Morocco imeipiku China, Japan na India kwa kuwa msafirishaji mkubwa wa Magari Ulaya

Morocco imeipiku China, Japan na India kwa kuwa msafirishaji mkubwa wa Magari Ulaya

Attachments

  • Screenshot_2024-10-08-14-24-58-203.jpg
    Screenshot_2024-10-08-14-24-58-203.jpg
    240.9 KB · Views: 2
unajua kuna aina ngap ya kupima uchumi???
au huelewi unachoongea ??
unajua domestic na nomino growth ??
Kama hujui hivi vitu usiongee usichokijua
Ww ndo huna elimu ya uchumi na ndio maana unapima uchumi kwa misingi ya ukubwa wa GDP tu.

Kipimo halisi cha uchumi imara wa nchi ni uwezo wa serikali kuhudumia raia wake ,kielimu,kiafia, kiuchumi,kiajira ,ki miundo mbinu, hivyo vyote Nigeria inazidiwa mbali sana na Morocco.

Nigeria ina watu zaidi ya million 190 lakini miundo mbinu iliyo nayo ina uwezo wa kuhudumia watu million 50 tu.Ni sawa na jiji kama dar lina watu million zaidi ya 6 hali yakuwa miundo mbinu iliyo nayo inafaa lingekuwa na watu million 1 tu.

Alafu kingine usicho kijua kiasi kikubwa cha GDP ya Nigeria ina changiwa na makampuni ya mafuta ya nchi za Magharibi yaliyo jikita nchini humo uchumi wa Nigeria uko kinadharia na sio kihalisia.
 
Kwani china na nchi zingine ulaya hazitumiki kuzalisha bidhaa za kampuni za nje ya nchi zao!?.. morocco unaweza ilinganisha na nchi gani fukara afrika!?..kwa mwandiko wako hapa ni dhahiri umeumia,kimekuumiza nini!?..ingekua liberia,congo, uganda imefanya hivyo ungeumia kiasi hiki!?
Hahaha! We Jamaa bhana. Tayari umeleta udini kwenye comment ya mwenzio
 
We mpumbavu hapo chuki zinatoka wapi? Nieleze uwezo wa Morroco kumiliki wa hivyo viwanda wakati GDP yake inazodiwa na Egypt, south Afroca Nigeria na Ethiopia, masuala ya uchimi sio ya ushabiki ni facts.
Ila wana uwezo wa kujenga viwanja vya mpira na misikiti
 
Wachumi wanasema kuwa The best metric to compare economies of two countries ni Purchasing Power Parity (PPP)..

PPP
ni kipimo cha uchumi wa mtu mmoja mmoja kwenye nchi adjusted to inflation, cost of living plus cost of other necessities..

Ukitumia PPP Morocco ipo juu mno kulinganisha na vinchi vyetu vya sub-saharan Africa
 
Ww ndo huna elimu ya uchumi na ndio maana unapima uchumi kwa misingi ya ukubwa wa GDP tu.

Kipimo halisi cha uchumi imara wa nchi ni uwezo wa serikali kuhudumia raia wake ,kielimu,kiafia, kiuchumi,kiajira ,ki miundo mbinu, hivyo vyote Nigeria inazidiwa mbali sana na Morocco.

Nigeria ina watu zaidi ya million 190 lakini miundo mbinu iliyo nayo ina uwezo wa kuhudumia watu million 50 tu.Ni sawa na jiji kama dar lina watu million zaidi ya 6 hali yakuwa miundo mbinu iliyo nayo inafaa lingekuwa na watu million 1 tu.

Alafu kingine usicho kijua kiasi kikubwa cha GDP ya Nigeria ina changiwa na makampuni ya mafuta ya nchi za Magharibi yaliyo jikita nchini humo uchumi wa Nigeria uko kinadharia na sio kihalisia.
we mburula mi ndo nimekwambia sijui uchumi unapimwaje??
Unajua nominal Gdp
Na domestic GDP

au kusoma vizuri hujui
 
Nimekuwa nikitafuta magari kutoka Morocco ila changamoto inakuja transportation...Morocco imekaa vibaya sana na Tanzania
Kule jangwa kutoka moroko mpka bongo hapa kati kuna nchi zinamilima ya kushato na road zake mbovu kichizi
 
we mburula mi ndo nimekwambia sijui uchumi unapimwaje??
Unajua nominal Gdp
Na domestic GDP

au kusoma vizuri hujui
Ww ndo mburula hivi ukiachana na nominal GDP ya Nigeria kuonekana kuwa kubwa ina kipi kingine cha ziada?
Kwa maisha ya mtu mmoja mmoja ndani ya Nigeria bora mara mia ya bongo.
Nimesha kutolea mfano wa nchi kibao ili uelewe kuwa ukubwa wa GDP hauwakilishi maendeleo ya nchi husika.
Alafu unacho takiwa kujua ni kuwa GDP ya Nigeria haichangiwi na uzalishaji bali kwa kiasi kikubwa inachangiwa na mafuta ambayo pesa zake hazina msaada kwa raia zaidi ya kuingia kwenye mifuko ya watu wachache.
Ungekuwa unaishindanisha Morocco na misri au s.africa ninge kuelewa lakini sio takataka inayo itwa Nigeria.
 
Ww ndo mburula hivi ukiachana na nominal GDP ya Nigeria kuonekana kuwa kubwa ina kipi kingine cha ziada?
Kwa maisha ya mtu mmoja mmoja ndani ya Nigeria bora mara mia ya bongo.
Nimesha kutolea mfano wa nchi kibao ili uelewe kuwa ukubwa wa GDP hauwakilishi maendeleo ya nchi husika.
Alafu unacho takiwa kujua ni kuwa GDP ya Nigeria haichangiwi na uzalishaji bali kwa kiasi kikubwa inachangiwa na mafuta ambayo pesa zake hazina msaada kwa raia zaidi ya kuingia kwenye mifuko ya watu wachache.
Ungekuwa unaishindanisha Morocco na misri au s.africa ninge kuelewa lakini sio takataka inayo itwa Nigeria.
Yaan ulinganishe Moroco na Nigeria yaan we akili huna GDP 400 vs gdp 150😂😂😂😂


Nigeria tatizo kubwa ni overpopulated

Yaan kwa utahira huo utasema Tz ni rich kuliko china kisa tu china ina watu wengi masikini

Bro peleka upumbavu wako facebook
 
Back
Top Bottom