Morogoro: Atuhumiwa kula njama kumuua mumewe ili ale raha na bodaboda

кααzι кωєℓι кωєℓι... αιѕєє!.

мωαиαмкє иι кιυмвє кαтιℓι кυѕнιи∂α νιυмвє νуσтє! нαρα υℓιмωєиgυиι!

ιѕнι иαє кωα ωα αкιℓι
 
Shida ya mapenzi wahusika hamuwezi kutenganishwa bila wenyewe kuamua,sasa Mume eti una mwambia mkeo achana na mchepuko ni vichekesho.
Mimi mke wangu alichepuka na Dereva wa bajaji nanikajua Nika mpiga chini moyoni bila yeye kujua, Nilivyo pata hela ya nauli Tu, Nika msafirisha kwao Karagwe mkoa wa kagera alivyofika tu, Nika msomea kesi kwenye simu na mpaka ushaidi nimempa. Nikatuma Taraka 6 kwenye sms 😠😠Baba yake sasa njoo tuyamalize Nika waambia nitakuja baada ya miezi 6😄😄. Mpaka leo mwaka wa 4 sijaenda.🏃🏃
 
Watoto ndio chanzo kikubwa cha mauji ya wanandoa,unakuta ndani kuchungu watu mpaka wanakuwa maadui-lakini wanavumilia ili walee watoto hatimaye mbeleni ni mauti.
** Jamani ni mara 💯 watoto walelewe na mzazi moja kwa matunzo ya kusaidiana kuliko kufikia mauaji kisa eti waoto wasipate shida huku yakitokea mauji ndio unaenda kuwaangamiza watoto zaidi.
 
I can divorce the bad wife! I guess its easier than getting rich.
 
Lakini hapo kinyume chake mume kafichwa kwenye shimo la futi 6 mke jela na katoto cha mchepukaji wote jela. Yani Baba mchepuko Katoto mchepuko na mama mchepukaji wote jela.
 
Mang'ula A, B, mwaya, mgudeni, signal(ziginali), kiberege, tanapa kule juu, st Mary's sijui kama ipo, sole(good news), sanje waterfalls(kama sijakosea) yalikuwa maeneo yangu ya kujidai.

Huyu mwanamke kafanya kosa atajutia milele.
Aisee utakuwa unamjua Mzee Ntangwa
 
Kwenye ndoa yenu yenye miaka mitano kuna mwamba anatimiza miaka mitatu»»» KATAA NDOA ZALISHA ULEE MTOTO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…