Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Uyo waziri mkuu tangu alivyosema Magufuli anachapa kazi Ikulu wakati yupo wodini anapambania uhai, aaminiki tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daima ccm huwa hawanaga akili kazi yao kutetea ugali tu.Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Mongella amesema tuendelee kuwapuuza wale wote wanaopotosha kuhusu kauli ya Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa kuhusu sakata la Loliondo
"Kauli ya Waziri Mkuu ilitoka kabla ya tukio la machafuko kutokea" - Mkuu wa Mkoa Arusha Mhe. Mongella
Pia amesisitiza na kuwaomba Watanzania kuendelee kuwapuuza wale wote wanaotumia kauli ya Waziri Mkuu kwa nia ovu na maslahi yao binafsi.
Hahaha......mama mwalimu una ujinga mwingi sanaNjia yako ya haja kubwa
Hao wanaosema waziri mkuu wanamuonea bure tu
Waziri anasema kile anachoambiwa na hangaya!
Kwani hatujui kama hangaya ameuza mbuga kwa waoman?
Nilijua tu Mh. PM hawezi kuongopa hata kidogoTAARIFA ZINAZOENDELEA KATIKA MITANDAO YA KIJAMII KUHUSU KAULI YA WAZIRI MKUU KUHUSU LOLIONDO ZAKUPUUZWA
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Mongella amesema tuendelee kuwapuuza wale wote wanaopotosha kuhusu kauli ya Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa kuhusu sakata la Loliondo
"Kauli ya Waziri Mkuu ilitoka kabla ya vurugu kutokea Loliondo" - Mkuu wa Mkoa Arusha Mhe. Mongella
Pia amesisitiza na kuwaomba Watanzania kuendelee kuwapuuza wale wote wanaotumia kauli ya Waziri Mkuu kwa nia ovu na maslahi yao binafsi.
Hao wanaosema waziri mkuu wanamuonea bure tu
Waziri anasema kile anachoambiwa na hangaya!
Kwani hatujui kama hangaya ameuza mbuga kwa waoman?
Nilijua tu Mh. PM hawezi kuongopa hata kidogo
Sasa tuzipuuze taarifa za upotoshaji zinazoendelea mitandaoni
Kumbe wewe ni mpumbavu kiasi hikiHao wanaosema waziri mkuu wanamuonea bure tu
Waziri anasema kile anachoambiwa na hangaya!
Kwani hatujui kama hangaya ameuza mbuga kwa waoman?
Aisee. Leo Samia unamwita Hangaya?. Utafukuzwa kwenye Corridor za Lumumba wewe!!Hao wanaosema waziri mkuu wanamuonea bure tu
Waziri anasema kile anachoambiwa na hangaya!
Kwani hatujui kama hangaya ameuza mbuga kwa waoman?
Nikikumbuka ile kauli " ni mzima yuko offisini anaendelea na kazi na mimi nimeongea naye leo"Kati ya RC au Waziri kuna mmoja alimpa PM taarifa zisizo sahih
TAARIFA ZINAZOENDELEA KATIKA MITANDAO YA KIJAMII KUHUSU KAULI YA WAZIRI MKUU KUHUSU LOLIONDO ZAKUPUUZWA
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Mongella amesema tuendelee kuwapuuza wale wote wanaopotosha kuhusu kauli ya Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa kuhusu sakata la Loliondo
"Kauli ya Waziri Mkuu ilitoka kabla ya vurugu kutokea Loliondo" - Mkuu wa Mkoa Arusha Mhe. Mongella
Pia amesisitiza na kuwaomba Watanzania kuendelee kuwapuuza wale wote wanaotumia kauli ya Waziri Mkuu kwa nia ovu na maslahi yao binafsi.
Kwani Samia yeye anasemaje kwenye hili sakata la Ngoroo!!??Nikashangaa BAVICHA walivyokalia vitu vidogo, Mongella naona alimpatia taarifa ya uongo waziri mkuu
Serekali itendee haki,kuna muda mwingine ubabe haulipi mbele ya haki!!!Huyo mkuu wa Mkoa aache kutufundisha cha kufanya, sisi tunajua kila kitu kinachoendelea Loliondo.
Tuliambiwa na mitandao kuwa Magu amekufa, waziri mkuu akasema Magu yuko hai na anachapa kazi Ikulu, baada ya siku chache tukapewa mzoga wetu tukauzike Chato!
Juzi mitandao ilituambia kuwa kuna uvunjifu mkubwa wa amani unaendelea Loliondo, waziri mkuu akasema Loliondo hakuna tatizo lolote na kumejaa amani tele, jana tumepewa mzoga wa polisi wetu aliyeuwawa huko Loliondo nao tukauzike!
TAARIFA ZINAZOENDELEA KATIKA MITANDAO YA KIJAMII KUHUSU KAULI YA WAZIRI MKUU KUHUSU LOLIONDO ZAKUPUUZWA
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Mongella amesema tuendelee kuwapuuza wale wote wanaopotosha kuhusu kauli ya Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa kuhusu sakata la Loliondo
"Kauli ya Waziri Mkuu ilitoka kabla ya vurugu kutokea Loliondo" - Mkuu wa Mkoa Arusha Mhe. Mongella
Pia amesisitiza na kuwaomba Watanzania kuendelee kuwapuuza wale wote wanaotumia kauli ya Waziri Mkuu kwa nia ovu na maslahi yao binafsi.
Yuko Nchini Oman kusaini mikstaba ya kuiuza ngorongoro kwa waarabu.Kwani Samia yeye anasemaje kwenye hili sakata la Ngoroo!!??
Kauli ya Waziri Mkuu ilitoka saa ngapi na vurugu zilitokea saa ngapi? Wewe ni muongo kuliko baba yako iwapo humjui. Lowassa akiwa waxiri mkuu , nawe ukiwa mkuu wa wilaya ya kigoma alitaka kukufukuza kaxi kwa sabsbu za kutaka kumdanganya.TAARIFA ZINAZOENDELEA KATIKA MITANDAO YA KIJAMII KUHUSU KAULI YA WAZIRI MKUU KUHUSU LOLIONDO ZAKUPUUZWA
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Mongella amesema tuendelee kuwapuuza wale wote wanaopotosha kuhusu kauli ya Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa kuhusu sakata la Loliondo
"Kauli ya Waziri Mkuu ilitoka kabla ya vurugu kutokea Loliondo" - Mkuu wa Mkoa Arusha Mhe. Mongella
Pia amesisitiza na kuwaomba Watanzania kuendelee kuwapuuza wale wote wanaotumia kauli ya Waziri Mkuu kwa nia ovu na maslahi yao binafsi.