Lily Tony
JF-Expert Member
- Feb 6, 2019
- 3,198
- 4,191
Inasikitisha Sana,😥.
Nimewafikiria watoto😥😥
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasikitisha Sana,😥.
Basi naweza kukubali mkuu. Sababu ishu ya mavazi ni sensitive hasa kwa jinsi ya kike.Ipo hivyo mkuu,Amini nakuambia
huruma jamani mkaka wa watu😥
Lile shimo lisikiage tuukaka wawatu maskini,,ivi hua hawatosheki kwa waume zao au ni vipi!?
Hao ndo wale malaya wameolewa ili kuficha aibu ya familia.
binti kiziwi mtakoma leo. Leo wanawake mtapigwa za uso mpaka muombe poa! Na makombora ya ''watakatifu'' wanaume yanaumiza kweli kweli!Unashona naye hadi nguo za kitenge lakini wapi.. Hawa viumbe sijui wakoje yaani unamuua mmeo kisa mchepuko?
Mwambie dogo huyo... hajui haya mambo.Malaya hatosheki hata akeshe nayo mwache akatoshwe nje
DaaahLile shimo lisikiage tuu
Mwalimu mkuu mbona handsome tu!
Ungekua umeoa wala usingeongea hii kauliukijazwa Mimba na Mimi najaza nje ubao unasoma 2-2
atakuwa alipitiwa na shetani. shtani akarudi yeye akabakiHao ndio wanawake
Hii imekaa kibingwa sana.. safi sanaa kamanda.Mimi mke wangu alichepuka na Dereva wa bajaji nanikajua Nika mpiga chini moyoni bila yeye kujua, Nilivyo pata hela ya nauli Tu, Nika msafirisha kwao Karagwe mkoa wa kagera alivyofika tu, Nika msomea kesi kwenye simu na mpaka ushaidi nimempa. Nikatuma Taraka 6 kwenye sms 😠😠Baba yake sasa njoo tuyamalize Nika waambia nitakuja baada ya miezi 6😄😄. Mpaka leo mwaka wa 4 sijaenda.🏃🏃
Hakuna cha kula ujana wala nini. Malaya ni malaya tu.Kuna Kesi kama 2 hivi- Jamaa Walioa mabinti ambao awajakula ujana(awajaishi dating/party life wenyewe) walipokuja pata ajira zao hawa mabinti walianza Kuchepuka! Iliwasumbuwa sana wanaume zao.na mwishowe Wanaume waliamua kuachana nao- Mwanamke akipenda kapenda na atafanya lolote kulinda pale anapopenda- kama upendwi kubali na achana nae dont force.... ukiforce either ufe wewe au mgawane majengo ya Serikali mmoja akalazwe Mochuwari wewe mume akalazwe Jela😭
Hasa uwe mwanaume uwe mweusi mwanamke sura Zuri na umbo fulani ,kitovu kikubwa hatakama kidogo chakuingia ndaniDaaah
Hili hata mimi nakubali. Ni udhaifu mkubwa sana. Mchepukaji unampeleka serikali za mitaa?Huyo marehemu kakosea sana kumuacha mwanamke anachepuka hadi anamleta mwanaume kwake, eti anaenda kushitaki serikali za mitaa? Huyo sio mwanaume, marehemu alizembea sana, iiiiihhh thubutu najua angekutana na wengine kama sisi hata asingewazia kufanya ushenzi wa aina yoyote, angejikuta yuko kwao haraka sana, alafu kabla ya kuoa angalieni familia wanazotoka hawa viumbe, wengine ni malaya na mashetani sana alafu unaoa