Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyooooo....tihihihi.njoo ujionee usiangalie tu kwa videoumewahi fika Dubai? Hiyo
Solitary mall ndio ufananishe na Dubai??
By the way, hii two rivers iko bomba sana, ni babkubwa, according to the Video.
Nimecheki hiyo video, nyie jamaa mnaongea kingereza halafu ni washamba kinoma.
Vipi hao wanawake boss, wanarithi sura kwa babu zao only?huyooooo....tihihihi.njoo ujionee usiangalie tu kwa video
kuna msemo unasema mwanamke sio sura,ata mbuzi ako nayo.mwanamke ni tabiaVipi hao wanawake boss, wanarithi sura kwa babu zao only?
umewahi fika Dubai? Hiyo
Solitary mall ndio ufananishe na Dubai??
By the way, hii two rivers iko bomba sana, ni babkubwa, according to the Video.
Nimecheki hiyo video, nyie jamaa mnaongea kingereza halafu ni washamba kinoma.
kikikiii....cku izi nkutoanisha wasee tu sioNa nyie mnatwang kiswahili mnakaa washamba wa mjini
umewahi fika Dubai? Hiyo
Solitary mall ndio ufananishe na Dubai??
By the way, hii two rivers iko bomba sana, ni babkubwa, according to the Video.
Nimecheki hiyo video, nyie jamaa mnaongea kingereza halafu ni washamba kinoma.
Jiji la wazungu, [emoji1] [emoji1] [emoji1]we ni mbwa mwitu kiasi kipi? wajua yepi wewe? eeeh,kwanza wewe ndiwe Limbukeni mumu humu JF.
Nalitembea mie dunia nzima si Dubai,si NYC,si miami niseme mji upi niache nini
Nawaambieni kujeni Nairobi jiji la majiji,jiji la ulimbwende wa kisasa,jiji la wazungu,jiji lililotakasika na wanyama,jiji la utukufu mkubwa Africa nzima na kila uchao lawatia wale wadanganyika hofu kubwa manake lajengwa usiku na mchana,si magorofa marefu marefu kupindukia,si barabara za kuvutia,si malls kubwakubwa,si miundo mbinu anuwai
Mate yatazidi kuwadondoka na bila shaka majungu mnayo kwa kuyaona haya yafanyikayo Nairobi,jiji la majiji.....
Hohoho,hujui hata what is called NAIROBI METROPOLITANJiji la wazungu, [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Anyway, napajua nairobi, you don't have to Brag that Much, nairobi is just a 3.4mn residents town, with planned real estate, with thika highway and southern bypass, and biggest airport in East Africa. And biggest slum in the world, (with 2.5mn residents)
Cbd ya dar = cbd of nairobi and Mombasa combined (I know it hurts)
Nimeacha kitu?
Hahahaha..Hohoho,hujui hata what is called NAIROBI METROPOLITAN
Do you really know what is Nairobi metropolis?
Google is your friend and i have given you assignment and after the assignment you will know that indeed the metropolis is far much massive and high end than your Dar Madongoporomokas......
HohohoHahahaha..
Una mihemko sana wewe.
Vipi hao wanawake boss, wanarithi sura kwa babu zao only?
I know, mwizi akiibiwa huumia sana,Hohoho
nalijua maneno yako ,tumo mbioni sisi ndio haoooooo
Namba mwaisomea kileleni mlima kilimanjaro mlioiba na ulongolongo wenu kutoka kenya
Hakika majirani wamepiga hatua lazima tukubali na kuwapongeza.Bravo Kenyans!!
Who is the owner?
Ni kweli, maana nyie wadada wa kikenya na pua zenu kubwa kama ngumi mkifanya hiyo biashara mtafanya watu tuache zinaa.. Probably this can be helpfulHatuko kwenye biashara ya umalaya na madawa Kenya hiyo ni fani yenu Tanzania, wee nenda Kenya ukafanye manunuzi na shughuli zingine za kueleweka,
Ova!
Ni kweli, maana nyie wadada wa kikenya na pua zenu kubwa kama ngumi mkifanya hiyo biashara mtafanya watu tuache zinaa.. Probably this can be helpful
Wivuvery normal...
Nipo online naangalia hii video ya two rivers, majengo bomba ila wachumba hamna kabisa. Inaonekana mnapiga sana puli huko.Hukawii?, inamaana huchukui hata muda wako angalau kufikiria,ha!
Tazama bandiko langu hapo nilikua bado nalisahihisha weye ushajibu tayari tooh!, hahaha!
We kweli ni kituko kwenye kadamnasi.
Ni kweli, maana nyie wadada wa kikenya na pua zenu kubwa kama ngumi mkifanya hiyo biashara mtafanya watu tuache zinaa.. Probably this can be helpful