Morogoro: Atuhumiwa kula njama kumuua mumewe ili ale raha na bodaboda

Morogoro: Atuhumiwa kula njama kumuua mumewe ili ale raha na bodaboda

Mwanamke huyuko hivyo, akishachepuka Hadi watoto na ukajuwa, maisha yako yapo hatarini mwanamume, lazima akuue!! Huyo katekeleza uhalisia wa mwanamke, hata sumu Huwa kwao ni sawa tu!! Wanaume tuna mtihani sana, unaweza Kuta hata Hela za bodaboda aliibiwa huyo kaka
 
Anaachana naye vipi wakati mnajifanya UNTIL DEATH DO US APART, sasa ndio kifo kimewatenganisha.
Mkuu usitusemee sana,kama una nia ya kujifunza uliza.

Bible imeruhusu kutengana sababu ya uzinzi.,kama jamaa alikuwa na uhakika kwamba mkewe ni mzinzi,alifaa achukue hatua za kutengana naye.
Hakuna taasisi ya dini,serikali,au jamii inayohusika na mambo ya ndoa inayoshinikiza watu kuachana labda za kiislam,laa sivyo zote ukifika kwa nia ya kutaka kutengana huwa wanataka washoneleee uhusiano uendelee kuwepo,wakisisitiza ni sehem ya maisha.

Wewe mhusika unayejua joto lililopo,na athali unazopata ndiye utakazia kutengana bila kujali wanasema nini,na kisha kufanya kwa vitendo.

Ya shusho mumeyaona,lakini bado hamuelewi.
 
Huyo ni mwalimu hapa Mang’ula kauawa kikatili na mkewe kapigwa na kitu kizito kichwani ubongo ukamwagika. Ni ukatili mkubwa na lengo lake awe huru kujivinjari na kijana wa nje ambaye ni Bodaboda. Na amezaa na huyo Boda mtoto mmoja
Mwanamke akianza kutoka nje ya ndoa na unauhakika mwache huru tu!!Tena ikiwezekana tafuta Chaka jipya uwe unaenda kulala kule huku ukihudumia watoto!!

Usilazimishe uhusiano kama umekufa tayari!matokeo yake ni kifo kama hivyo!
 
Tatizo pengine dini yao haikubali utengano sasa afanyeje
Ukristo unaruhusu utengano,isipokuwa unaondoa uhalali wa ndoa nyingine takatifu kwa watenganao kila mmoja na mtu mwingine isipokuwa kama wataishi kienyeji tu.

Kuna watu wanahitaji ushauri kwenye maisha kutokana na maamuzi wanayochukua,kitendo cha mwalimu kumtaarifu nduguye kwamba"hii ni picha ikiwa nitakufa"kilihitaji ufuatiliaji zaidi na kumpa muongozo wa nini afanye,angalia mtu maswala ya ndoa anakwenda serikali za mitaa!!!!

Hakuwa na muongozo mzuri.
 
Mwanamke akianza kutoka nje ya ndoa na unauhakika mwache huru tu!!Tena ikiwezekana tafuta Chaka jipya uwe unaenda kulala kule huku ukihudumia watoto!!

Usilazimishe uhusiano kama umekufa tayari!matokeo yake ni kifo kama hivyo!
Chaka huwa sio la kutafuta,linatakiwa liwepogo tu siku zote,ila unayelijua ni ww.

Kingine,unaweza ruhusu aende akagoma pia,maana huwa wanataka vilivyopo na vingine vya nje sometime,so lazima uhakikishe pia ulikuwa tayari kuondoka muda wowote na kumuacha kama alivyo.

Najua ni ngumu sana kwa wengi ila mwanaume ni kama simba dume.
Anazaliwa na baba na mama(utoto na uvulana),

anaishi kwa amani mpaka umri fulani anafukuzwa Akatafute himaya yake(ujana na kujitafuta).

Anakwe kuvamia pride nyingine inakuwa ya kwake(mahusiano na ndoa).

Anapata watoto na kuanza kuwakuza na kuwalinda(uzazi,malezi na matunzo).

Anafukuzwa kwenye pride yake aliyoilinda muda mwingi(hapa ni kile kipindi cha utu uzima)watoto wamejipata wanawasiliana na mama yao tu,na ndiye anachagua akaishi kwa nani hajali tena kuhusu wewe.

WANAUME TUNATAKIWA KUNYATA SANA.
 
Naishi karibu na sehemu hilo Tukio lilipotokea lkn kwa maumivu nilioyapata baada ya kusikia sikujaribu kusogea pale mpaka jamaa anasafirishwa kwenda huko kwao Ukerewe. Tunaoishi maenea haya tuliumia sana.
Poleni sanaa mkuu, hata me nilipigiwa simu na dada yake usiku huo wa tukio kwakweli sikulala kabisa maana Mwalimu Chris nilikua namfahamu kama family friend alikua mtu poa sanaa.
Naona uHonest wake ndo ulimfanya huyo mwanamke amdharau na kumSabotage.

Mazishi tulifanya Wilaya ya Maswa, kwakweli watu walikua wengi na majonzi ni mazito hasa ukiwaangalia watoto wawili hawa wa marehemu.

Mungu atusaidie kwakweli, mahusiani yamekua changamoto sana.
 
Mang'ula A, B, mwaya, mgudeni, signal(ziginali), kiberege, tanapa kule juu, st Mary's sijui kama ipo, sole(good news), sanje waterfalls(kama sijakosea) yalikuwa maeneo yangu ya kujidai.

Huyu mwanamke kafanya kosa atajutia milele.
 
Poleni sanaa mkuu, hata me nilipigiwa simu na dada yake usiku huo wa tukio kwakweli sikulala kabisa maana Mwalimu Chris nilikua namfahamu kama family friend alikua mtu poa sanaa.
Naona uHonest wake ndo ulimfanya huyo mwanamke amdharau na kumSabotage.

Mazishi tulifanya Wilaya ya Maswa, kwakweli watu walikua wengi na majonzi ni mazito hasa ukiwaangalia watoto wawili hawa wa marehemu.

Mungu atusaidie kwakweli, mahusiani yamekua changamoto sana.
Tukio hili ni wake up call kwa wanandoa wote, tusijiamini kupita kiasi. Kilicho muua Mwamba nikuendelea kukaa na msaliti ndani.
 
Chaka huwa sio la kutafuta,linatakiwa liwepogo tu siku zote,ila unayelijua ni ww.

Kingine,unaweza ruhusu aende akagoma pia,maana huwa wanataka vilivyopo na vingine vya nje sometime,so lazima uhakikishe pia ulikuwa tayari kuondoka muda wowote na kumuacha kama alivyo.

Najua ni ngumu sana kwa wengi ila mwanaume ni kama simba dume.
Anazaliwa na baba na mama(utoto na uvulana),

anaishi kwa amani mpaka umri fulani anafukuzwa Akatafute himaya yake(ujana na kujitafuta).

Anakwe kuvamia pride nyingine inakuwa ya kwake(mahusiano na ndoa).

Anapata watoto na kuanza kuwakuza na kuwalinda(uzazi,malezi na matunzo).

Anafukuzwa kwenye pride yake aliyoilinda muda mwingi(hapa ni kile kipindi cha utu uzima)watoto wamejipata wanawasiliana na mama yao tu,na ndiye anachagua akaishi kwa nani hajali tena kuhusu wewe.

WANAUME TUNATAKIWA KUNYATA SANA.

🎯🎯🎯
 
Back
Top Bottom