Montero Agrees to US$27 Million Settlement from Tanzania

Unaweza kuta baadhi ya viongozi wa serikali au wa CCM wana share kwenye hizo kampuni. Wanatengeneza kesi na wanajilipa wenyewe.
 
Unajua maana ya uwekezaji sababu unaaongea kama umelewa
Ni wapi nimesema muwekezaji anapewa ardhi milele ebu nionyeshe hapo niliposema
Ujasema umeashiria kwa maelezo muwekezaji have all the time in the world kutafuta hela. Sasa ndio mwekezaji gani huyo.
 
Huyo jamaa ni mjinga sana mikataba yote inavikomo anataka kudanganya waziwazi
Like I said, wekeni watu wenye uelewa maswala ya mikataba.

Mimi binafsi nimewaandika vilaza wengi sana academic reports kuhusu hayo mambo.

Sasa kubishana na watu ambao ni clueless wanaokota okota tu arguments, ni kupoteza muda.

Ciao 👋
 
Ujasema umeashiria kwa maelezo muwekezaji have all the time in the world kutafuta hela. Sasa ndio mwekezaji gani huyo.
Ndo maana nikakuambia huji abc za uwekezaji
Waekezaji wote wana-raise fedha kwa njia nyingi wengi wanakopa, wengine wanaraise kwa investors kwenye stock exchange, wengine wanadhaminiwa na sovereignt fund kama na hili hujui unasafari ndefu sana

Unadhani mwekezaji anakuja na cash kazi unayo wanakuja na idea tu wakipata mradi wanaenda kuraise fedha kwao au wanapopajua

Mfano yepi merkezi baada ya kupata mradi hela ya kuanzia mradi alipewa na serikali ya uturuki kama mkopo wa riba nafuu same kwa makampuni mengi ya kichina yanapewa mikopo nafuu na serikali ya china
 
Like I said, wekeni watu wenye uelewa maswala ya mikataba.

Mimi binafsi nimewaandika vilaza wengi sana academic reports kuhusu hayo mambo.

Sasa kubishana na watu ambao ni clueless wanaokota okota tu arguments, ni kupoteza muda.

Ciao 👋
We ni mjinga tu hunachochote unachojua unafanaisha academic exercise na miakataba ya mabilion ya kibiashara ni mbingu na ardhi
 
Ahh haya
 
Iwapo kosa lilikuwa mikataba mibaya awali, au kuivunja isivyostahili, au kupeleka wanasheria wasio bobevu kwenye kesi - yote hayo wa kuwajibika ni CCM na serikali zake. Hakuna namna ya CCM kujivua lawama hii.
 
Yaani nitumie miaka minne ya kusoma finance na mwaka mmoja wa MBA halafu nijibizane na mtu ambae unaona kabisa anajiropokea.

Hujui hata msingi wa mikataba umekazana na mambo ya biashara kwenye kichwa chako unadhani unaweza tu kutoa prospectus ya kupata mtaji kama wewe ni biashara mpya (unajua conditions zake za kusajiliwa kwenye soko la mitaji).

Unadhani huko kwa wazungu na kwenyewe wafanya mambo hovyo-hovyo kama DSE unakurupuka tu na kusajili ‘swala oil’ with ease.

Ni hivi unaongea vitu usivyo na ufahamu navyo.
 
Katika kashfa ya.radar.kutoka Bae.sytems uk. Ofisi ya mwanasheria mkuu chini ya Andrew msaidizi.wake.alitajwa.sana mama Kejo kwamba walikuwa mawinga kwenye ununuzi wa.rada na mkataba.mzima wakipata cha.juu.

Sasa hapa kwenye hizi kesi tunazoshindwa mfululizo kuna.watu.pia wananufaika hofu yangu wawe.ni.watanzaniili.pesa.zao.zibaki.humua
 
Elimu yako ni ya ukariri kama ungekua na akili usinge-support uhuni aliofanya magufuli yaani mtu analiingizia taifa hasara alafu unamsifia sasa hiyo elimu yako ya finance na mba inamsaada gani
 
Elimu yako ni ya ukariri kama ungekua na akili usinge-support uhuni aliofanya magufuli yaani mtu analiingizia taifa hasara alafu unamsifia sasa hiyo elimu yako ya finance na mba inamsaada gani
Sio kila mtu humu jukwaani gullible.

Yaani uonge vitu ambavyo uelewi, utoe baseless accusations halafu umlaumu Magufuli Unafahamu hata justification za madai hadi watu wawe wanalipwa hela nyingi (on what investment merit).

Ukiwasikiliza tu kwenye ile case ya Indiana shida ni wanasheria, sasa hizo lawama żako ungempelekea ‘bi-tozo’ aliotoa timu ya ufundi iliyovunja mikataba na kuweka mapoyoyo ya kwenda kujidhalilisha huko kwenye arbitration.
 
Shida ni magufuli kuvunja mkataba kihuni wala sio wanasheria acha uongo
Mkataba wowote una-namna ya kuuvunja

Mbaya zaidi aliambiwa madhara ya kuvunja mkataba kihuni alafu unakuja kumtetea
 
Ukisikia laana ndo hii
 
Hivi unadharau MIGA? Ungekuwa na akili ungekwenda ku GOOGLE ukajuwa uhusiano wa MIGA, CISD na World Bank. Ungekuwa na akili ungetafuta sababu kwa nini moja ya ndege zetu kwa nini zinashikiliwa huko Netherlands na tuna kesi ngapi zinaendelea CISD kwa kupuuza ushauri wa Lissu kuhusu MIGA
 
Mzilankende huyo,ndiyo shida ya kuweka mtu wa hovyo madarakani
 
Ukiona wazungu wamekubali yaishe bila kulipa million $27 ujuwa walisha chuma billion$27.
 
Iwe MIGA au isiwe MIGA haibadilishi cho chote, tutaendelea kuchapwa mboko tu na hao wazungu. Kichekesho gani hiki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…