Morocco imeipiku China, Japan na India kwa kuwa msafirishaji mkubwa wa Magari Ulaya

Morocco imeipiku China, Japan na India kwa kuwa msafirishaji mkubwa wa Magari Ulaya

Unaleta ujuaji halafu unaandika utoko tu,wanachokipata china kwenye huo uwekezaji morocco hawakipati!?.. unadhani morocco ni magari tu ndiyo yanayotengenezwa hapo na kampuni kubwa duniani!?
Ukome kubishana na mm!!
Mi najua vitu sio nacomment kujifurahisha
 

Attachments

  • B88B0C20-0659-4CBC-BF31-328DF36DFA17.jpeg
    B88B0C20-0659-4CBC-BF31-328DF36DFA17.jpeg
    568.5 KB · Views: 3
Morocco imeipiku China, Japani na India na kuwa msafirishaji mkuu wa sekta ya magari kwa Umoja wa Ulaya. Katika mwaka wa 2023, nchi hii ilipata dola bilioni 13.7 kutokana na usafirishaji wa magari.


Masoko makubwa ya magari yanayosafirishwa kutoka Morocco ni Ufaransa, Uhispania, na Italia. Morocco pia ina uwezo wa kuzalisha magari milioni 1 kila mwaka, ikionesha ukuaji wa ajabu katika sekta ya viwanda. Hii inadhihirisha juhudi za nchi hiyo katika kuboresha mazingira ya biashara na kuvutia uwekezaji.


Ufalme huo unatumia viwanda vya kisasa, majengo ya viwanda, wafanyikazi waliohitimu na gharama ndogo za uzalishaji ili kuunda mazingira ya kibiashara yenye nguvu, na mauzo ya uzalishaji ambayo yalifikia zaidi ya magari 535,000.

Soma:
Ushirikiano kati ya China na Afrika katika magari ya nishati mpya una mustakabali mzuri
China inabadilisha ukiritimba wa soko la magari barani Afrika
China yailaani Tume ye Umoja wa Ulaya kwa kutaka siri za kibiashara katika uchunguzi wa magari ya umeme
Unaweza kuelewa kwanini wamorocco hawapendi kufungamanishwa na waafrika wengine.

90% ya viongozi wakubwa wa Afrika Mashariki, hawawezi kupata nafasi za uongozi nchini Morocco hata kwa majaribio.
 
Utalinganisha morocco na ethiopia kwa economic welfare,au hata nigeria!?
We kiazi ebu njoo angalia hapa morroco si level ya nigeria kabisa haijawai kua
 

Attachments

  • 52C91570-2FCE-4593-995A-F08D72FE934A.jpeg
    52C91570-2FCE-4593-995A-F08D72FE934A.jpeg
    78.2 KB · Views: 3
  • A234D6AE-1BF8-41D0-B831-218F0FAA14B8.jpeg
    A234D6AE-1BF8-41D0-B831-218F0FAA14B8.jpeg
    66 KB · Views: 4
  • 0678A2FA-5CD8-43FC-A5A1-E92B1E1105EF.jpeg
    0678A2FA-5CD8-43FC-A5A1-E92B1E1105EF.jpeg
    71.2 KB · Views: 3
Morocco imeipiku China, Japani na India na kuwa msafirishaji mkuu wa sekta ya magari kwa Umoja wa Ulaya. Katika mwaka wa 2023, nchi hii ilipata dola bilioni 13.7 kutokana na usafirishaji wa magari.


Masoko makubwa ya magari yanayosafirishwa kutoka Morocco ni Ufaransa, Uhispania, na Italia. Morocco pia ina uwezo wa kuzalisha magari milioni 1 kila mwaka, ikionesha ukuaji wa ajabu katika sekta ya viwanda. Hii inadhihirisha juhudi za nchi hiyo katika kuboresha mazingira ya biashara na kuvutia uwekezaji.


Ufalme huo unatumia viwanda vya kisasa, majengo ya viwanda, wafanyikazi waliohitimu na gharama ndogo za uzalishaji ili kuunda mazingira ya kibiashara yenye nguvu, na mauzo ya uzalishaji ambayo yalifikia zaidi ya magari 535,000.

Soma:
Ushirikiano kati ya China na Afrika katika magari ya nishati mpya una mustakabali mzuri
China inabadilisha ukiritimba wa soko la magari barani Afrika
China yailaani Tume ye Umoja wa Ulaya kwa kutaka siri za kibiashara katika uchunguzi wa magari ya umeme
 

Attachments

  • F018B688-BD53-4D06-AC69-E9ADC1C3DD68.jpeg
    F018B688-BD53-4D06-AC69-E9ADC1C3DD68.jpeg
    38 KB · Views: 3
  • E6F0429F-AD4B-4B11-A469-C18FB47126B3.jpeg
    E6F0429F-AD4B-4B11-A469-C18FB47126B3.jpeg
    28.9 KB · Views: 3
  • 53A9062F-6F91-49C7-AE80-6FC27C6D2C94.jpeg
    53A9062F-6F91-49C7-AE80-6FC27C6D2C94.jpeg
    74.2 KB · Views: 2
  • 07D00DD0-2C44-40A8-9776-A9CD9D2C1B2E.jpeg
    07D00DD0-2C44-40A8-9776-A9CD9D2C1B2E.jpeg
    57.9 KB · Views: 2
  • 654B1CFC-F91B-4204-A3FE-C2A6F569818F.jpeg
    654B1CFC-F91B-4204-A3FE-C2A6F569818F.jpeg
    65 KB · Views: 2
  • 8CA1AD07-D2D2-443A-AC47-787156C870D6.jpeg
    8CA1AD07-D2D2-443A-AC47-787156C870D6.jpeg
    48.7 KB · Views: 3
Japo Morocco sio nchi tajiri lakini kwa uwekezaji wanao ufanya kuanzia kwenye elimu yao,viwanda,kilimo,miundo mbinu wanaonesha mwanga na nia thabiti ya kukifanya kizazi cha miaka 20 ijayo kuikuta Morocco likiwa taifa lenye maendeleo makubwa sana.
Tofauti na kwenye nchi yetu ambapo kila miaka inavyo songa mbele ndo na mambo menyewe hayaeleweki hatujui kipaumbele chetu kama taifa ni kipi tunajiendea tu.
Ukifika kwenye majiji yao kama Casablanca,Rabat,na Malacceshi kuanzia miundo mbinu ya mabarabara ,tren za umeme,mpangilio wa hiyo miji ,mpaka na usafi alafu ukarudi ukaingalia dar ndo utagundua kuwa kumbe Dar Salam ni ni takataka inayo itwa jiji.
Vijana wa morocco wako bize kukimbilia fulsa ulaya
Hivyo viwanda havina msaada sana kwa mwananchi wa kawaida wa morocco kwanza vinatumia mashine sana na pia ela (faida) inayopatikana inaenda ulaya
 
bro ebu acha uchawa wanachokipata lazima kionekane kwene uchumi wa Gdp
😂😂😂😂

Au una baba ako ni house boy huko shobo zimekuzidi takwimu huna
India GDP yake ni kubwa zaidi ya mara 2 ya Ufaransa lakini nenda India uone maisha ya raia alafu rudi Ufaransa uone maisha yao ni mbingu na ardhi.
 
We kiazi ebu njoo angalia hapa morroco si level ya nigeria kabisa haijawai kua
Ebu tuwekee vijiji vya hiyo Nigeria unayo isifia navyo tuvione.
Nigeria ni mojawapo ya mataifa ya hovyo hapa duniani bora hata bongo.

Nigeria ipo kwenye orodha ya mataifa maskini kabisa hapa duniani wakati Morocco ni nchi inayo tambulika kuwa kwenye nchi zenye uchumi wa kati.

Yaani unababaishwa na GDP, India ni nchi ya 5 kwa GDP kubwa duniani lakini maisha ya raia wake wanayo ishi hawawafikii ha raia wa Chile ambayo hata kwenye nchi 50 zenye GDP kubwa haipo.
 
Vijana wa morocco wako bize kukimbilia fulsa ulaya
Hivyo viwanda havina msaada sana kwa mwananchi wa kawaida wa morocco kwanza vinatumia mashine sana na pia ela (faida) inayopatikana inaenda ulaya
Ww hujawahi kufika Merocco ndo maana una ongea tu,siku ukifika ndo utajua kuwa iko mbali sana kwenye mambo mengi ukilinganisha na nchi nyingi za kiafrika japo changamoto hazikosi.
 
Morocco imeipiku China, Japani na India na kuwa msafirishaji mkuu wa sekta ya magari kwa Umoja wa Ulaya. Katika mwaka wa 2023, nchi hii ilipata dola bilioni 13.7 kutokana na usafirishaji wa magari.


Masoko makubwa ya magari yanayosafirishwa kutoka Morocco ni Ufaransa, Uhispania, na Italia. Morocco pia ina uwezo wa kuzalisha magari milioni 1 kila mwaka, ikionesha ukuaji wa ajabu katika sekta ya viwanda. Hii inadhihirisha juhudi za nchi hiyo katika kuboresha mazingira ya biashara na kuvutia uwekezaji.


Ufalme huo unatumia viwanda vya kisasa, majengo ya viwanda, wafanyikazi waliohitimu na gharama ndogo za uzalishaji ili kuunda mazingira ya kibiashara yenye nguvu, na mauzo ya uzalishaji ambayo yalifikia zaidi ya magari 535,000.

Soma:
Ushirikiano kati ya China na Afrika katika magari ya nishati mpya una mustakabali mzuri
China inabadilisha ukiritimba wa soko la magari barani Afrika
China yailaani Tume ye Umoja wa Ulaya kwa kutaka siri za kibiashara katika uchunguzi wa magari ya umeme
Sisi TUNSKUZA MAVHAWA na sasa tumrfikia hatua ya kutuma machawa Marekani
 
Ebu tuwekee vijiji vya hiyo Nigeria unayo isifia navyo tuvione.
Nigeria ni mojawapo ya mataifa ya hovyo hapa duniani bora hata bongo.

Nigeria ipo kwenye orodha ya mataifa maskini kabisa hapa duniani wakati Morocco ni nchi inayo tambulika kuwa kwenye nchi zenye uchumi wa kati.

Yaani unababaishwa na GDP, India ni nchi ya 5 kwa GDP kubwa duniani lakini maisha ya raia wake wanayo ishi hawawafikii ha raia wa Chile ambayo hata kwenye nchi 50 zenye GDP kubwa haipo.
Hajui tofauti ya economic welfare na economic growth
 
Acha chuki nyau wewe,linganisha gdp ya nigeria na ethiopia na wingi wao wa watu na gdp ya morocco,hivi unaweza linganisha economic welfare ya morocco na nigeria au ethiopia!?..swali langu la awali,china na nchi zingine za ulaya hakuna kampuni za nje zinazozalisha bidhaa zao humo kama morocco!?..maana uliandika kwa dharau na chuki
Tukana tena, ama ungetukana kabisa mara 3 utoe nyongo zako ili utapoandika usitukane tena.

Mna madini sana, lakini vidomodomo vyenu vinawavueni nguo.
 
India GDP yake ni kubwa zaidi ya mara 2 ya Ufaransa lakini nenda India uone maisha ya raia alafu rudi Ufaransa uone maisha yao ni mbingu na ardhi.
unajua kuna aina ngap ya kupima uchumi???
au huelewi unachoongea ??
unajua domestic na nomino growth ??
Kama hujui hivi vitu usiongee usichokijua
 
Back
Top Bottom