SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
Hamjui ukweli huyo dada ukiangalia kiumakini ni mgonjwa wa akili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaah noma kabisaaa.Ukijazwa unajazwa haijalishi nimeoa au sijaoa, HIO sababu ndio iliyomfanya bro wangu azae na wanawake 7 tofauti mikoa tofauti tofauti akikanyaga Singida anaacha mtoto, Tabora anaacha mtoto, Mwanza anaacha mtoto, Mbeya anaacha mtoto, Sumbawanga anaacha mtoto, Morogoro anaacha mtoto, Ntwara anaacha mtoto, Ruvuma anaacha mtoto, yaan hivyo kila Mkoa akikanyaga anaacha na mtoto huko huko sasa idadi ya watoto imekua nyingi mpaka haelewi itakuaje na mke wake kazaa nae watoto 6 kamili, usiniulize maswali mengine ya kipumbavu najua ninachokiandika
Alichokiunganisha MUNGU asitokee mwingine yoyote wa kukitenganisha ukiwemo na Wewe, kwa HIO Akil kichwani mwako utaamua unasuka au unanyoaDaaah noma kabisaaa.
Dawa ya mwanamke kama amezingua,ni kumpiga chini. Sio kwenda kuzaa hovyo nje
Muulizie umalaya wa mwanamke anaufanya na nani? Maana wadau wa wanawake ni wanaume. Mwanaume lofa amemdanganya mke wa mtu kama vile kuua ni kitu rahisiSasa sisi wanawake tumeingiaje hapo?
Shida ndo iko hapo mkuu.Ushangae alikua anataka waachane jamaa ana ng’ang’ania
😂😂😂😂uki play u nice guy wanawake wanakuchukulia poa
ukiwa rude utaambiwa una gubu katili
😂😂😂😂 hii mbona ya ghafla uduguBabee!! Mie niko poaa!!
😂😂😂 Ila walimu wengi wamezubaa mnoIla boda boda wana hatarii, sijui hata pikpik zimewekwa nn.
Kijanaa akianza kuwa boda, hata km alikua zoba atachachuka na, kua malaya. Lol
Ko alitaka ale mirathi ya Mwl mkuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂 Wanaume hampendani, boda kajisosomola mke wa ticha kiulainii na mtoto juu.!!Wanaume wengine ni washenzi wa kutembea na wake za watu. Huyo bodaboda hakuona wanawake wengine mpaka akatembee na mke wa mtu? Wanaume wanaotembea na wake za watu ni wa kushughulikiwa kwa mbinu zote ikiwemo kulogwa mashine ishindwe kusimama, kukojoa uzi mrefu na kukojoa petroli. Tumechoka ushenzi huo
Unamfokea nani sasa,au nawewe unamchepuko unajaribu kutafuta faraja ya moyo? Acha mara mojaHapo bodaboda kamzidi marehemu.!! Halafu wanaume msijione watakatifu sana!! Hata nyie mnawaua sana wanawake. Na nyie wanaume kwa wanaume pia hampendani…!!
Huyo bodaboda ndo muharibifu wa ndoa ya mwanaume mwenzie.!!
Bwana ametoa, Bwana ametwaa. Jina lake lihimidiwe. 🙏
😂😂😂😂 Kwani nimefoka??Unamfokea nani sasa,au nawewe unamchepuko unajaribu kutafuta faraja ya moyo? Acha mara moja
Asilimia kubwa Wanawake imezidi kuuwa Waume zao Si kimapenzi tu hata Kimali..!!Hapo bodaboda kamzidi marehemu.!! Halafu wanaume msijione watakatifu sana!! Hata nyie mnawaua sana wanawake. Na nyie wanaume kwa wanaume pia hampendani…!!
Huyo bodaboda ndo muharibifu wa ndoa ya mwanaume mwenzie.!!
Bwana ametoa, Bwana ametwaa. Jina lake lihimidiwe. 🙏
Kuchepuka haimanishi uwe na mume,yawezekana una boyfriend hata 4,huko ni kuchepuka😂😂😂😂 Kwani nimefoka??
Mi mchepuko wa nini na mume sina.!!
Nimehuzunishwa kwa uzito mkubwa.Mwamba kauawa kikatili sana aisee 😭😭
Mi bikra simjui mwanaume 😜Kuchepuka haimanishi uwe na mume,yawezekana una boyfriend hata 4,huko ni kuchepuka