Monitoring thread: John Pombe Magufuli katika Awamu ya Nne

Monitoring thread: John Pombe Magufuli katika Awamu ya Nne

We umehongwa viloba lofa wewe! Magufuli ni msafi hana kashifa yoyote kwa muda alotumikia serikali yetu. sasa nenda kwa lowasa jizi fisadi la kutupwa hatufai watanzania

Watanzania wapi?labda peke yako na mpz wako! Pesa za Escrow, EPA, Buzwagi, mabehewa feki, kivuko feki, mikataba mibovu, sukari, billion kibao malipo hewa wizara ya Ujenzi, kesi ya mali ya samaki kulipwa mabilioni na kule mwanza mfanyabiashara anayelipwa mabadiliko kisa magufuli alikurupuka kuvunja kituo chake cha mafuta. Naona wewe ndiye umehongwa Viroba kisha umeamua kuongea kinyume nyume.
 
IT saccos ya Mtei kazini
gazeti la RAI ni IT saccos ya Mtei???Masuala ya kitaifa tuyazungumzie kwa sura ya kitaifa hata kama yanammaliza mtu wa chama chako ukipendacho au mtu umpendae!Maslahi ya taifa kwanza!
 
Very very cheap politics, huyo Mussa kwani si mtanzania? na je alipewa bure? na ke hizo nyumba Ilitakiwa auziwe nani kama baraza la mawaziri liliafiki ziuzwe? Kuna faida/ hasara gani imepatikana kwa hao watanzania kuuziwa hizo nyumba?
Hii karata yako wala haina mashiko, ungekuwa bize kujaribu kutengua shutuma za richmond, ungekuwa unamsaidia mgombea wako!
Very cheap politics you are trying to apply, it will NEVER work!
Musa Sundi hawakuwa wafanyakazi wa serikali bali wanafunzi wa chuo period!
 
Ilumbu lyako huyo,mpole kweli hana makuu dada wa watu na hiyo nyumba aliirudisha mwaka huo huo baada ya hii habari kutoka.

Issue siyo kurudishwa ila alipewaje hiyo nyumba wakati hakuwa mtumishi wa serikali? Na aliyehusika kumpa hiyo nyumba ni nani? Tuanzie kwanza hapo
 
Yapo mengi kafanya magufuli kumbuka pia nyumba ingine alimnunulia Mchepuko kisha akatengeneza mazingira ya kuwa na yeye mchepuko ni mtumishi wa umma hivyo kauziwa nyumba Kama haki yake, magufuli si mwadilifu amejaa mapungufu lukuki
Mbali na hayo ni myu wa jazba na kukurupuka. Tunamuoba sasa hivi anaiga m4c, mabadiliko, peoples na mengine. Wasishanae akija kuwageuka na kusema mimi ndio rais kama vipi acha kazi. Si unakumvuka watu wa kivukoni waliambiwa waogelee. Huyu bwana utawala wake utakuwa mbaya na wa ubabe
 
Musa Sundi hawakuwa wafanyakazi wa serikali bali wanafunzi wa chuo period!

Mkuu naona shida unayoipata kuelezea watu walio na vichwa vigumu kama mawe kuelewa! Zile nyumba zilikuwa za watumishi wa serikali, sasa atueleze hao waliotajwa walikuwa wameajiriwa katika idara zipi ndani ya serikali. Hapo ndipo pa kuanzia
 
Watanzania wapi?labda peke yako na mpz wako! Pesa za Escrow, EPA, Buzwagi, mabehewa feki, kivuko feki, mikataba mibovu, sukari, billion kibao malipo hewa wizara ya Ujenzi, kesi ya mali ya samaki kulipwa mabilioni na kule mwanza mfanyabiashara anayelipwa mabadiliko kisa magufuli alikurupuka kuvunja kituo chake cha mafuta. Naona wewe ndiye umehongwa Viroba kisha umeamua kuongea kinyume nyume.

We kubwa jinga kweli yani! nchi hii inaongozwa kwa kufuata sheria. sio km huyo mgombea wenu eti nikishinda nitawaachia huru wana uamusho! mara babu seya, mara balali. eeh! hatariii... huyo fisadi anataka kuwa rais wa nchi gani? Tanzania hapana???? labda akajaribu huko irak watu wanapojiendesha tuu bila sheria. Ccm mbele kwa mbele. upinzani mtasubiri sanaaaa.... mtaishia kuziona paa za ikuku but kuingia noooooooop! msubiri 2025 mumsimamishe tena huyo fisadi na mwizi. nawacheka kwa dhalau hahahahahahahhahahaha......
 
Ilumbu lyako huyo,mpole kweli hana makuu dada wa watu na hiyo nyumba aliirudisha mwaka huo huo baada ya hii habari kutoka.

Ni kweli hana makuu huyo dada name namfahamu lakiniMagufuli anafanya tumrejee humu hata kama hatupendi,je nikwa nini Magufuli "alimuuzia" mtu aliyekosa vigezo nyumba ya Serikali?Kama utakumbuka huyu bidada kuna wakati alikaribia kumtosa Pombe kwa presha za ndugu zake wa hko Mwanza kwa sababu ya kashfa hizi?
 
Lowasa alikuwa mfanyakazi wa Serikali wakati mdogo wake na Magufuli Mussa na girl friend wake Sundi Malomo (Mama Jeremiah) walikuwa wanafunzi wa chuo na ushahidi upo kuwa wakati zoezi linafanyika walikuwa madenti wa chuo

Kumbe hata hujuwi unaloongea.mali za serikali zinauzwa kwa yeyote atakaefika bei awe mtumishi au mwanafunzi.it doesn't matter who you are.so long as the government collects its share
 
Utakua ni mjinga wa hali ya juu kama utakua kiongozi wa nchi halafu usiendeleze kwenu. Hivi hao watu wa chato hawana haki ya kupata taa za barabarani? Na ulitaka auziwe nani hiyo nyumba?
Nyie ndio katika wale wenye kauwezo lakini ndugu wanaishi kama nyani. Jenga kwenu na angalia ndugu zako, hata dini zinatuambia hivyo.
 
We kubwa jinga kweli yani! nchi hii inaongozwa kwa kufuata sheria. sio km huyo mgombea wenu eti nikishinda nitawaachia huru wana uamusho! mara babu seya, mara balali. eeh! hatariii... huyo fisadi anataka kuwa rais wa nchi gani? Tanzania hapana???? labda akajaribu huko irak watu wanapojiendesha tuu bila sheria. Ccm mbele kwa mbele. upinzani mtasubiri sanaaaa.... mtaishia kuziona paa za ikuku but kuingia noooooooop! msubiri 2025 mumsimamishe tena huyo fisadi na mwizi. nawacheka kwa dhalau hahahahahahahhahahaha......

Kubwa jinga tena mbumbu la kutupwa chooni uwezo wako wa kufikiri umefikia kikomo, watanzania wapi unawasemea? Watanzania wenye akili wote wanataka mabadiliko,wewe unaishi kwa kukariri ulicholishwa na maadui wa Lowassa inaelekea hujitambui,umejitoa Fafanua mpaka hauoni Ufisadi wa escrow na wizi mwingineo mwingi? Mafisadi unao huko huko na safari hii hakuna cha mbele kwa mbele ni nyuma kuwa nyuma mpaka mng'oke na kuwa chama cha upinzani kama KANU ya kenya.
 
Utakua ni mjinga wa hali ya juu kama utakua kiongozi wa nchi halafu usiendeleze kwenu. Hivi hao watu wa chato hawana haki ya kupata taa za barabarani? Na ulitaka auziwe nani hiyo nyumba?
Nyie ndio katika wale wenye kauwezo lakini ndugu wanaishi kama nyani. Jenga kwenu na angalia ndugu zako, hata dini zinatuambia hivyo.

Huo upendeleo wa Mali za Umma kwa ndugu na michepuko haukubaliki popote duniani.
 
Kubwa jinga tena mbumbu la kutupwa chooni uwezo wako wa kufikiri umefikia kikomo, watanzania wapi unawasemea? Watanzania wenye akili wote wanataka mabadiliko,wewe unaishi kwa kukariri ulicholishwa na maadui wa Lowassa inaelekea hujitambui,umejitoa Fafanua mpaka hauoni Ufisadi wa escrow na wizi mwingineo mwingi? Mafisadi unao huko huko na safari hii hakuna cha mbele kwa mbele ni nyuma kuwa nyuma mpaka mng'oke na kuwa chama cha upinzani kama KANU ya kenya.

Hahajahhahahahahhaahhahhaaahhahahahhahaha......... nakucheka kwa dhalau lofa wewe! hebu nenda ukanywe viloba kwanza maana ndo zenu chadema. ccm itashinda penda usipende Magufuli ndo rais km hutaki jitundikeeeeeeeee ----- wewe......
 
Kama kigezo ni Uadilifu basi hakika magufuli pia si mwadilifu.
 
Ni kweli hana makuu huyo dada name namfahamu lakiniMagufuli anafanya tumrejee humu hata kama hatupendi,je nikwa nini Magufuli "alimuuzia" mtu aliyekosa vigezo nyumba ya Serikali?Kama utakumbuka huyu bidada kuna wakati alikaribia kumtosa Pombe kwa presha za ndugu zake wa hko Mwanza kwa sababu ya kashfa hizi?
Tatizo la JPM ni king'ang'anizi sana,sundi basi tu alikosa jinsi naona na yeye alikuwa anaangalia faida anazopata
 
Hahajahhahahahahhaahhahhaaahhahahahhahaha......... nakucheka kwa dhalau lofa wewe! hebu nenda ukanywe viloba kwanza maana ndo zenu chadema. ccm itashinda penda usipende Magufuli ndo rais km hutaki jitundikeeeeeeeee ----- wewe......

Umdharau nani? Tokea lini mtu mjinga akawa na dharau kisha ikamshika mtu mjanja? Nani aondokee? Wewe si mungu hawezi kupannga matokeo ya 25 October viroba unakunywa mwenyewe uliyeshikwa Akili na Nape na kukariri Goli la mkono.
 
Back
Top Bottom