Monitoring thread: John Pombe Magufuli katika Awamu ya Nne

Monitoring thread: John Pombe Magufuli katika Awamu ya Nne

Mussa Magufuli ni mdogo wake na JP Magufuli ambaye aliuziwa nyumba ya serikali na kaka yake mwezi mmoja baada ya kumaliza chuo kikuu. Pia aliajiriwa na serikali akiwa bado hajahitimu chuo kikuu bila diploma wala certificate. Huyu ndio muadilifu mnayetaka apewe ikulu
Source: Gazeti Rai Novemba 7, 2008
Ulitaka asiajiriwe? Mbona watu wengi wanaajiriwa kabla ya graduation kwa kutumia matokeo ya miaka mitatu ya nyuma?
 
Mwenye picha ya Sudi Malomo aiweke hapa ili tumfahamu huyu second lady wa 2025.
 
Tunasema baadhi yetu makufuli sio mwadilifu lkn baadhi yetu tunasema lowassa ni fisadi bora nani?
 
attachment.php
attachment.php

kwa hisani ya amilyroley
 
Mmmh....kweli kama tunapima uadilifu basi na tuongelee mmiliki wa majengo pacha ya "Richmond tower "yaliopo mjini Dar es salaam
 
Nilipita juzi kati naenda Kampala na basi la Friends nikakuta taa za kuongozea magari huku mji wa Chato wanaomili gari hawafiki hata 15
 
Mmmh....kweli kama tunapima uadilifu basi na tuongelee mmiliki wa majengo pacha ya "Richmond tower "yaliopo mjini Dar es salaam

Unamjua mmiliki wa hayo majengo unayoyasema ambayo yapo maeneo ya Muhimbili? Na anahusika vipi na ukosefu wa uadilifu?
 
Kama alitumia uwaziri kumuuzia nyumba ya serilikali, ninawasiwasi akiwa Rais atamuuzia mabanda ya uwani pale magogoni
 
Ulitaka asiajiriwe? Mbona watu wengi wanaajiriwa kabla ya graduation kwa kutumia matokeo ya miaka mitatu ya nyuma?

Wewe acha uongo. Musa aliuziwa nyumba ya serikali kinyume na taratibu kwani alikuwa sio muajiriwa wa serikali bali alikuwa katika mafunzo ya vitendo ikiwa sehemu ya mafunzo chuoni. Haya bado yule hawala yake Sundi na akamuuzia nyumba ya serikali wakati hakuwa mwajiriwa wa serikali. Ufisadi wa Pombe upo wazi pamoja na vielelezo vyake. Ila kwa Lowasa its too general with a lots of speculations, no proof at all. Magufuli conviction mahakamani ipo wazi hata kwa mwanasheria anaanza kazi ya uwakili leo, hamna haja ya uzoefu.
 
Nilipita juzi kati naenda Kampala na basi la Friends nikakuta taa za kuongozea magari huku mji wa Chato wanaomili gari hawafiki hata 15

Mkuu nipo TZ hihii ila hii sijapata isikia. Taa zipo kijijini???
Kweli ukishangaa ta Mussa....
 
Mtera haina maji na uzalishaji wa umeme umeshuka. Sasa hivi tunatuma watu Thailand, kufufua tena ile mikataba ya mvua!
 
Juzi tu slaa amethibitisha kuwa magufuli alihonga nyumba ya serikali kwa girlfrnd wake
 
Kuna ile aliyomuuzia girl friend wake ambae hakua mtumishi wa umma, wamezaa nae tu akamuuzia nyumba ya serikali wakati masharti yalitaka wauziwe senior civil servants.

Nyumba ya bilioni 1.5 akamuuzia girl friend wake milioni 22. Nyumba ya bilioni moja akamuuzia rafiki yake Hosea wa Takukuru milioni 52.

Alafu huyo mdogo wake alikua wizara ya maliasili na utalii, mwaka jana magufuri akamhamishia wizara ya ujenzi bila kufuata utaratibu huku magufuri mwenyewe akibeba makalabrasha kwenda utumishi kushughulikia uhamisho na kutisha wafanyakazi wa utumishi wamhamishe mdogo wake kwa nguvu.

Ni wenye iq ya 20 tu ndio wanaweza kumsapoti magufuri, yaani mataahira.

Ujue hapa tuna wezi wawili wa Magari, magufuli na lowassa, sasa magufuli yeye anaiba side mirror, wheelcap, powerwindor nk,lowassa sasa yeye anaiba gari Zimaa! hapo sasa yupi mwenye afadhali? maana ni hao wawili lazima mmoja aende ikulu ,hatuna jinsi hivyo angalau tumpe mwizi mdokozi hizo sidemirror tutanunua,kuliko gari lote liibiwe asee! au unasemaje?
 
Ujue hapa tuna wezi wawili wa Magari, magufuli na lowassa, sasa magufuli yeye anaiba side mirror, wheelcap, powerwindor nk,lowassa sasa yeye anaiba gari Zimaa! hapo sasa yupi mwenye afadhali? maana ni hao wawili lazima mmoja aende ikulu ,hatuna jinsi hivyo angalau tumpe mwizi mdokozi hizo sidemirror tutanunua,kuliko gari lote liibiwe asee! au unasemaje?

Wote wanakua ni wezi!
 
Kwanini na wewe hukupanga uuziwe? Haya aliajiriwa kazi gani? Mbona wengi tu wameajiriwa huku bado wanasoma? Mbona kipindi cha lowasa na sumaye wengi tu wamepata nyumba tena wahindi basi?Acha wivu wewe
 
Kamùulize babu yako anayefaa alipata wapi hela za kununua nyumba uingereza tena London? Na kwanini asingenunua humu tanzania kama yeye mzalendo? Bora magufuli anawekeza nchini kwake. Mzobe Mzobe na magufuli hadi magogoni
 
Ujue hapa tuna wezi wawili wa Magari, magufuli na lowassa, sasa magufuli yeye anaiba side mirror, wheelcap, powerwindor nk,lowassa sasa yeye anaiba gari Zimaa! hapo sasa yupi mwenye afadhali? maana ni hao wawili lazima mmoja aende ikulu ,hatuna jinsi hivyo angalau tumpe mwizi mdokozi hizo sidemirror tutanunua,kuliko gari lote liibiwe asee! au unasemaje?

Hahaaaaaaaa afadhali wewe umenena cha maana. Magufuli ni zimwi likujualo halikumalizi
 
Back
Top Bottom