Moniccca anawaaga jamani

Moniccca anawaaga jamani

New style JF..... lols
Yote haya ni matatzo ya kuanzia ujanja ukubwan, unawaona wote uliowakuta ni wajinga..
Hayo ni sawa na kujifunzia ngono ukubwan unaweza kudhan ww ndio mkataji kiuno zaid ya wengne. Ni kusamehe tu akikua ataacha
 
Mambo!

Nawaandikia kuwaaga wana MMU wenzangu.
Nilikuwa likizo ya mwenzi mmoja lkn kuanzia kesho natakiwa kuendelea na kazi kama kawaida, hivyo sitakuwa na nafasi kuuingia humu Mara kwa mara hii ni kutokana na nature ya kazi yangu.

Ntawamisi sana but nikipata chance ntakuwa nachukulia

Pole na samahani sana kwa wale niliowakwaza hasa wale niliowajibu vbya, I'm real sorry.
Asante kwa marafiki wapya pia.
Kama kuna lolote tushirikishane pia.
Ahsanteni wooooote

Tafadhali andiko hilo alione my name is my name akiwa Kanada!
 
Jipu limetumbuka bila shaka atarudi na new ID na story za mfalme juha ndio mwisho.REST IN PEACE(LEFT IN PEACE)
 
Yote haya ni matatzo ya kuanzia ujanja ukubwan, unawaona wote uliowakuta ni wajinga..
Hayo ni sawa na kujifunzia ngono ukubwan unaweza kudhan ww ndio mkataji kiuno zaid ya wengne. Ni kusamehe tu akikua ataacha
Ongea kwa sauti kama mwanaume wewe mbona una nong'ona kama ....
 
Jipu limetumbuka bila shaka atarudi na new ID na story za mfalme juha ndio mwisho.REST IN PEACE(LEFT IN PEACE)
Be the first to rest in peace, I m still having some vocations to accamplish
 
I won't going to miss you..! Bora make umetuchosha na mihemko yako...
 
Back
Top Bottom