Morison amshauri Haji Manara kuacha tabia za kike

Morison amshauri Haji Manara kuacha tabia za kike

mijitu akili mavi kama wewe huna uwezo wa ku argue kwa hoja na mimi. huna akili hizo bro,labda nikupige mashine nikuambukize akili ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
hiki ndio nilichotaka.
Kama akili zako ndio hizi bora niwe chizi tu.
Huu uzi tujadili hoja gani zaidi ya umbea?
Najua imekuuma mkuu Pole sana mlaumu mama yako kwa kujamba ukatoka wewe, wenzio tumezaliwa wewe umejambwa..! Sad ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ™Œ๐Ÿพ๐Ÿ™Œ๐Ÿพ
 
Ila Bm3 angekua rapa ingebidi tumuweke level za kina BIG small huko.
 
Manara kishaana kutapika huko mda si mrefu kitanuka.
 
As far as I know, Morrison ndo mchezaji wa kwanza Tanzania "kununua ugomvi" wa mahasimu!!! Hii ni mara ya pili Morrison anamjibu Manara!! Cha kushangaza, Manara huwa anatumia Kiswahili! Sasa ni kwamba Morrison huwa anatumia Google kujua Manara ameandika nini ili hatimae aweze kumjibu, au anatumika?!

Kama Morrison ana Wakala, na anamwacha anafanya ujinga kama huu, basi Morrison na Wakala wake wote wajinga, kwa sababu yeye ni Foreigner tu, na amekuja Tanzania kufanya kazi, kwahiyo ni ujinga kama sio upumbavu kujiingiza kwenye Siasa za Mpira wa Tanzania.
umeandika kindezi sana.
 
Back
Top Bottom