Morocco imeipiku China, Japan na India kwa kuwa msafirishaji mkubwa wa Magari Ulaya

Morocco imeipiku China, Japan na India kwa kuwa msafirishaji mkubwa wa Magari Ulaya

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Morocco imeipiku China, Japani na India na kuwa msafirishaji mkuu wa sekta ya magari kwa Umoja wa Ulaya. Katika mwaka wa 2023, nchi hii ilipata dola bilioni 13.7 kutokana na usafirishaji wa magari.

1728366883307.png

Masoko makubwa ya magari yanayosafirishwa kutoka Morocco ni Ufaransa, Uhispania, na Italia. Morocco pia ina uwezo wa kuzalisha magari milioni 1 kila mwaka, ikionesha ukuaji wa ajabu katika sekta ya viwanda. Hii inadhihirisha juhudi za nchi hiyo katika kuboresha mazingira ya biashara na kuvutia uwekezaji.

1.jpeg

Ufalme huo unatumia viwanda vya kisasa, majengo ya viwanda, wafanyikazi waliohitimu na gharama ndogo za uzalishaji ili kuunda mazingira ya kibiashara yenye nguvu, na mauzo ya uzalishaji ambayo yalifikia zaidi ya magari 535,000.

Soma:
Ushirikiano kati ya China na Afrika katika magari ya nishati mpya una mustakabali mzuri
China inabadilisha ukiritimba wa soko la magari barani Afrika
China yailaani Tume ye Umoja wa Ulaya kwa kutaka siri za kibiashara katika uchunguzi wa magari ya umeme
 
Ni agent wa ufaransa kuzalisha magari ya ufaransa yeye anatumika kwasbb ya cheap labour yake, ila ni nchi masikini kama zingine za Africa hiyo inaitwa Neo colonialism at its best.
Kwani china na nchi zingine ulaya hazitumiki kuzalisha bidhaa za kampuni za nje ya nchi zao!?.. morocco unaweza ilinganisha na nchi gani fukara afrika!?..kwa mwandiko wako hapa ni dhahiri umeumia,kimekuumiza nini!?..ingekua liberia,congo, uganda imefanya hivyo ungeumia kiasi hiki!?
 
Ni agent wa ufaransa kuzalisha magari ya ufaransa yeye anatumika kwasbb ya cheap labour yake, ila ni nchi masikini kama zingine za Africa hiyo inaitwa Neo colonialism at its best.
Automotive Industry Company List
  • Renault-Nissan.
  • Ford Motor Company.
  • Peugeot.
  • Hyundai Motor Company.
  • Fiat SpA.
  • Dacia.
  • Volkswagen AG.
  • Mercedes-Benz.
More items...

Hizi ni brand zinazozalishwa morocco,zote ni za mfaransa?
 
Automotive Industry Company List
  • Renault-Nissan.
  • Ford Motor Company.
  • Peugeot.
  • Hyundai Motor Company.
  • Fiat SpA.
  • Dacia.
  • Volkswagen AG.
  • Mercedes-Benz.
More items...

Hizi ni brand zinazozalishwa morocco,zote ni za mfaransa?
Kwani ufaransa hajapewa leseni ya kuzalisha hayo magari yote? Mkuu jifunze biashara ya kimataifa ya kisasa, south Africa inazalisha kila aina yagari Toyota, benz nk, kwani na zake zote?
 
Morocco imeipiku China, Japani na India na kuwa msafirishaji mkuu wa sekta ya magari kwa Umoja wa Ulaya. Katika mwaka wa 2023, nchi hii ilipata dola bilioni 13.7 kutokana na usafirishaji wa magari.


Masoko makubwa ya magari yanayosafirishwa kutoka Morocco ni Ufaransa, Uhispania, na Italia. Morocco pia ina uwezo wa kuzalisha magari milioni 1 kila mwaka, ikionesha ukuaji wa ajabu katika sekta ya viwanda. Hii inadhihirisha juhudi za nchi hiyo katika kuboresha mazingira ya biashara na kuvutia uwekezaji.


Ufalme huo unatumia viwanda vya kisasa, majengo ya viwanda, wafanyikazi waliohitimu na gharama ndogo za uzalishaji ili kuunda mazingira ya kibiashara yenye nguvu, na mauzo ya uzalishaji ambayo yalifikia zaidi ya magari 535,000.

Soma:
Ushirikiano kati ya China na Afrika katika magari ya nishati mpya una mustakabali mzuri
China inabadilisha ukiritimba wa soko la magari barani Afrika
China yailaani Tume ye Umoja wa Ulaya kwa kutaka siri za kibiashara katika uchunguzi wa magari ya umeme
Masuud kipanya Fanya vitu vyako ,si ulitengeneza gar flan hiv?
Morocco imeipiku China, Japani na India na kuwa msafirishaji mkuu wa sekta ya magari kwa Umoja wa Ulaya. Katika mwaka wa 2023, nchi hii ilipata dola bilioni 13.7 kutokana na usafirishaji wa magari.


Masoko makubwa ya magari yanayosafirishwa kutoka Morocco ni Ufaransa, Uhispania, na Italia. Morocco pia ina uwezo wa kuzalisha magari milioni 1 kila mwaka, ikionesha ukuaji wa ajabu katika sekta ya viwanda. Hii inadhihirisha juhudi za nchi hiyo katika kuboresha mazingira ya biashara na kuvutia uwekezaji.


Ufalme huo unatumia viwanda vya kisasa, majengo ya viwanda, wafanyikazi waliohitimu na gharama ndogo za uzalishaji ili kuunda mazingira ya kibiashara yenye nguvu, na mauzo ya uzalishaji ambayo yalifikia zaidi ya magari 535,000.

Soma:
Ushirikiano kati ya China na Afrika katika magari ya nishati mpya una mustakabali mzuri
China inabadilisha ukiritimba wa soko la magari barani Afrika
China yailaani Tume ye Umoja wa Ulaya kwa kutaka siri za kibiashara katika uchunguzi wa magari ya umeme
Ma
 
We mpumbavu hapo chuki zinatoka wapi? Nieleze uwezo wa Morroco kumiliki wa hivyo viwanda wakati GDP yake inazodiwa na Egypt, south Afroca Nigeria na Ethiopia, masuala ya uchimi sio ya ushabiki ni facts.
Acha chuki nyau wewe,linganisha gdp ya nigeria na ethiopia na wingi wao wa watu na gdp ya morocco,hivi unaweza linganisha economic welfare ya morocco na nigeria au ethiopia!?..swali langu la awali,china na nchi zingine za ulaya hakuna kampuni za nje zinazozalisha bidhaa zao humo kama morocco!?..maana uliandika kwa dharau na chuki
 
Acha chuki nyau wewe,linganisha gdp ya nigeria na ethiopia na wingi wao wa watu na gdp ya morocco,hivi unaweza linganisha economic welfare ya morocco na nigeria au ethiopia!?..swali langu la awali,china na nchi zingine za ulaya hakuna kampuni za nje zinazozalisha bidhaa zao humo kama morocco!?..maana uliandika kwa dharau na chuki
Mkuu leta data za uchumi za Morroco ili tulinganishe na za nchi zingine ili tupate picha halisi.
 
Kwani china na nchi zingine ulaya hazitumiki kuzalisha bidhaa za kampuni za nje ya nchi zao!?.. morocco unaweza ilinganisha na nchi gani fukara afrika!?..kwa mwandiko wako hapa ni dhahiri umeumia,kimekuumiza nini!?..ingekua liberia,congo, uganda imefanya hivyo ungeumia kiasi hiki!?
Hata kwene top 5 ya nchi zenye uchumi mkubwa Africa haimo😂😂
Muwe mnafatilia mambo siyo kukurupuka na vichwa vya habari!!
 

Attachments

  • 5B5751D6-A5E0-43B8-B363-9C62C017438C.jpeg
    5B5751D6-A5E0-43B8-B363-9C62C017438C.jpeg
    359.7 KB · Views: 6
Kwani china na nchi zingine ulaya hazitumiki kuzalisha bidhaa za kampuni za nje ya nchi zao!?.. morocco unaweza ilinganisha na nchi gani fukara afrika!?..kwa mwandiko wako hapa ni dhahiri umeumia,kimekuumiza nini!?..ingekua liberia,congo, uganda imefanya hivyo ungeumia kiasi hiki!?
Hamna cha kuumia we n mburula hujui hata mambo ya uchumi unakuja kubwabwaja huku! ivi watu wa pwani mnanini uchawa tu!!

Huwezi linganisha China na morocco
China ipo uchumi wa matrillion
Na hao Apple na makampuni ya kigeni si kua ndo yanayorun uchumi wa china.
Wachina wana kila mbadala
Hayo nayo yanakimbilia kule kwasababu ya low labour .

Huwa wanayaruhusu ili waibe technologia
Wakishachukua technologia yao wana ya Exit

Labda utuambie we mjuvi wa kijiwe cha kahawa unadhani makampuni ya nje yanachangia sh ngap au kiasi gan kwene uchumi wa china.
 
Ni agent wa ufaransa kuzalisha magari ya ufaransa yeye anatumika kwasbb ya cheap labour yake, ila ni nchi masikini kama zingine za Africa hiyo inaitwa Neo colonialism at its best.
Japo Morocco sio nchi tajiri lakini kwa uwekezaji wanao ufanya kuanzia kwenye elimu yao,viwanda,kilimo,miundo mbinu wanaonesha mwanga na nia thabiti ya kukifanya kizazi cha miaka 20 ijayo kuikuta Morocco likiwa taifa lenye maendeleo makubwa sana.
Tofauti na kwenye nchi yetu ambapo kila miaka inavyo songa mbele ndo na mambo menyewe hayaeleweki hatujui kipaumbele chetu kama taifa ni kipi tunajiendea tu.
Ukifika kwenye majiji yao kama Casablanca,Rabat,na Malacceshi kuanzia miundo mbinu ya mabarabara ,tren za umeme,mpangilio wa hiyo miji ,mpaka na usafi alafu ukarudi ukaingalia dar ndo utagundua kuwa kumbe Dar Salam ni ni takataka inayo itwa jiji.
 
Japo Morocco sio nchi tajiri lakini kwa uwekezaji wanao ufanya kuanzia kwenye elimu yao,viwanda,kilimo,miundo mbinu wanaonesha mwanga na nia thabiti ya kukifanya kizazi cha miaka 20 ijayo kuikuta Morocco likiwa taifa lenye maendeleo makubwa sana.
Tofauti na kwenye nchi yetu ambapo kila miaka inavyo songa mbele ndo na mambo menyewe hayaeleweki hatujui kipaumbele chetu kama taifa ni kipi tunajiendea tu.
Ukifika kwenye majiji yao kama Casablanca,Rabat,na Malacceshi kuanzia miundo mbinu ya mabarabara ,tren za umeme,mpangilio wa hiyo miji ,mpaka na usafi alafu ukarudi ukaingalia dar ndo utagundua kuwa kumbe Dar Salam ni ni takataka inayo itwa jiji.
Halafu tutakuja tena kuwaomba watujengee uwanja wa michezo Kigoma na mahekalu sijui wapi huko. Sijui tunakosea wapi!
 
Morocco imeipiku China, Japani na India na kuwa msafirishaji mkuu wa sekta ya magari kwa Umoja wa Ulaya. Katika mwaka wa 2023, nchi hii ilipata dola bilioni 13.7 kutokana na usafirishaji wa magari.


Masoko makubwa ya magari yanayosafirishwa kutoka Morocco ni Ufaransa, Uhispania, na Italia. Morocco pia ina uwezo wa kuzalisha magari milioni 1 kila mwaka, ikionesha ukuaji wa ajabu katika sekta ya viwanda. Hii inadhihirisha juhudi za nchi hiyo katika kuboresha mazingira ya biashara na kuvutia uwekezaji.


Ufalme huo unatumia viwanda vya kisasa, majengo ya viwanda, wafanyikazi waliohitimu na gharama ndogo za uzalishaji ili kuunda mazingira ya kibiashara yenye nguvu, na mauzo ya uzalishaji ambayo yalifikia zaidi ya magari 535,000.

Soma:
Ushirikiano kati ya China na Afrika katika magari ya nishati mpya una mustakabali mzuri
China inabadilisha ukiritimba wa soko la magari barani Afrika
China yailaani Tume ye Umoja wa Ulaya kwa kutaka siri za kibiashara katika uchunguzi wa magari ya umeme
Hawa wako vizuri wana brand yao moja ya product inafanana nutella imeshika huko ufaransa kiasi kwamba watu walikuwa wanapanga foleni kwenye masupermarket kama vile ndo uzinduzi wa iphone kujipatia chupa ukichelewa hupati. Ufaransa kuona hivyo ikaipiga marufuku kwa madai eti haifuati utaratibu wa vyakula ila za chini ya kapeti ni kuilinda brand ya ulaya ya nutella.
Kitendo hicho kikafanya chupa moja ya hiyo bidhaa iuzwe kwa hadi euro 32 maana ikawa adimu.
 
Hamna cha kuumia we n mburula hujui hata mambo ya uchumi unakuja kubwabwaja huku! ivi watu wa pwani mnanini uchawa tu!!

Huwezi linganisha China na morocco
China ipo uchumi wa matrillion
Na hao Apple na makampuni ya kigeni si kua ndo yanayorun uchumi wa china.
Wachina wana kila mbadala
Hayo nayo yanakimbilia kule kwasababu ya low labour .

Huwa wanayaruhusu ili waibe technologia
Wakishachukua technologia yao wana ya Exit

Labda utuambie we mjuvi wa kijiwe cha kahawa unadhani makampuni ya nje yanachangia sh ngap au kiasi gan kwene uchumi wa china.
Unaleta ujuaji halafu unaandika utoko tu,wanachokipata china kwenye huo uwekezaji morocco hawakipati!?.. unadhani morocco ni magari tu ndiyo yanayotengenezwa hapo na kampuni kubwa duniani!?
 
Unaleta ujuaji halafu unaandika utoko tu,wanachokipata china kwenye huo uwekezaji morocco hawakipati!?.. unadhani morocco ni magari tu ndiyo yanayotengenezwa hapo na kampuni kubwa duniani!?
bro ebu acha uchawa wanachokipata lazima kionekane kwene uchumi wa Gdp
😂😂😂😂

Au una baba ako ni house boy huko shobo zimekuzidi takwimu huna
 
Back
Top Bottom