Morogoro: Atuhumiwa kula njama kumuua mumewe ili ale raha na bodaboda

... Mwisho kabisa unaliwa na 'fisi' huku unajiona
Umetisha Mkuu! 👊👊👊
 
I'd rather be rich and have a bad wife than being poor with good wife.
Well, devoid of the other experience, being rich becomes your norm and the bad wife a nasty experience to be rid of, not tolerated as it negates the value and pleasure of being rich.

Amin Amin nakwambia unaweza kuua au kujiua kuliko kuvumilia mke anayeweza kupita hata na “boda boda” na kuiporomosha hadhi yako katika jamii, eti almuradi una utajiri.
 
Wanawake muwe mnasoma mara kwa mara Mithali 14:1. Kuna kitu muhimu sana cha kujifunza kwenye ndoa zenu. Kiukweli hili tukio linasikitisha na kuhuzunisha sana.
 
Jamaa sana hili, lilifikiri damu ya mtu inamwagwa kirahisi hivyo🚮
... bado uchunguzi unaendelea, labda ametajwa kimakosa baada ya msaliti kutishwa hali akiwa bado na mfadhaiko wa kufiwa! ... inawezekana kuna jamaa mwingine, aliyeona BODA anafaidi sana, akaamua KUMSAIDIA KABISA ili kumuundia mazingira ANGAMIZI!
... TUSIWARAHISISHIE KAZI POLISI! ... HAKI ITENDEKE!
 
Preliminary reports 😁😁😁
 
Duh,
Mke msaliti ni hatari kuliko nyoka
 
Hiyo ndo maana halisi ya mwanamke……saiv yupo kituoni ndo akili ukute imemkaa sawa.
Ushauri tu : ukiona mapenzi yamepungua usiforce angalia plan B tu siku hizi mahisiano yanaendana na uchumi huenda alichokitka kwako hakuna tena na wala dalili ya kuja hakuna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…