Hypersonic WMD
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,337
- 1,876
Ukome kubishana na mm!!Unaleta ujuaji halafu unaandika utoko tu,wanachokipata china kwenye huo uwekezaji morocco hawakipati!?.. unadhani morocco ni magari tu ndiyo yanayotengenezwa hapo na kampuni kubwa duniani!?
mwambie huyu fufu atuoneshe kampuni ya magari ya moroccoAutomotive Industry Company List
More items...
- Renault-Nissan.
- Ford Motor Company.
- Peugeot.
- Hyundai Motor Company.
- Fiat SpA.
- Dacia.
- Volkswagen AG.
- Mercedes-Benz.
Hizi ni brand zinazozalishwa morocco,zote ni za mfaransa?
Nimekuwa nikitafuta magari kutoka Morocco ila changamoto inakuja transportation...Morocco imekaa vibaya sana na TanzaniaKwanin tusiagize magar kutoka moroco?
Unaweza kuelewa kwanini wamorocco hawapendi kufungamanishwa na waafrika wengine.Morocco imeipiku China, Japani na India na kuwa msafirishaji mkuu wa sekta ya magari kwa Umoja wa Ulaya. Katika mwaka wa 2023, nchi hii ilipata dola bilioni 13.7 kutokana na usafirishaji wa magari.
Masoko makubwa ya magari yanayosafirishwa kutoka Morocco ni Ufaransa, Uhispania, na Italia. Morocco pia ina uwezo wa kuzalisha magari milioni 1 kila mwaka, ikionesha ukuaji wa ajabu katika sekta ya viwanda. Hii inadhihirisha juhudi za nchi hiyo katika kuboresha mazingira ya biashara na kuvutia uwekezaji.
Ufalme huo unatumia viwanda vya kisasa, majengo ya viwanda, wafanyikazi waliohitimu na gharama ndogo za uzalishaji ili kuunda mazingira ya kibiashara yenye nguvu, na mauzo ya uzalishaji ambayo yalifikia zaidi ya magari 535,000.
Soma:
• Ushirikiano kati ya China na Afrika katika magari ya nishati mpya una mustakabali mzuri
• China inabadilisha ukiritimba wa soko la magari barani Afrika
• China yailaani Tume ye Umoja wa Ulaya kwa kutaka siri za kibiashara katika uchunguzi wa magari ya umeme
We kiazi ebu njoo angalia hapa morroco si level ya nigeria kabisa haijawai kuaUtalinganisha morocco na ethiopia kwa economic welfare,au hata nigeria!?
Morocco imeipiku China, Japani na India na kuwa msafirishaji mkuu wa sekta ya magari kwa Umoja wa Ulaya. Katika mwaka wa 2023, nchi hii ilipata dola bilioni 13.7 kutokana na usafirishaji wa magari.
Masoko makubwa ya magari yanayosafirishwa kutoka Morocco ni Ufaransa, Uhispania, na Italia. Morocco pia ina uwezo wa kuzalisha magari milioni 1 kila mwaka, ikionesha ukuaji wa ajabu katika sekta ya viwanda. Hii inadhihirisha juhudi za nchi hiyo katika kuboresha mazingira ya biashara na kuvutia uwekezaji.
Ufalme huo unatumia viwanda vya kisasa, majengo ya viwanda, wafanyikazi waliohitimu na gharama ndogo za uzalishaji ili kuunda mazingira ya kibiashara yenye nguvu, na mauzo ya uzalishaji ambayo yalifikia zaidi ya magari 535,000.
Soma:
• Ushirikiano kati ya China na Afrika katika magari ya nishati mpya una mustakabali mzuri
• China inabadilisha ukiritimba wa soko la magari barani Afrika
• China yailaani Tume ye Umoja wa Ulaya kwa kutaka siri za kibiashara katika uchunguzi wa magari ya umeme
Vijana wa morocco wako bize kukimbilia fulsa ulayaJapo Morocco sio nchi tajiri lakini kwa uwekezaji wanao ufanya kuanzia kwenye elimu yao,viwanda,kilimo,miundo mbinu wanaonesha mwanga na nia thabiti ya kukifanya kizazi cha miaka 20 ijayo kuikuta Morocco likiwa taifa lenye maendeleo makubwa sana.
Tofauti na kwenye nchi yetu ambapo kila miaka inavyo songa mbele ndo na mambo menyewe hayaeleweki hatujui kipaumbele chetu kama taifa ni kipi tunajiendea tu.
Ukifika kwenye majiji yao kama Casablanca,Rabat,na Malacceshi kuanzia miundo mbinu ya mabarabara ,tren za umeme,mpangilio wa hiyo miji ,mpaka na usafi alafu ukarudi ukaingalia dar ndo utagundua kuwa kumbe Dar Salam ni ni takataka inayo itwa jiji.
Huwezi linganisha nigeria na morocco we kajingaWe kiazi ebu njoo angalia hapa morroco si level ya nigeria kabisa haijawai kua
India GDP yake ni kubwa zaidi ya mara 2 ya Ufaransa lakini nenda India uone maisha ya raia alafu rudi Ufaransa uone maisha yao ni mbingu na ardhi.bro ebu acha uchawa wanachokipata lazima kionekane kwene uchumi wa Gdp
😂😂😂😂
Au una baba ako ni house boy huko shobo zimekuzidi takwimu huna
Ebu tuwekee vijiji vya hiyo Nigeria unayo isifia navyo tuvione.We kiazi ebu njoo angalia hapa morroco si level ya nigeria kabisa haijawai kua
Ww hujawahi kufika Merocco ndo maana una ongea tu,siku ukifika ndo utajua kuwa iko mbali sana kwenye mambo mengi ukilinganisha na nchi nyingi za kiafrika japo changamoto hazikosi.Vijana wa morocco wako bize kukimbilia fulsa ulaya
Hivyo viwanda havina msaada sana kwa mwananchi wa kawaida wa morocco kwanza vinatumia mashine sana na pia ela (faida) inayopatikana inaenda ulaya
Sisi TUNSKUZA MAVHAWA na sasa tumrfikia hatua ya kutuma machawa MarekaniMorocco imeipiku China, Japani na India na kuwa msafirishaji mkuu wa sekta ya magari kwa Umoja wa Ulaya. Katika mwaka wa 2023, nchi hii ilipata dola bilioni 13.7 kutokana na usafirishaji wa magari.
Masoko makubwa ya magari yanayosafirishwa kutoka Morocco ni Ufaransa, Uhispania, na Italia. Morocco pia ina uwezo wa kuzalisha magari milioni 1 kila mwaka, ikionesha ukuaji wa ajabu katika sekta ya viwanda. Hii inadhihirisha juhudi za nchi hiyo katika kuboresha mazingira ya biashara na kuvutia uwekezaji.
Ufalme huo unatumia viwanda vya kisasa, majengo ya viwanda, wafanyikazi waliohitimu na gharama ndogo za uzalishaji ili kuunda mazingira ya kibiashara yenye nguvu, na mauzo ya uzalishaji ambayo yalifikia zaidi ya magari 535,000.
Soma:
• Ushirikiano kati ya China na Afrika katika magari ya nishati mpya una mustakabali mzuri
• China inabadilisha ukiritimba wa soko la magari barani Afrika
• China yailaani Tume ye Umoja wa Ulaya kwa kutaka siri za kibiashara katika uchunguzi wa magari ya umeme
Hajui tofauti ya economic welfare na economic growthEbu tuwekee vijiji vya hiyo Nigeria unayo isifia navyo tuvione.
Nigeria ni mojawapo ya mataifa ya hovyo hapa duniani bora hata bongo.
Nigeria ipo kwenye orodha ya mataifa maskini kabisa hapa duniani wakati Morocco ni nchi inayo tambulika kuwa kwenye nchi zenye uchumi wa kati.
Yaani unababaishwa na GDP, India ni nchi ya 5 kwa GDP kubwa duniani lakini maisha ya raia wake wanayo ishi hawawafikii ha raia wa Chile ambayo hata kwenye nchi 50 zenye GDP kubwa haipo.
Tanzania ya ngapi?Hata kwene top 5 ya nchi zenye uchumi mkubwa Africa haimo😂😂
Muwe mnafatilia mambo siyo kukurupuka na vichwa vya habari!!
Tukana tena, ama ungetukana kabisa mara 3 utoe nyongo zako ili utapoandika usitukane tena.Acha chuki nyau wewe,linganisha gdp ya nigeria na ethiopia na wingi wao wa watu na gdp ya morocco,hivi unaweza linganisha economic welfare ya morocco na nigeria au ethiopia!?..swali langu la awali,china na nchi zingine za ulaya hakuna kampuni za nje zinazozalisha bidhaa zao humo kama morocco!?..maana uliandika kwa dharau na chuki
hilo bundle unalotumia kuuliza kila kitu lingekusaidia kugoogleTanzania ya ngapi?
unajua kuna aina ngap ya kupima uchumi???India GDP yake ni kubwa zaidi ya mara 2 ya Ufaransa lakini nenda India uone maisha ya raia alafu rudi Ufaransa uone maisha yao ni mbingu na ardhi.
Mi naww nani mjinga sasa??Huwezi linganisha nigeria na morocco we kajinga