MONGELA: Kauli ya Waziri Mkuu ilitoka kabla ya Vurugu kutokea Loliondo

MONGELA: Kauli ya Waziri Mkuu ilitoka kabla ya Vurugu kutokea Loliondo

Uyo waziri mkuu tangu alivyosema Magufuli anachapa kazi Ikulu wakati yupo wodini anapambania uhai, aaminiki tena
 
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Mongella amesema tuendelee kuwapuuza wale wote wanaopotosha kuhusu kauli ya Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa kuhusu sakata la Loliondo

"Kauli ya Waziri Mkuu ilitoka kabla ya tukio la machafuko kutokea" - Mkuu wa Mkoa Arusha Mhe. Mongella

Pia amesisitiza na kuwaomba Watanzania kuendelee kuwapuuza wale wote wanaotumia kauli ya Waziri Mkuu kwa nia ovu na maslahi yao binafsi.
Daima ccm huwa hawanaga akili kazi yao kutetea ugali tu.
 
Huyo mkuu wa Mkoa aache kutufundisha cha kufanya, sisi tunajua kila kitu kinachoendelea Loliondo.

Tuliambiwa na mitandao kuwa Magu amekufa, waziri mkuu akasema Magu yuko hai na anachapa kazi Ikulu, baada ya siku chache tukapewa mzoga wetu tukauzike Chato!

Juzi mitandao ilituambia kuwa kuna uvunjifu mkubwa wa amani unaendelea Loliondo, waziri mkuu akasema Loliondo hakuna tatizo lolote na kumejaa amani tele, jana tumepewa mzoga wa polisi wetu aliyeuwawa huko Loliondo nao tukauzike!
 
Hao wanaosema waziri mkuu wanamuonea bure tu

Waziri anasema kile anachoambiwa na hangaya!

Kwani hatujui kama hangaya ameuza mbuga kwa waoman?

Hilo li Hangaya pia limemuambia aseme Loliondo hakuna vurugu ilhali kuna vurugu?
 
TAARIFA ZINAZOENDELEA KATIKA MITANDAO YA KIJAMII KUHUSU KAULI YA WAZIRI MKUU KUHUSU LOLIONDO ZAKUPUUZWA

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Mongella amesema tuendelee kuwapuuza wale wote wanaopotosha kuhusu kauli ya Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa kuhusu sakata la Loliondo

"Kauli ya Waziri Mkuu ilitoka kabla ya vurugu kutokea Loliondo" - Mkuu wa Mkoa Arusha Mhe. Mongella

Pia amesisitiza na kuwaomba Watanzania kuendelee kuwapuuza wale wote wanaotumia kauli ya Waziri Mkuu kwa nia ovu na maslahi yao binafsi.
Nilijua tu Mh. PM hawezi kuongopa hata kidogo
Sasa tuzipuuze taarifa za upotoshaji zinazoendelea mitandaoni
 
Hao wanaosema waziri mkuu wanamuonea bure tu

Waziri anasema kile anachoambiwa na hangaya!

Kwani hatujui kama hangaya ameuza mbuga kwa waoman?

Serikali ya chifu hangaya itapelekea Mambo mengi ya ajabu mbeleni.
 
Nilijua tu Mh. PM hawezi kuongopa hata kidogo
Sasa tuzipuuze taarifa za upotoshaji zinazoendelea mitandaoni

Mkuu wa Mkoa ana mamlaka kuliko waziri Mkuu?. Waziri mkuu Ni muongo na ana tabia za uongo.
 
Namwamini Waziri Mkuu vilevile Namwamini Mkuu wa Mkoa


Saiamini waliyotamka

Naamini Wananchi kutamka 'Tumechoshwa'

Naamini Waziri Mkuu na Mkuu wa mkoa pamoja na chama chao... "HAWACHAGULIKI"

Naamini Wananchi watafanya lile lifanywalo kila baada ya miaka mitano, nalo ni "KUWANG'OA kwa kura 2025
 
Hao wanaosema waziri mkuu wanamuonea bure tu

Waziri anasema kile anachoambiwa na hangaya!

Kwani hatujui kama hangaya ameuza mbuga kwa waoman?
Kumbe wewe ni mpumbavu kiasi hiki
 
Hao wanaosema waziri mkuu wanamuonea bure tu

Waziri anasema kile anachoambiwa na hangaya!

Kwani hatujui kama hangaya ameuza mbuga kwa waoman?
Aisee. Leo Samia unamwita Hangaya?. Utafukuzwa kwenye Corridor za Lumumba wewe!!
 
Kuwa muongo inahitaji uwe na akili kubwa, tatizo la hao mazuzu ni kudhani wana akili kuliko wengine.
 
TAARIFA ZINAZOENDELEA KATIKA MITANDAO YA KIJAMII KUHUSU KAULI YA WAZIRI MKUU KUHUSU LOLIONDO ZAKUPUUZWA

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Mongella amesema tuendelee kuwapuuza wale wote wanaopotosha kuhusu kauli ya Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa kuhusu sakata la Loliondo

"Kauli ya Waziri Mkuu ilitoka kabla ya vurugu kutokea Loliondo" - Mkuu wa Mkoa Arusha Mhe. Mongella

Pia amesisitiza na kuwaomba Watanzania kuendelee kuwapuuza wale wote wanaotumia kauli ya Waziri Mkuu kwa nia ovu na maslahi yao binafsi.

Naona mnalazimisha kubalance equation.
 
Huyo mkuu wa Mkoa aache kutufundisha cha kufanya, sisi tunajua kila kitu kinachoendelea Loliondo.

Tuliambiwa na mitandao kuwa Magu amekufa, waziri mkuu akasema Magu yuko hai na anachapa kazi Ikulu, baada ya siku chache tukapewa mzoga wetu tukauzike Chato!

Juzi mitandao ilituambia kuwa kuna uvunjifu mkubwa wa amani unaendelea Loliondo, waziri mkuu akasema Loliondo hakuna tatizo lolote na kumejaa amani tele, jana tumepewa mzoga wa polisi wetu aliyeuwawa huko Loliondo nao tukauzike!
Serekali itendee haki,kuna muda mwingine ubabe haulipi mbele ya haki!!!
 
TAARIFA ZINAZOENDELEA KATIKA MITANDAO YA KIJAMII KUHUSU KAULI YA WAZIRI MKUU KUHUSU LOLIONDO ZAKUPUUZWA

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Mongella amesema tuendelee kuwapuuza wale wote wanaopotosha kuhusu kauli ya Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa kuhusu sakata la Loliondo

"Kauli ya Waziri Mkuu ilitoka kabla ya vurugu kutokea Loliondo" - Mkuu wa Mkoa Arusha Mhe. Mongella

Pia amesisitiza na kuwaomba Watanzania kuendelee kuwapuuza wale wote wanaotumia kauli ya Waziri Mkuu kwa nia ovu na maslahi yao binafsi.
 
TAARIFA ZINAZOENDELEA KATIKA MITANDAO YA KIJAMII KUHUSU KAULI YA WAZIRI MKUU KUHUSU LOLIONDO ZAKUPUUZWA

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Mongella amesema tuendelee kuwapuuza wale wote wanaopotosha kuhusu kauli ya Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa kuhusu sakata la Loliondo

"Kauli ya Waziri Mkuu ilitoka kabla ya vurugu kutokea Loliondo" - Mkuu wa Mkoa Arusha Mhe. Mongella

Pia amesisitiza na kuwaomba Watanzania kuendelee kuwapuuza wale wote wanaotumia kauli ya Waziri Mkuu kwa nia ovu na maslahi yao binafsi.
Kauli ya Waziri Mkuu ilitoka saa ngapi na vurugu zilitokea saa ngapi? Wewe ni muongo kuliko baba yako iwapo humjui. Lowassa akiwa waxiri mkuu , nawe ukiwa mkuu wa wilaya ya kigoma alitaka kukufukuza kaxi kwa sabsbu za kutaka kumdanganya.
 
Back
Top Bottom