Morogoro: Atuhumiwa kula njama kumuua mumewe ili ale raha na bodaboda

Morogoro: Atuhumiwa kula njama kumuua mumewe ili ale raha na bodaboda

Ukijazwa unajazwa haijalishi nimeoa au sijaoa, HIO sababu ndio iliyomfanya bro wangu azae na wanawake 7 tofauti mikoa tofauti tofauti akikanyaga Singida anaacha mtoto, Tabora anaacha mtoto, Mwanza anaacha mtoto, Mbeya anaacha mtoto, Sumbawanga anaacha mtoto, Morogoro anaacha mtoto, Ntwara anaacha mtoto, Ruvuma anaacha mtoto, yaan hivyo kila Mkoa akikanyaga anaacha na mtoto huko huko sasa idadi ya watoto imekua nyingi mpaka haelewi itakuaje na mke wake kazaa nae watoto 6 kamili, usiniulize maswali mengine ya kipumbavu najua ninachokiandika
Daaah noma kabisaaa.
Dawa ya mwanamke kama amezingua,ni kumpiga chini. Sio kwenda kuzaa hovyo nje
 
''Mlioana kwa wema na kama ikibidi kuachana muachane kwa wema''...ndoa sio gereza kwamba umekula kifungo cha maisha.
 
Hapo bodaboda kamzidi marehemu.!! Halafu wanaume msijione watakatifu sana!! Hata nyie mnawaua sana wanawake. Na nyie wanaume kwa wanaume pia hampendani…!!
Huyo bodaboda ndo muharibifu wa ndoa ya mwanaume mwenzie.!!

Bwana ametoa, Bwana ametwaa. Jina lake lihimidiwe. 🙏
 
Ila boda boda wana hatarii, sijui hata pikpik zimewekwa nn.
Kijanaa akianza kuwa boda, hata km alikua zoba atachachuka na, kua malaya. Lol

Ko alitaka ale mirathi ya Mwl mkuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂 Ila walimu wengi wamezubaa mno
 
Wanaume wengine ni washenzi wa kutembea na wake za watu. Huyo bodaboda hakuona wanawake wengine mpaka akatembee na mke wa mtu? Wanaume wanaotembea na wake za watu ni wa kushughulikiwa kwa mbinu zote ikiwemo kulogwa mashine ishindwe kusimama, kukojoa uzi mrefu na kukojoa petroli. Tumechoka ushenzi huo
😂😂😂 Wanaume hampendani, boda kajisosomola mke wa ticha kiulainii na mtoto juu.!!
 
Hapo bodaboda kamzidi marehemu.!! Halafu wanaume msijione watakatifu sana!! Hata nyie mnawaua sana wanawake. Na nyie wanaume kwa wanaume pia hampendani…!!
Huyo bodaboda ndo muharibifu wa ndoa ya mwanaume mwenzie.!!

Bwana ametoa, Bwana ametwaa. Jina lake lihimidiwe. 🙏
Unamfokea nani sasa,au nawewe unamchepuko unajaribu kutafuta faraja ya moyo? Acha mara moja
 
Hapo bodaboda kamzidi marehemu.!! Halafu wanaume msijione watakatifu sana!! Hata nyie mnawaua sana wanawake. Na nyie wanaume kwa wanaume pia hampendani…!!
Huyo bodaboda ndo muharibifu wa ndoa ya mwanaume mwenzie.!!

Bwana ametoa, Bwana ametwaa. Jina lake lihimidiwe. 🙏
Asilimia kubwa Wanawake imezidi kuuwa Waume zao Si kimapenzi tu hata Kimali..!!
 
Back
Top Bottom