na wale wanaokutana nje ya mitandao, wakatongozana then wakaona, halafu ndoa inadumu hardly a month, tuseme nini? you can get the wrong or right person from any corner. hakuna formula ya kumpata mwenza ambayo kwayo lazima tuifuate. I thought your avatar hints your philosophy!
3. Nasisitiza ya kwamba hakuna ndoa timamu inayoweza kutokana na MMU, labda kwa minajili ya kuweka rekodi ya kuoa/kuolewa au kuondoa gundu. Vinginevyo leteni ushahidi. Ni busara sana kukamata mtu barabarani na kumwambia kuanzia leo unakuwa mme/mke wangu kuliko kununua partner wako online! Amekuwa software?
CC: lara 1 Sista watu8 sister mwekundu mzabzab
charminglady nilimpataga chitchat ila ni humhumu jf
for instance my avator defines me....usipoteze muda
haaaaaahaaaaahaaa! ni pm Sista uniambie hapo unakuwa umeshika nini na unafanya nini
naamini unafanya utafiti tu wewe ili ujiridhishe kuwa inawezekana kupata mwenza jf. kuna sehemu umesema hujawahi na wala huna mpango wa kumtongoza yeyote humu jf.
then what is eating you? are your private parts invaded by scorpions?
neggirl and tinna cute if they exist, they must be ghost partners.
charminglady amezoea kujilipua.C6 na charminglady tunaomba uzoefu wenu tafwadhali. this is serious
My babe he's not a ghost,,,,,, pls Simplicity have a little respect
Haya bwana, mie nimeshaandika. Do every thing at your own risk, but we have warned you.
na wale wanaokutana nje ya mitandao, wakatongozana then wakaona, halafu ndoa inadumu hardly a month, tuseme nini? you can get the wrong or right person from any corner. hakuna formula ya kumpata mwenza ambayo kwayo lazima tuifuate. I thought your avatar hints your philosophy!
Hapo sio kweli we Simplicity!!! wangu nimeopoa humu humu,,,,,,,,, Na mambo yanaenda vzr sana labda ww tu una bahati mbaya..
Lol!!!!!! even if u hve warned me i wont listen,,,,,,,,, kwa mahaba anayonipa oooooh!!!!!!! mpka najuta kwa nini tumechelewa kujuana.
Mahusiano yanavunjika kwa sababu nyingi, zingine ni complicated, lakini ndoa ya Jf is more prone to breakage due to its nature.
Yaani bora nikasimame mbele ya kundi la watu nikiwa na loud speaker, kama kanisani au siku ya sherehe za uhuru kwamba natafuta mke kuliko kutafuta humu. Utakutana na Yahya+ ndipo utie akili.
Halafu wewe!!! Ina maana mimi ndio nafanana na kwenda clinic?Dogo umefikiria vizuri lakini?
Hao walioko makanisani na kwenye sherehe za uhuru ndio hao hao walioko huku JF kwa ID nyingine. Unadhani ukimkuta snowhite kanisani utamjua? au ukimkuta amu yuko zake kitaa au Ennie akiwa kliniki utamjua?
unataka mifano ya successful marriage za wana JF au umejitia upofu tu? CC Preta
Dogo umefikiria vizuri lakini?
Hao walioko makanisani na kwenye sherehe za uhuru ndio hao hao walioko huku JF kwa ID nyingine. Unadhani ukimkuta snowhite kanisani utamjua? au ukimkuta amu yuko zake kitaa au Ennie akiwa kliniki utamjua?
unataka mifano ya successful marriage za wana JF au umejitia upofu tu? CC Preta
Relax Kaizer,usitumie nguvu nyingi hivyo kumuelewesha. Ukweli anaujua huyo anabisha kwa sababu ameamua kuwa mbishi tu
Cheerful......
but this nankani Simplicity mhhh
Simplicity again?whats wrong with you?