Maulaga59
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 2,984
- 2,971
Kama Ubongo wako umejaa Kamasi na Kohozi tupu utaonaje Points katika hii Thread yangu?
But your posts are always rubbish reflecting what kind of rubbish guy you are!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama Ubongo wako umejaa Kamasi na Kohozi tupu utaonaje Points katika hii Thread yangu?
Nonsense.But your posts are always rubbish reflecting what kind of rubbish guy you are!
Unafikwa na majanga unachagua nani wa kukusaidia ili iweje???? Kiufupi moroco wanajikuta ni wazunguu sasa acha wapigweee.. Lije tenaa kubwaa zaidiiiIvi kumbe sisi wabongo masnitch sana, yani izi comment zikitumwa Morocco haitojenga picha nzuri.
Situwege tunamwachia Ngoswe yake Ngoswe..
Mnaumia nn taifa linalojiweza!!
Sasa africa kuna nchi gani yakaribu yakuipa whinch Mirocco wainue vifusi vya matofali ya magorofa??
Ukiangalia nchi zote zinazo izunguka morroco kweli wako fit sio unafki.
Kuchagua msaada utokee wapi
Factor nyepesi tu ni graphical position[emoji1787]
Ivi unajua kule ni desert coast! Nchi ya karibu na yenye resource ni izo ukiangalia kutoka morroco mpka spain ni kama 3hrs ila kufika mpaka mwingine near ni almost 22hours[emoji1787]
Kweli ndo maana maza anasema tunaitaji elimu kwanza kama common sens tu za kugugo amna![emoji41]
inferiority complex ndiyo shida yenuWaachani tu, wnataka kufanana na mabwana zao, wqtakua walikolezwa sana na fimbo ya ukoloni.
Hata hivyo sisi weusi hatkakiwi kudandia kwenye rangi nyeupee ili kuthibitisha uafrica wetu rangi yetu inatosha kututambulisha.
Kwa taarifa yako tu, wale siyo waarabu ni makabila ya moors na berbers.Waarabu ni wa Asia.
Waarabu waliopo Afrika ni Machotara, mashombe shombe.
We ni mwarabu ukokoinferiority complex ndiyo shida yenu
mimi ni muafrika ninaejitambua na wala sina inferiority complex kama weweWe ni mwarabu ukoko
Noma sana!Is Morocco the African, Arab, or Europe country? Kuna nchi ya kiafrika iliyotoa msaada? Naona nchi za kiarabu ndio zimekuwa za mwanzo mwanzo kutoa misaada. Anyway, hiyo nchi iko kwenye ukanda wa tetemeko la ardhi, walijisahau sana kuwa wamejenga kwenye ukanda hatari hawakuchukua tahadhari. Hii dunia ina kanda za hatari kujenga, kuna maeneo yenye kukumbwa na mafuriko, ukame, majangwa, tufani, volkano, vimbunga na hata milipuko ya magonjwa. Binadamu hana budi kujua eneo alilojenga linaweza kukumbwa na janga gani la asili