Monitoring thread: John Pombe Magufuli katika Awamu ya Nne

Monitoring thread: John Pombe Magufuli katika Awamu ya Nne

Magufuli aliwaahifi waliokosa uteuzi wa kuhombea CCM wasihangaike atawapa kazi akiwa Rais maana kazi ziko nyinhi tu. Jana nimesikia kauli hii tene kutoka kwa UVCCM. Nafikiri haya ni matumizi mabaya ya madaraka na katika mabadiliko yanayouzwa na vyama vyote waanzie hapa ili kusiwe na upendeleo. Kuna vijana kwa maelfu wanataguta kazi lakini wenhine kwa faida za kisiasa wanaahidi kugawiana.
 
Mussa Magufuli ni mdogo wake na JP Magufuli ambaye aliuziwa nyumba ya serikali na kaka yake mwezi mmoja baada ya kumaliza chuo kikuu. Pia aliajiriwa na serikali akiwa bado hajahitimu chuo kikuu bila diploma wala certificate. Huyu ndio muadilifu mnayetaka apewe ikulu. Wananchi wanalala kwenye nyumba za tembe, polisi wanalala kwenye nyumba za suti. Wao wanagawana keki ya taifa. Huyu ndiye aliyesimamisha mradi wa barabara geita akaupindisha ili upite kijijini kwao. Huyu ndiye aliyeweka taa za barabaranj Chato jirani na baa yake. Mnamtaka ikuli
Source: Gazeti Rai Novemba 7, 2008



Kumbe wewe bado uko na mambo ya umbeya, wenzio tumeishakaa mguu sawa tukisubiri rais wetu John Joseph Pombe Magufuli aapishwe. Haya uliyoyaleta muda huu hapa yamepitwa na wakati na hayawezi ingia tena katika vichwa vyetu.

HAPA KAZI TU HUYU NDO MAGUFULI I"UMBEA PELEKA KWENYE VIWANDA VYA KANGA ILI MANENO HAYO WAANDIKE KWENYE KANGA
 
Kama musa magufuli ni mtz alistaili kuajiriwa na kuuziwa nyumba tutamchagua magufuli aje kutuuzia na sisi tumechoka kupanga kuliko maumvi aliyetuibia na kwenda kujenga ulaya hiyo nyumba wanafaidi wazungu
 
No one is 100% perfect,the most important thing is to calculate the risk involved.

Pia inasemekana hata Sumaye na Lowasa wamenunua hizo nyumba, na Wao muwa apprehend kama kuuza ni ishu.

Pia Sumaye alitoa ufafanuzi, kuuza nyumba za serikali haukuwa uamuzi binafsi, sumaye na Lowasa walikuwepo kwenye maamuzi ya kuuza nyumba.

Usiwe bias unapojadili mambo
 
Kama musa magufuli ni mtz alistaili kuajiriwa na kuuziwa nyumba tutamchagua magufuli aje kutuuzia na sisi tumechoka kupanga kuliko maumvi aliyetuibia na kwenda kujenga ulaya hiyo nyumba wanafaidi wazungu
Vyovyote itakavyokuwa kwanza sense Ikulu, halafu hayo maswali engine tutamuuliza baadaye, kwanza atuondolee CCM madarakani!
 
Kuna ile aliyomuuzia girl friend wake ambae hakua mtumishi wa umma, wamezaa nae tu akamuuzia nyumba ya serikali wakati masharti yalitaka wauziwe senior civil servants.

Nyumba ya bilioni 1.5 akamuuzia girl friend wake milioni 22. Nyumba ya bilioni moja akamuuzia rafiki yake Hosea wa Takukuru milioni 52.

Alafu huyo mdogo wake alikua wizara ya maliasili na utalii, mwaka jana magufuri akamhamishia wizara ya ujenzi bila kufuata utaratibu huku magufuri mwenyewe akibeba makalabrasha kwenda utumishi kushughulikia uhamisho na kutisha wafanyakazi wa utumishi wamhamishe mdogo wake kwa nguvu.

Ni wenye iq ya 20 tu ndio wanaweza kumsapoti magufuri, yaani mataahira.

Anayemshabikia "Lo w ass a" akapimwe akili.

Pr. Msigwa.
 
Mussa Magufuli ni mdogo wake na JP Magufuli ambaye aliuziwa nyumba ya serikali na kaka yake mwezi mmoja baada ya kumaliza chuo kikuu. Pia aliajiriwa na serikali akiwa bado hajahitimu chuo kikuu bila diploma wala certificate. Huyu ndio muadilifu mnayetaka apewe ikulu. Wananchi wanalala kwenye nyumba za tembe, polisi wanalala kwenye nyumba za suti. Wao wanagawana keki ya taifa. Huyu ndiye aliyesimamisha mradi wa barabara geita akaupindisha ili upite kijijini kwao. Huyu ndiye aliyeweka taa za barabaranj Chato jirani na baa yake. Mnamtaka ikuli
Source: Gazeti Rai Novemba 7, 2008

Badala Ya Kuhangaika Kutibu Tatizo SUGU La Kutoa Haja Kubwa Ya Mgombea Urais Wenu ILI Akienda IKULU Ya Kijijini Kwao MONDULI Asiwajazie INZI Wewe Unahangaika Na Rais Ajaye Na Mwenye IKULU Yake Ya Magogoni Dr. John Pombe Joseph Magufuli.
 
Ndio maana Lowassa akasema elimu elimu elimu. Kwa akili zako za kijani unaamini nimeambiwa? Huoni na ushahidi umewekwa na hajawahi kukanusha. Huoni nineweka source. Sasa nimeambiwa na nani? Kweli we mburula Dada yangu. Elimu elinu elimu inatakiwa kwa kweli ili Vilaza kama nyie angalau mfufuke

Anayemshibikia "Low ass a" akapimwe akili!

Pr. Msigwa!
 
Mzigo wa Mapadlock

Wewe Huna HAWARA au MAHAWARA? Hakuna Mwanaume Wa KITANZANIA Tena Aliye RIJALI Na ANAYEJIELEWA Asiye Na MCHEPUKO au MICHEPUKO. Njoo Na Hoja Nyingine KUNTU Ya Kumchafua Rais Wako Ajaye Dr. John Pombe Joseph Magufuli Lakini Siyo Hii Ya HAWARA Ya Magufuli Kwani Yawezekana Hata Wewe Pia Ukawa Ni Mtoto Wa NJE Kwa Hawara Ya Baba Yako.
 
Halafu bila aibu wanaweka posters Magufuli muadilifu, kweli ukikosa uogana aibu lazima utachusha na Nali hii hupatikana CCM pekee
 
Badala Ya Kuhangaika Kutibu Tatizo SUGU La Kutoa Haja Kubwa Ya Mgombea Urais Wenu ILI Akienda IKULU Ya Kijijini Kwao MONDULI Asiwajazie INZI Wewe Unahangaika Na Rais Ajaye Na Mwenye IKULU Yake Ya Magogoni Dr. John Pombe Joseph Magufuli.
Unadhani matusi kama haya yatakusaidia!?
 
Back
Top Bottom