Morocco walianza kusema Wao siyo Waafrika Wenzetu, Leo wana Janga Kubwa wanachagua wa Kuwasaidia

Wamorocco wakiwa waafrika unapata faida gani na wasipo kuwa waafrika unapata hasara gani ?
Wewe unavyowatetea Kindezi na Kisimbilizi hapa Jamvini
unapata Faida gani?

Hovyo kabisa....!!
 
Wamorocco wakiwa waafrika unapata faida gani na wasipo kuwa waafrika unapata hasara gani ?
Wakiwa popote sipati hasara wala faida zozote. Ila kauli zao zinaleta hasara kwa maana ya mahusiano na wengine. Kwasasa, wakikomaa na maamuzi yao, maana yake taifa lolote litakalojiunga na Morrocco litajipa shida na mataifa mengine ya Afrika. Hii issue ni mtambuka, siyo rahisi kama unavyoidhania. Ni vile tu bado hawajaingia huko kwenye jumuiya za ulaya na kauli zao baadhi walijidai kuomba msamaha..!!

Embu fikiria, kama Morocco ipo OIC na Tanzania (Zanzibar) nayo ijiunge na OIC, unategemea nini?
 
Wakijiunga OIC wewe unapata hasara gani ?
 
Huna maadili mkuu,unaiombea ipigwe na tetemeko kubwa zaidi ya walilopata,eti kwa sababu ya mambo ya mpira wa World cup? wewe ni mtu mbaya sana,naweza kufikiri hata majirani zako unaweza kuwatilia sumu kwenye chakula.
 
Morrocco Wako sahihi kabisa kujivua uafrika.

Maana hata majanga yakitokea, Popote pale Duniani wazungu na waarabu ndio wa kwanza kutoa misaada ya kibinadamu.

Uafrika ni Laana.
 
Kwani bila hizo kauli za kukana waafrika wenzao hawawezi pata maendeleo?
Au wewe kwako kuwakataa wenzio ndo maendeleo?
Au wewe kushobokea wa ulaya ndiyo maendeleo?
Wewe Muafrika Morocco ni wenzako toka lini ?
 
Watu wamewakataa nyie mnaenda kuchukua kocha, golikipa na mtrainer huko. Mnajielewa kweli nyie kolo na uto?
 
Anyway Sina mate ya kutema, je mate ya kumeza nitatolea wapi..?

ngoja nitengeneze joint ya kush nivute huku nasoma comments za wadau.
 
Waliokuwa wanataka kujifunza maana halisi ya roho mbaya waje wasome hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…