusha Mhe. Mongella

Pia amesisitiza na kuwaomba Watanzania kuendelee kuwapuuza wale wote wanaotumia kauli ya Waziri Mkuu kwa nia ovu na maslahi yao binafsi.
Hatimaye wamekubali kuwa loliondo kuna vurugu. Siku zote njia ya mwongo ni fupi
 
Nikashangaa BAVICHA walivyokalia vitu vidogo, Mongella naona alimpatia taarifa ya uongo waziri mkuu
 
Hao wanaosema waziri mkuu wanamuonea bure tu

Waziri anasema kile anachoambiwa na hangaya!

Kwani hatujui kama hangaya ameuza mbuga kwa waoman?
Mama najua ana nia nzuri ya dhati. Tatizo waliomzunguka. Usimlaumu kabisa mama. Kamrudishia Lissu wetu hela zake zote. Kamrudishia Mbowe wetu hela zake zote. Tatizo waliomzunguka mama.

Ila licha ya yote kikubwa ni kupigamiti na mkono kwenda kinywani ukisubiria kufa.

Wewe Crimea unachotakiwa kufanya ni kwenda kupalilia majani na magugu yalioota chato international Airport na kuondoa mould kwenye lounge za arrival na departure.

Kammoon
 
Kwa hiyo Loliondo kulikuwa hakuna vurugu, lakini waziri mkuu aliposema tu Loliondo hakuna vurugu mara ghafla vurugu zikaanza!

Wapuuzi wakubwa hawa watawala wa CCM.
Au kwa lugha nyepesi tuseme waziri Mkuu ndiye amechochea hizo vurugu. Wanajichanganya sana hawa wahuni
 
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Mongella amesema tuendelee kuwapuuza wale wote wanaopotosha kuhusu kauli ya Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa kuhusu sakata la Loliondo

"Kauli ya Waziri Mkuu ilitoka kabla ya tukio la machafuko kutokea" - Mkuu wa Mkoa Arusha Mhe. Mongella

Pia amesisitiza na kuwaomba Watanzania kuendelee kuwapuuza wale wote wanaotumia kauli ya Waziri Mkuu kwa nia ovu na maslahi yao binafsi.
 
Back
Top Bottom