macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Mnawapa sifa za bure tu. Wanakula wale wanawake wachovu wachovu.Boda boda wanaongoza kula wake za watu wewe kama mkeo ana boda wake jua uyo lazima atakua anamla
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnawapa sifa za bure tu. Wanakula wale wanawake wachovu wachovu.Boda boda wanaongoza kula wake za watu wewe kama mkeo ana boda wake jua uyo lazima atakua anamla
hao watu wenyewe wa kutoa ushauri tunahitaji ushauri wa hali ya juu,,hivyo vituo vitakaa bila washauri.Hasa uwe mwanaume uwe mweusi mwanamke sura Zuri na umbo fulani ,kitovu kikubwa hatakama kidogo chakuingia ndani
Kizungukwe na tunywele fulafulani , utajikuta huachi kushona nguo mashati yanayofanana na mkeo
Hilo ,eneo nalifahamu walimu washule msingi pasua kichwa anatuma picha yakutumika mazishini anaacha kutoa taarifa nyumbani pake sio salama!!!!!
Hii nchi haihitaji zahanati na vituo vya afya vingi Bala vituo ushauri viwevingi lamta
Inaonekana marehemu alikuwa mpole kupitiliza na possibly mkewe ndiyo alikuwa kichwa cha nyumba. Mwanaume mwenzako anakuja mpaka nyumbani kumfuata mkeo halafu wewe unakimbilia serikali ya mtaa kushtaki? Halafu unatuma picha eti itumike wakati wa mazishi?Km hao wachepukaji, walipendana sana kwann baada ya mkuu kupeleka kesi kwa kitongoji, mke aliomba msamaha na kujutia makosa yake, na kukiri hatarudia? Si ndo ilikua njia rahisi ya yeye kumkataa mume na kuomba waachane?
Afu huyo boda ndo alikua anaenda kufanyia ufuska nyumbani kwa mkuu,
Maana yake hata ghetto hana, tena ukute anakaa kwa wazazi lol.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tunasikia serikali ,ina Dira ya maendeleo 2050hao watu wenyewe wa kutoa ushauri tunahitaji ushauri wa hali ya juu,,hivyo vituo vitakaa bila washauri.
Safi umechukua uamuzi sahihi,Usaliti hauna msamaha.Mimi mke wangu alichepuka na Dereva wa bajaji nanikajua Nika mpiga chini moyoni bila yeye kujua, Nilivyo pata hela ya nauli Tu, Nika msafirisha kwao Karagwe mkoa wa kagera alivyofika tu, Nika msomea kesi kwenye simu na mpaka ushaidi nimempa. Nikatuma Taraka 6 kwenye sms 😠😠Baba yake sasa njoo tuyamalize Nika waambia nitakuja baada ya miezi 6😄😄. Mpaka leo mwaka wa 4 sijaenda.🏃🏃
Kama mkeo ana akili fupi. Mwanamke anayejielewa hawezi kufanya upuuzi na boda.Boda boda washenzi sana.
Hawa watu ni kuwapiga marufuku wasisogelee nyumbani kwako kabisa.
Ni kundi la vijana washenzi wanaopenda mteremko wa maisha hivyo kushawishi wake za watu ni jambo rahisi mno.
Ulifanya ukomandoo mzuri sana. Mlikuwa hamjazaa?Mimi mke wangu alichepuka na Dereva wa bajaji nanikajua Nika mpiga chini moyoni bila yeye kujua, Nilivyo pata hela ya nauli Tu, Nika msafirisha kwao Karagwe mkoa wa kagera alivyofika tu, Nika msomea kesi kwenye simu na mpaka ushaidi nimempa. Nikatuma Taraka 6 kwenye sms 😠😠Baba yake sasa njoo tuyamalize Nika waambia nitakuja baada ya miezi 6😄😄. Mpaka leo mwaka wa 4 sijaenda.🏃🏃
Hawa wanawake ni changamoto sanabinti kiziwi mtakoma leo. Leo wanawake mtapigwa za uso mpaka muombe poa! Na makombora ya ''watakatifu'' wanaume yanaumiza kweli kweli!
Kapata Mume mpole sana angepata kichwa kibovu unapigwa taraka ya chapu kwanzaInaonekana marehemu alikuwa mpole kupitiliza na possibly mkewe ndiyo alikuwa kichwa cha nyumba. Mwanaume mwenzako anakuja mpaka nyumbani kumfuata mkeo halafu wewe unakimbilia serikali ya mtaa kushtaki? Halafu unatuma picha eti itumike wakati wa mazishi?
Labda kibamiaMwalimu mkuu mbona handsome tu!
Huyo mke alikwama wapi
Hapo utakuwa huna familia na utadharauka sana. NB: kuna jamaa namjua anafanya hivi hivi unavyosema.Hapo ni both team to score katombwe na Mimi naenda kutomba Ngoma inasoma 1-1 ukijazwa Mimba na Mimi najaza nje ubao unasoma 2-2
Inasikitisha sanaMasikitiko.
Halafu watu huwa wanajidanganya jamaniii hata uwe na jidudee kubwaaa kama la punda kama umeoa Mwanamke ambaye si muaminifu ni kazi bure 😁😁Labda kibamia
mmmh sitii neno apo,,ila sina uhakikaTunasikia serikali ,ina Dira ya maendeleo 2050
Hatuelewi kwenye mipango hiyo swala la kuzalisha sana wataalamu na ujenzi vituo watalikumbuka
Naona,shivj kawapiga sana sipana kwenye dhana ya dira
Umechelewa. Walishaondoka na kombe la ushindi.Wale wazee wa kataa ndoa wanakuja
Correct. However, suppose in this context, you’re obliged to endure the bad wife - as a condition to your being rich!I can divorce the bad wife! I guess its easier than getting rich.
Mimi niliacha nimemlipia pango la mwaka mzima gf yule, baada ya miezi miwili anauliza mbona hurud nikamwambia tumeshaachana, kodi ya miez 10 inatosha wewe kujipanga na samani zote za ndani ni zako, nikampa na kifuta jasho cha tubiashara, leo mwaka wa sita alishachoka omba msamahaMimi mke wangu alichepuka na Dereva wa bajaji nanikajua Nika mpiga chini moyoni bila yeye kujua, Nilivyo pata hela ya nauli Tu, Nika msafirisha kwao Karagwe mkoa wa kagera alivyofika tu, Nika msomea kesi kwenye simu na mpaka ushaidi nimempa. Nikatuma Taraka 6 kwenye sms 😠😠Baba yake sasa njoo tuyamalize Nika waambia nitakuja baada ya miezi 6😄😄. Mpaka leo mwaka wa 4 sijaenda.🏃🏃
Utamrudia 😄Mimi niliacha nimemlipia pango la mwaka mzima gf yule, baada ya miezi miwili anauliza mbona hurud nikamwambia tumeshaachana, kodi ya miez 10 inatosha wewe kujipanga na samani zote za ndani ni zako, nikampa na kifuta jasho cha tubiashara, leo mwaka wa sita alishachoka omba msamaha